ALL IN ALL,pamoja na ubaya wake,huyu UTAMU ni kichwa,what else can explain hii uproar,na nchi kuingia in a state of panic kwa ku order utamu awe blocked in tanzania.if only angetumia huu ujuzi kwa maendeleo ya nchi tungenufaika
100% mzee!
Kwa namna nyingine,zeutamu ni muendelezo ya yale yanayoonekna kuwagusa wengi (mostly negatively) lakini wanaishia kupiga mayowe tu.Manji na Rostam Aziz ni mifano hai.Na mfano mwingine nu uchafuzi wa maadili unaoendeshwa na Shigongo.
Wakati ishu za Manji na Rostam ni more political,economic oriented,hii ya Shigongo ni ya kijamii zaidi japo pia kuna economic motives.
Sidhani kama huyu jamaa atawezekana,simply bcoz ameshambaza kirusi chake.Mbona serikali ilishapiga marufuku vijarida vyenye hadithi na michoro (angalia kwa makini hapo:HADITHI NA MICHORO) lakini hiyo haikusaidia kumzuia Shogongo na magazeti yake kuweka uchafu wao hadharani?Tatizo ni kwamba Shigongo ni mwanamtandao ambaye from time to time magazeti yake yanatumiwa kuwachafua walengwa flani wa watawala.And as long as anatimiza matakwa ya watawala,magazeti ya Shigongo yanaendelea kuwa best- sellers,sio in monetary terms pekee bali pia best-sellers wa uchafu katika jamii.
Kwani mhusika wa zeutamu akikamatwa ndio fikra zake,mtazamo wake au mawazo ya aina yake nayo yatakuwa yamekamatwa?Na hata ifiungiwa,what stops it from re-appearing under a new name as it was the case hapo mwanzoni?Huyu jamaa (if ni mmoja,which I doubt) is simply making use of what MANY OF US are fond of....udaku,uzushi,mjungu,ngono,picha za uchi,jig-jig,nk.
Na unajua kwanini,for instance,website/blog za picha zinatembelewa na watu wengi zaidi kuliko zenye hard news,opinion,analysis,commentary,etc?Coz majority are fond of pics,which could also also be indicative of uzembe wa kusoma.Na katika hizo pics zinazoibua comments nyingi zaidi ni za akina dada,mkao mbaya,shepu ya utata,nk nk.Kukiwa na picha ya Wole Soyinka,Prof Shivji,etc,it's likely usikute comment hata moja.
By the way,kama ALIYECHAFULIWA yuko kimya,why should we be bothered?