Je, Tanzania ni kiwanda kipi kinajishughulisha na uchongaji mawe kupata meza, vigae etc?

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Mar 29, 2022
3,191
3,514
Naomba kuuliza:

Hizi rasilimali zote za milima na mawe je tunapondea tu kokoto? Au kuna kiwanda kinatengeneza bidhaa kama hizi.
Tungeweza kutumia fursa kutengenezea fanicha imara sana.
Mambo ya meza za jikoni, vigae na vitu luxury vinavyoweza kuchongwa toka katika mawe mojakwamoja, je tunazitumia rasilimali hizi kikamilifu? Kuna hadi mashine za kusagia za mawe (ishelo😁) mazee!!🤯
Screenshot_20240526-143624_YouTube.jpg

Nimeshtuka kugundua kumbe mawe nayo ni madini kamilifu kabisaa. Wajukuu zetu watakuja kutucheka kwamba tulikuwaga tunapishana na mali mtaani tunaziacha tu.😀😀.

Anyway, nikihitaji tabletop ya jiwe gumu nnaipata wapi wadau?
Screenshot_20240526-142308_YouTube.jpg

Screenshot_20240526-142340_YouTube.jpg

Je issue kama hii bongo inaweza kulipa? Halafu hivi hili jina Bongo limekujakujaje kama matumizi yetu ya akili yapo kiwango hiki. Tulipokosea ni kuhusianisha uongo na akili wakati kiuhalisia dalili mbiliwapo za akili na ujiniazi ni ukweli na udadisi. Jiniazi hawadanganyi, hawajidanganyi na hawadanganyiki kirahisi. Bongo.
 
o tabletop za pure marbles
Fanya kuagiza, alibaba.

Iwapo huna uzoefu wa kuagiza basi fanya hivi.
1. Tatuta bidhaa husika alibaba
2. Share nami supplier ambaye umechagua
3. Nitafanikisha manunuzi + kusafirisha + na delivery hadi mahala ulipo, Mkoa wowote ule.
- Zaidi soma hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Tungeweza kutumia fursa kutengenezea fanicha imara sana.
Mambo ya meza za jikoni, vigae na vitu luxury vinavyoweza kuchongwa toka katika mawe mojakwamoja,
Hakikia hii ni fursa kubwa, hasa kwa taasisi kama Polisi, Magereza, wanaweza kabisa kuanzisha hii miradi n akuisimamia kikamilifu, Nguvu kazi wanayo, wanapaswa kuwa na viwanda vya kuchakata haya mawe na kuzalisha bidhaa zenye ubora ambazo hakika zitauzika hapa nchini na hata nje ya nchi.
 
Fanya kuagiza, alibaba.

Iwapo huna uzoefu wa kuagiza basi fanya hivi.
1. Tatuta bidhaa husika alibaba
2. Share nami supplier ambaye umechagua
3. Nitafanikisha manunuzi + kusafirisha + na delivery hadi mahala ulipo, Mkoa wowote ule.
- Zaidi soma hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Hakikia hii ni fursa kubwa, hasa kwa taasisi kama Polisi, Magereza, wanaweza kabisa kuanzisha hii miradi n akuisimamia kikamilifu, Nguvu kazi wanayo, wanapaswa kuwa na viwanda vya kuchakata haya mawe na kuzalisha bidhaa zenye ubora ambazo hakika zitauzika hapa nchini na hata nje ya nchi.
Oooh kumbe ni hadi kuagiza, basi mi nilitaka tu ambazo zipo na kama hivyo kungekuwa na kiwanda.

Na kuhusu nchi kuwa na kiwanda kama hicho ni kweli kabisa ni malighafi ambazo tunazo nchini kabisa
 
Back
Top Bottom