Hakuna anayekubaliana na kitendo hicho cha kuchafuliwa Mhe. Rais. Hapa tunajadili issues nzito zinazolitafuna Taifa letu sio ushenzi kama ule. Kama kuna mtu anayewafahamu basi awasaidie Polisi. Pole Mhe. Vijana wako hao adamu imekwenda sokoni.
Ni kweli tusitoke kwenye mada za muhimu zaidi na kutumia muda mwingi kwenye huu uchafu. MAADILI YAKILEKEBISHWA HAYA YOTE HAYATATOKEA HIVYO VIONGOZI INABIDI WAKUBALI MAMBO YAREKEBISHWE VINGINEVYO UTAKUTA SIKU PICHA YA MKULU SASA MWANAE NDIYO ANAMREKEBISHA...KAMA HATUTAKUWA MAKINI NA VIONGOZI WETU KUBADILIKA.