Je, trafiki chanzo cha ajali? Busta zipigwe marufuku? Elfu 3 kila Daladala zinafanya gari kuwa zima? IGP, Ramadhani Ng'anzi anajua?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,062
20,443
Hii ajali imetokea tarehe 11-4-2024 Leo maeneo ya Kintinku wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida, Hilo Lori lilisimamishwa na trafick sehemu hatari isiyo ya ukaguzi kukiwa na utelezi na ukungu kwa ajili ya ukaguzi usio rasmi, hiyo coaster ikaja kuvaa Lori kwa nyuma na kuna taarifa za kifo,Poleni sana aisee na Mungu awatie nguvu wote waliofikwa na majanga haya.

Eneo hilo kuna kona kali, kulikuwa na utelezi wa mvua lakini ukungu ambapo dereva hawezi kuona zaidi ya mita 50 mbele.
Sasa, kwanini trafiki wanakagua magari sehemu yeyote, ukaguzi huo unasemekana gari inasimamishwa, utingo anashuka na kwenda kushikana mkono na trafiki huku wakirudi wanaongea wenyewe.
Sasa , huo ukaguzi anafanyiwa utingo au gari?

Imekuwa wazi kabisa kwa Dar es salaam, viongozi wote wa nchi wanaona isipokuwa wanaopitita kwa ?M<isafara yani Mh.SS Hassan, Majaliwa-PM, Mpango na wengine wachache wa Usalama lakini the rest wanaona traffick anasimamisha daladala, linampita kondakta anaruka kuwarudia trafik, wanafungua ki-diary chao wanarekodi sijui kitu gani then konda anarudi mbio kwenye gari .
Trafiki akikamata gari ndogo hata kama ndio imetoka yard anataka :-
  1. Stika nenda kwa usalama.
  2. Triangle reflector.
  3. Dustbin.
  4. Fire extinguisher.
  5. First Aid kit.
Sasa, iwapo atakuta huna stika anakwmbia gari mbovu, well , gari mbovu mnapiga faini alafu inaondoka ikiwa mbovu au mnapaswa mfanye ukaguzi hapo hapo na kumpa stika?
Yaani unamwambia mtu gari yako haifai kuwa barabarani, unampiga faini ya elfu 30 then aondoke tena safari ya masafa marefu? [hii ni akili ama tope]?

Unakuta gari haina stika, well, kama unapenda usalama barabarani, kwanin unachukua elfu tatu then unamwachia aende?
Je, baada ya kuchukua elf 3 gari inakuwa nzima? Mnajali usalama wa abiria?
WAziri wa Mambo ya ndani hii idara ipo chini yako, kama ukishindwa basi abiria watamwomba Makonda awasaidie, maana mfumo umeshindwa! Makonda hata kama ni mkuu wa Mkoa Arusa ila hili ataliweza, mana mfumo umeshindikana.
______________________________________________________________________________________
Daladala za Dar es salaam, Masaki- Ubungo[simu 2000],Masaki Kariakoo- hazina taa, ndani dash board haiwaki yani hakuna spidi mita, chech engine , oil wala chochote na zimeoza na mvua ikinyesha zinavuja ila unaambiwa LATRA ikisha zinapewa leseni mpya, kila mwaka zinapewa STIKA YA NENDA KWA USALAMA, zinatoa eld 3 kila kituo asubuhi zikipita na haya makusanyo huwa yanaishia saa nne asubuhi.

____________________________________
Daladala na Bajaji zimeanza tabia ya kupakia na kushusha kwenye Zebra, inasababisha ajali nyingi sana and no one cares, unakuja spidi ya kawaida unafikir watu wanavuka kumbe bajaji inashusha kwenye zebra, tutaendela na wasiamamizi wabovu mpaka lini?


Kama mfumo wa TRAFIKI na Mkuu wa trafiki wameshindwa kusimamia hili , basi watujuze wananchi MAKONDA AJULISHWE anaweza kushughulikia hili maana atamwambia raisi kuwa umeteua watu wasioweza kusimamia majukumu yao.
MAKONDA ndio pekee anaweza kumwambia raisi kuwa umewapa watu idara wasizo ziweza, badilisha!

zzzzzz.jpeg


cccccc.jpeg
 
sasa kama jamaa wanacheza michezo ya upatu ya laki kwa siku unategemea wasikusanye hela? nchi iliyochoka inaona hata rushwa ni halali waangalie walivyojaa matumbo mpaka wanataka kupasuka kwa ajili ya rushwa, kila kitu huko nchini hakiendi hata enzi za malaika wa chattle aliwaruhusu kabisaaaa wachukue za kubrashi viatu, this is the signs of a failed state.
 
sasa kama jamaa wanacheza michezo ya upatu ya laki kwa siku unategemea wasikusanye hela? nchi iliyochoka inaona hata rushwa ni halali waangalie walivyojaa matumbo mpaka wanataka kupasuka kwa ajili ya rushwa, kila kitu huko nchini hakiendi hata enzi za malaika wa chattle aliwaruhusu kabisaaaa wachukue za kubrashi viatu, this is the signs of a failed state.
Toka waruhusiwe na SHUJAA ile rukhsa inaendelea mpaka leo?

Wakikukamata unaulizwa, unataka control number ulipe Ths 30,000 au Unataka kulipa Tshs 5000?
 
Mkuu article ya kwanza kabisa haikufaa kuwa utangulizi wa ujumbe wako.
NOTE:naunga mkono mengine yote uliyoandika.

Kona mbaya ni red flag kwa dereva,anatakiwa apunguze kabisa mwendo,kuweza kupambana na changamoto yoyote ndani ya 3m mbele,achia mbalu 50m.

Ukungu pia ni redflag kwa dereva anatakiwa kupunguza mwendo kuweza kupambana na changamoto yoyote ndani ya 3m mbele.

Tukiangalia coasta yetu hapa sijui ilikuwa speed kiasi gani,tutaendelea kulaumu traffic police huku tunaisha na kuwa vilema.
 
Mkuu article ya kwanza kabisa haikufaa kuwa utangulizi wa ujumbe wako.
NOTE:naunga mkono mengine yote uliyoandika.

Kona mbaya ni red flag kwa dereva,anatakiwa apunguze kabisa mwendo,kuweza kupambana na changamoto yoyote ndani ya 3m mbele,achia mbalu 50m.

Ukungu pia ni redflag kwa dereva anatakiwa kupunguza mwendo kuweza kupambana na changamoto yoyote ndani ya 3m mbele.

Tukiangalia coasta yetu hapa sijui ilikuwa speed kiasi gani,tutaendelea kulaumu traffic police huku tunaisha na kuwa vilema.
costa wanatembea na 90 k/h ,
 
Kila daladala(hiace) hapa arusha inawajibika kulipa shilingi 2000 kwenye kila check point, wanasema ni hela ya ulinzi au kikoba,yaani ukishalipa hiyo trafiki hakusumbui tena,na unaweza kufanya utakalo barabarani, kuhusu kupakia au kupakua abiria kwenye Zebra cross hilo nimewahi kulisemea humu, tena unakuta gari imesimama katikati ya zebra halafu dereva au konda anapiga story na trafiki hapo hapo, na pia madereva wa hiace,bajaj,na pikipiki hawatambui maana ya zebra cross,ukijipitisha wanakugonga na matusi juu,hii nimeiona sana pale kilombero karibu na summit centre,watembea kwa miguu wanapata tabu sana pale, msisitizie makonda na hilo pia.
 
Tukianza kutumia usafiri tofauti na mabus na malori ajali zitapungua Sana Tanzania. Hizi barabara zetu ni finyu Sana Kwa watumiaji
 
Mi huwa sifanyagi huo ujinga. Kwenye kona au kwenye alama za barabarani mfano Zebra jamaa akinisimamisha huwa namtukana na naendelea na safari yangu.

Juzi nimetoka Dodoma, trafiki ananisimamisha pale Check point ya Mtera. Kioo kina alama ya kupasuka tokana na kokoto iliyorushwa kwenye gari iliyopita mbele yangu. Anataka nilipe faini na ameniambia kabisa, eti unachangiaje serikali. Nikamwambia kwa kosa gani? Eti unatenbea na gari iliyovunjika kioo? Kaniuliza sheria inasemaje ukipata ajali? Nikamwambia nikatoe taarifa kituo cha karibu? Akaniambia kwanini sijatoa? Nikamwambia sijakuta kituo cha polisi toka kilimita 40 nilipopata hiyo "clerk" wala hakukuwa na polisi barabarani zaidi ya wewe uliyenisimamisha hapa.

Pumbavu yule, alikuwa anajibu na kujieleza kama mtoto wangu wa chekechea. Nikawasha moto na kuondoka, atajua yeye huko nyuma.
 
I
Kila daladala(hiace) hapa arusha inawajibika kulipa shilingi 2000 kwenye kila check point, wanasema ni hela ya ulinzi au kikoba,yaani ukishalipa hiyo trafiki hakusumbui tena,na unaweza kufanya utakalo barabarani, kuhusu kupakia au kupakua abiria kwenye Zebra cross hilo nimewahi kulisemea humu, tena unakuta gari imesimama katikati ya zebra halafu dereva au konda anapiga story na trafiki hapo hapo, na pia madereva wa hiace,bajaj,na pikipiki hawatambui maana ya zebra cross,ukijipitisha wanakugonga na matusi juu,hii nimeiona sana pale kilombero karibu na summit centre,watembea kwa miguu wanapata tabu sana pale, msisitizie makonda na hilo pia.
Pale Calvary Temple kwa Mchungaji Philip Daladala za Njro, za Kijenge Mwanama na Matejoo zinasimama katikati, ukiongea unatukanwa mpaka unashamgaa.
Kumbe hizo hela wanazo kusanya watoto wetu barabarani ni fedha za kikoba?
IGP najua, kama anajua kwanini hakemei ama kuwaondosha kwenye idara?

MAKONDA nimemjulisha, baaada ya kupaiwa namba zake, atalala nao mbele!
Arusha jiji la utalii, Mama kamtuma kazi moja, kuondosha tatu mzuka na hawa wahuni wanaosema Arusha ni nchi yao, lazma jiji lifanane na hadhi yake.
 
Hii ajali imetokea tarehe 11-4-2024 Leo maeneo ya Kintinku wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida, Hilo Lori lilisimamishwa na trafick sehemu hatari isiyo ya ukaguzi kukiwa na utelezi na ukungu kwa ajili ya ukaguzi usio rasmi, hiyo coaster ikaja kuvaa Lori kwa nyuma na kuna taarifa za kifo,Poleni sana aisee na Mungu awatie nguvu wote waliofikwa na majanga haya.

Eneo hilo kuna kona kali, kulikuwa na utelezi wa mvua lakini ukungu ambapo dereva hawezi kuona zaidi ya mita 50 mbele.
Sasa, kwanini trafiki wanakagua magari sehemu yeyote, ukaguzi huo unasemekana gari inasimamishwa, utingo anashuka na kwenda kushikana mkono na trafiki huku wakirudi wanaongea wenyewe.
Sasa , huo ukaguzi anafanyiwa utingo au gari?

Imekuwa wazi kabisa kwa Dar es salaam, viongozi wote wa nchi wanaona isipokuwa wanaopitita kwa ?M<isafara yani Mh.SS Hassan, Majaliwa-PM, Mpango na wengine wachache wa Usalama lakini the rest wanaona traffick anasimamisha daladala, linampita kondakta anaruka kuwarudia trafik, wanafungua ki-diary chao wanarekodi sijui kitu gani then konda anarudi mbio kwenye gari .
Trafiki akikamata gari ndogo hata kama ndio imetoka yard anataka :-
  1. Stika nenda kwa usalama.
  2. Triangle reflector.
  3. Dustbin.
  4. Fire extinguisher.
  5. First Aid kit.
Sasa, iwapo atakuta huna stika anakwmbia gari mbovu, well , gari mbovu mnapiga faini alafu inaondoka ikiwa mbovu au mnapaswa mfanye ukaguzi hapo hapo na kumpa stika?
Yaani unamwambia mtu gari yako haifai kuwa barabarani, unampiga faini ya elfu 30 then aondoke tena safari ya masafa marefu? [hii ni akili ama tope]?

Unakuta gari haina stika, well, kama unapenda usalama barabarani, kwanin unachukua elfu tatu then unamwachia aende?
Je, baada ya kuchukua elf 3 gari inakuwa nzima? Mnajali usalama wa abiria?
WAziri wa Mambo ya ndani hii idara ipo chini yako, kama ukishindwa basi abiria watamwomba Makonda awasaidie, maana mfumo umeshindwa! Makonda hata kama ni mkuu wa Mkoa Arusa ila hili ataliweza, mana mfumo umeshindikana.
______________________________________________________________________________________
Daladala za Dar es salaam, Masaki- Ubungo[simu 2000],Masaki Kariakoo- hazina taa, ndani dash board haiwaki yani hakuna spidi mita, chech engine , oil wala chochote na zimeoza na mvua ikinyesha zinavuja ila unaambiwa LATRA ikisha zinapewa leseni mpya, kila mwaka zinapewa STIKA YA NENDA KWA USALAMA, zinatoa eld 3 kila kituo asubuhi zikipita na haya makusanyo huwa yanaishia saa nne asubuhi.

____________________________________
Daladala na Bajaji zimeanza tabia ya kupakia na kushusha kwenye Zebra, inasababisha ajali nyingi sana and no one cares, unakuja spidi ya kawaida unafikir watu wanavuka kumbe bajaji inashusha kwenye zebra, tutaendela na wasiamamizi wabovu mpaka lini?


Kama mfumo wa TRAFIKI na Mkuu wa trafiki wameshindwa kusimamia hili , basi watujuze wananchi MAKONDA AJULISHWE anaweza kushughulikia hili maana atamwambia raisi kuwa umeteua watu wasioweza kusimamia majukumu yao.
MAKONDA ndio pekee anaweza kumwambia raisi kuwa umewapa watu idara wasizo ziweza, badilisha!

View attachment 2961266

View attachment 2961265
Tafadhari acha kutuharibia posho zetu.....kupandishwa vyeo shida!
 
Back
Top Bottom