Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
t.jpeg

Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu.

Hawa Polisi ambao wale wa vyeo vya chini huvaa sare nyeupe za kupendeza na kuonyesha unadhifu wa hali ya juu nje ya mwilina ndani ya roho sijui lakini pia wale wa vyeo vya juu huvaa nguo za kaki za kupendeza wanyonge huku wakiwa na mikanda viunoni ya ngozi za ngombe.

OPERESHENI:
1. STIKA YA NENDA KWA USALAMA: Hii ni biashara rasmi ambapo lengo kuu ni gari lipelekwe trafick section na kukaguliwa, likikidhi vigezo basi dereva alipie stika na liendelee na safari lakini imekuwa utaratibu stika kuuzwa kwa elfu 5 kama ukienda kituoni na kama ukiitaka barabarani inauzwa elfu 10.

Hakuna ukaguzi unaofanyika wa gari lolote na kichaka tu cha upigaji cha wau wachche sana ambao wanaishi kama wafalme.

2. LESENI/LENA. Ili kupata leseni yakupasa kupitia shule za udereva na kufanyiwa majaribio, lakini baada ya kufuzu pia kuna hatua za kupita, huko kila hatua niutoa hela zisizo na risiti wala control number.

3. DALADALA/TAX-UBER-BOLT Leo jumamosi wamejipanga kona zote za jiji, hakuna gari kupita bila kusimamishwa, pale magomeni kanisani wamekaba, oystebya mbuyuni wamebna, kwa azizi ali wamebana, wanasimamisha lila daladala, dereva ama utingo anashuka unamuona anenda nyuma ya gari ghafla anarudi mbio na gari inaondoka, utaskia konda akilalamika kwa dereva kwamba " nimebidi nimpe jala[elfu tano] maana jana hatukutoa: Baadae utaona anachukua kijitabu/diary na kuweka rekodi ya gari iliyotoa hiyo hela:

Kila mtu yupo kimya tunataka tufike ilipo NIGERIA KWA RUSHWA?
Hayo magari yameoza , magari yameoza.

Daladala ya Mwananyamala kwenda STESheni zimeoza kabisa na kunguni na hayafai hata kubebea mbolea lakininyapo katikati ya jiji na ukija nagari yako mpya kuomba TLB hupewi, ni hawa hawa wapendwa wetu ndio wanamiliki hizo daladala, well hawanyimwi kufanya biashra ila ni kinyume na maadili ya umma kutokana na kuwa na mgongano wa kimaslahi.

SAMIA alimtumbumbua mkurugenzi wa TTCL kwakuwa ana kampuni yenye tenda TTCL sasa ingependelewa, hili naomba SSH uingilie kati maana limesemwa sana.

4. KUVIZIA FINE BADALA YA KUELIMISHA. Trafiki badala ya kuzuia na kuelimisha wamegeuka watu wa maokoto. Haiwezekani say mtu umetoka mataa ya morroc unaendesha IST nyuma yako ipo gari kubwa na ipo spidi badala ya trafick kuzuia ajali yeye anasimamisha bila kujali aliye nyuma yako ako na spidi ya kiasi gani, ajali nyingi wanasababisha wao.

5. UHAMISHI Ufanyike mzunguko wa ma-trafikc, mfano kuna mmoja ni mwanamama mweusi bonge anaka mnazi mmoja ana kauli mbaya sana, aamishiwe kwa wakurya huko akafunzwe adabu.
Mataa ya st peters kuna mweupe hivi kijana, naye anajiona ni IGP na achunguzwe.
 
View attachment 2767115View attachment 2767115
Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu.
Hawa Polisi ambao wale wa vyeo vya chini huvaa sare nyeupe za kupendeza na kuonyesha unadhifu wa hali ya juu nje ya mwilina ndani ya roho sijui lakini pia wale wa vyeo vya juu huvaa nguo za kaki za kupendeza wanyonge huku wakiwa na mikanda viunoni.

OPERESHENI:
1. STIKA YA NENDA KWA USALAMA: Hii ni biashara rasmi ambapo lengo kuu ni gari lipelekwe trafick section na kukaguliwa, likikidhi vigezo basi dereva alipie stika na liendelee na safari lakini imekuwa utaratibu stika kuuzwa kwa elfu 5 kama ukienda kituoni na kama ukiitaka barabarani inauzwa elfu 10.
Hakuna ukaguzi unaofanyika wa gari lolote na kichaka tu cha upigaji cha wau wachche sana ambao wanaishi kama wafalme.

2. LESENI/LENA. Ili kupata leseni yakupasa kupitia shule za udereva na kufanyiwa majaribio, lakini baada ya kufuzu pia kuna hatua za kupita, huko kila hatua niutoa hela zisizo na risiti wala control number.

3. DALADALA/TAX-UBER-BOLT Leo jumamosi wamejipanga kona zote za jiji, hakuna gari kupita bila kusimamishwa, pale magomeni kanisani wamekaba, oystebya mbuyuni wamebna, kwa azizi ali wamebana, wanasimamisha lila daladala, dereva ama utingo anashuka unamuona anenda nyuma ya gari ghafla anarudi mbio na gari inaondoka, utaskia konda akilalamika kwa dereva kwamba " nimebidi nimpe jala[elfu tano] maana jana hatukutoa: Baadae utaona anachukua kijitabu/diary na kuweka rekodi ya gari iliyotoa hiyo hela:
Kila mtu yupo kimya tunataka tufike ilipo NIGERIA KWA RUSHWA?
Hayo magari yameoza , magari yameoza.
Daladala ya Mwananyamala kwenda STESheni zimeoza kabisa na kunguni na hayafai hata kubebea mbolea lakininyapo katikati ya jiji na ukija nagari yako mpya kuomba TLB hupewi, ni hawa hawa wapendwa wetu ndio wanamiliki hizo daladala, well hawanyimwi kufanya biashra ila ni kinyume na maadili ya umma kutokana na kuwa na mgongano wa kimaslahi.
SAMIA alimtumbumbua mkurugenzi wa TTCL kwakuwa ana kampuni yenye tenda TTCL sasa ingependelewa, hili naomba SSH uingilie kati maana limesemwa sana.

4. KUVIZIA FINE BADALA YA KUELIMISHA. Trafiki badala ya kuzuia na kuelimisha wamegeuka watu wa maokoto. Haiwezekani say mtu umetoka mataa ya morroc unaendesha IST nyuma yako ipo gari kubwa na ipo spidi badala ya trafick kuzuia ajali yeye anasimamisha bila kujali aliye nyuma yako ako na spidi ya kiasi gani, ajali nyingi wanasababisha wao.

5. Ufanyike mzunguko wa ma-trafikc, mfano kuna mmoja ni mwanamama mweusi bonge anaka mnazi mmoja ana kauli mbaya sana, aamishiwe kwa wakurya huko akafunzwe adabu.
Mataa ya st peters kuna mweupe hivi kijana, naye anajiona ni IGP na achunguzwe.
Njoo hapa kijueni kwetu ma lori yote ya mchanga na mizigo huchanga 50,000 kila mwezi na kupeleka kwa mkuu wa trafiki kituoni kila lori ni lazima itowe pesa bila kukosa, na zinaandikwa kwenye counter yao, hapo haziguswi tena katika maeneo hao hata kama ina kasoro ya aina gani..........hi nchi ilisha oza kila idara sema tu wengi hamjui hi nchi, neenda basi za mikoani kila RTO, anafungu lake kwenye kila basi, neenda ukaguzi wa leseni acha tu.......mimi wimbo wa taifa siimbi tena kupoteza mda hamna uzalendo.
 
Yule traffic wa kona ya butimba ahamishwe mara moja 😠😠😠🚮🚮
Yani ahamishiwe DAR, kweli umetuchoka, na wanamiliki majumba huko Kapripointi hizo buku mbili mbili.
Njoo hapa kijueni kwetu ma lori yote ya mchanga na mizigo huchanga 50,000 kila mwezi na kupeleka kwa mkuu watrafiki kituoni kila lori ni lazima itowe pesa bila kukosa, nazinaandikwa kwenye counter yao, hapo gaziguswi tena jatika maeneo hayo hata kama inakasoro ya aina gani..........hi nchi ilisha oza kila idara sema tu wengi hamjui hi nchi, neenda basi za mikoani kila TRO inafungu lake kwenye kila basi, neenda ukaguzi wa leseni acha tu.
Aisee, hii ni mkoa gani na kijiwe gani?
Haya mambo yamefanywa halali.
Tufike pahala RAIS amuagize IGP kufumua Kitengo cha trafick na ma trafick wawe wanakula kiapo cha maadili, kiwe na mfumo maalum.
 
Yani ahamishiwe DAR, kweli umetuchoka, na wanamiliki majumba huko Kapripointi hizo buku mbili mbili.

Aisee, hii ni mkoa gani na kijiwe gani?
Haya mambo yamefanywa halali.
Tufike pahala RAIS amuagize IGP kufumua Kitengo cha trafick na ma trafick wawe wanakula kiapo cha maadili, kiwe na mfumo maalum.
Kwani kuna kijue kisipo changisha wewe unaidhi nchi gani, mpaka TRA wanaamua kuja barabarani kutafuta mapato kwasbb trafiki wame compromise, acheni kushida mitandaoni kila kitu kipo wazi hamna wanach ficha.
 
1. STIKA YA NENDA KWA USALAMA: Hii ni biashara rasmi ambapo lengo kuu ni gari lipelekwe trafick section na kukaguliwa, likikidhi vigezo basi dereva alipie stika na liendelee na safari lakini imekuwa utaratibu stika kuuzwa kwa elfu 5 kama ukienda kituoni na kama ukiitaka barabarani inauzwa elfu 10.
Sagini naye na usomi wake pamoja na imani yake kali anachochea haya mambo badala ya kuumiza kichwa kupata mbinu mpya ya kufuta huu wizi,
 
Sasa njoo huku Kati ya Ruvu juu, kupitia Mlandizi Hadi maili moja kibaha, nadhani traffic walio kwenye hiki kipande Cha barabara wanajiwekea malengo ya rushwa ya laki tatu kwa siku. Mkuu wa mkoa yupo, RPC yupo, RTO yupo, TAKUKURU wapo na hata wakuu wa CCM wa maeneo haya wapo.
 
Sasa njoo huku Kati ya Ruvu juu, kupitia Mlandizi Hadi maili moja kibaha, nadhani traffic walio kwenye hiki kipande Cha barabara wanajiwekea malengo ya rushwa ya laki tatu kwa siku. Mkuu wa mkoa yupo, RPC yupo, RTO yupo, TAKUKURU wapo na hata wakuu wa CCM wa maeneo haya wapo.

x.jpeg
x.jpeg
 
Sasa njoo huku Kati ya Ruvu juu, kupitia Mlandizi Hadi maili moja kibaha, nadhani traffic walio kwenye hiki kipande Cha barabara wanajiwekea malengo ya rushwa ya laki tatu kwa siku. Mkuu wa mkoa yupo, RPC yupo, RTO yupo, TAKUKURU wapo na hata wakuu wa CCM wa maeneo haya wapo.
Kituo cha mabasi ya mikoani wana sacos au upato wao kila makusanya ya wiki anapewa moja, wiki yako ikifika lazoma ununue kiwanja kwasbb ni pesa ndefu, hamna basi isio toa maokoto pale asikudanganyi, iwe nzima au mbovu. Hi nchi yiache kama ilivo
 
Kuna best yangu mkewe alikua traffick alivo pewa uhamisho kuenda idara nyingone, kakonda ndani ya wiki moja, siku hizi anaongea kwa sauti ya chini sana sijui kwanin?
Usicheze na kofia nyeupe, kulaza milioni 3 kwa mwezi sio lelemama, ni mshahara wa afisa
 
Back
Top Bottom