nimeiona hiyo picha ni mbaya na ni chafu,hajamdhalilisha mh.Rais tu bali watanzania wote walio wastaarabu na wanaojiheshimu,NAMLAANI huyo aliyetengeneza hiyo picha,imeniumiza na imeniogopesha ,amewezaje kuthubutu kufanya jambo la aina hiyo,Watanzania wenzangu tunaenda wapi?hii new technology mbona tunamisuse namna hii?huu uhuru na mani tuliyonayo mbona tunaipaka matope tena kwa bila huruma wala haya tena bila kumuogopa Mungu,jamani hata vitabu vya Mungu imeandikwa HESHIMUNI MAMLAKA MLIYOPEWA NA MUNGU,kweli leo hii imefikia kutengeneza picha ya kumchafua Rais wa nchi ,???????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wewe uliyetengeneza picha hiyo JK amekukosea nini kikubwa hata ufikie hatu uliyofikia?imagine ingekuwa wewe ungejisikiaje?Tanzania nchi inayosifika kote ulimwenguni kwa amani na utulivu,eti watanzania ni wakarimu na wana upendo,kweli????????????????nimeumia roho kupita kiasi,huu uhuru tulionao sasa tunautumia vibaya.Huyu aliyetoa picha hiyo ALAANIWE YEYE NA KIZAZI CHAKE!!!!!!!!!NA UKOO WAKE WOTE NA WALA ASIPATE BARAKA ZA MUNGU KATIKA MAISHA YAKE YOTE!!!!!!!!!!