pathfind
New Member
- Oct 17, 2023
- 4
- 2
Je, tamko la Rais ni sheria? Kama ni sheria au lazima litekelezwe? Ikitokea halijatekelezwa au kufanyika kama alivoagiza inakuwaje?
Mimi ni mmoja kati ya wahanga waliokutana na tamko hilo halafu halikutekelezwa.
Binafsi ilikuwa hivi; mimi nilikuwa mshiriki wa baadhi ujenzi miradi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nikiwa kama kama fundi umeme (nikiwa askari wa JKT operation Magufuli).
Nimeshiriki ujenzi wa maghala ya kuhifadhia silaha mapya JKT, ujenzi wa Ikulu, ujenzi wa nyumba 41 ulinzi kikosi cha Rais na ujenzi wa nyumba za jeshi la magereza Ukonga. With evidence Rais alitutamkia mbele ya umma kuwa kuanzia siku hiyo ya makabidhiano sote ni waajiriwa.
Ila ndugu Watanzania wale vijana tulioshiriki idara hizo nyeti tupo mtaani na tulipigwa na butwaa ndio maana leo nimeamua kuuliza swali hili hapa huenda ufahamu wangu mdogo.👋👋
Mimi ni mmoja kati ya wahanga waliokutana na tamko hilo halafu halikutekelezwa.
Binafsi ilikuwa hivi; mimi nilikuwa mshiriki wa baadhi ujenzi miradi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nikiwa kama kama fundi umeme (nikiwa askari wa JKT operation Magufuli).
Nimeshiriki ujenzi wa maghala ya kuhifadhia silaha mapya JKT, ujenzi wa Ikulu, ujenzi wa nyumba 41 ulinzi kikosi cha Rais na ujenzi wa nyumba za jeshi la magereza Ukonga. With evidence Rais alitutamkia mbele ya umma kuwa kuanzia siku hiyo ya makabidhiano sote ni waajiriwa.
Ila ndugu Watanzania wale vijana tulioshiriki idara hizo nyeti tupo mtaani na tulipigwa na butwaa ndio maana leo nimeamua kuuliza swali hili hapa huenda ufahamu wangu mdogo.👋👋