TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,197
- 18,227
- Mkuu PM, with all due respect as a nation tusirihusu au kushauri hizi tabia chafu kutumika katika jamii yetu kama fimbo ya ku-deal na marekebisho ya mapungufu yetu kisiasa, kwa sababu ukisha yakubali haya basi hakutakuwa na fine line tena na halitakuwa ni taifa tena, hapana tusikubali hizi tabia katika jamii yetu, sio yote ya wazungu ni mazuri.
Respect.
FMES
Mkuu respect;
waswahili wanasema "ukixheza na mbwa, atakufuata hadi msikitini"... that's exactly utamu ulichofanya
tulianza na magazeti kama kasheshe, ijumaa, champion --- shigongo chain or franchise ya kuongea utupu binafsi, na sasa mkulu wa nchi---yale ya hadithi ya watoto watatu na baba aliyekaa vibaya
UJUMBE NI KWAMBA: ITS NOT TOO LATE AND WE CAN CHANGE OUR SHIT!!!!! DOWN WITH UDAKU, THEN DOWN WITH THE LIKES
BILA KUSAHAU VITA NA MAFISADI