hata 21Ml huwezi kuanzisha biashara ya vifaa vya umeme
Hiyo labda ufungue genge la matunda japo la hali ya chini kabisa
Duh!
Basi itabidi nijipange kivingne...Ahsante Sana Kiongozi!
Kwani ungesema 21M haitoshi si angekuelewa tu? Mpaka umkatishe tamaa kwa kumvunja moyo eti afungue genge? Binadamu bwana!!!
mim pia nimeshangaa,2million kuna watu wanaona nyingi wengine wanaona kidogo,hivo ni kutoa ushauri bila kuingiza mazarau kwa mtu,unaweza kuta mtu anatoa zarau wakat yeye hio 2 million ajawai kushika,tutumia lugha nzuri ambazo hazina zarau
Nalo hilo, limfikie huyo jamaa!
Hakuna anayeanzia juu labda kama Ukute vya urithi Na kuviendeleza Au Zali Likuangukie
Ila Utasahau kuwa Cha Chini Ndicho Kinachokupandisha Juu!
kweli mkuu,wafanyabiashara wote uanzia chini mimi pia nilianza chini,unajua unapoanza biashara usianze kuwekeza pesa nyingi ata ama unazo lazima uanze kidogo,usikilizie kwamba watu watarespond vipi,hivyo ndio watu uanza biashara si utoe million 30 yote ubak hauna kitu,watu wajifunze apa
mim pia nimeshangaa,2million kuna watu wanaona nyingi wengine wanaona kidogo,hivo ni kutoa ushauri bila kuingiza mazarau kwa mtu,unaweza kuta mtu anatoa zarau wakat yeye hio 2 million ajawai kushika,tutumia lugha nzuri ambazo hazina zarau
Uko sahihi kaka, nadhani Mkuu Bluetooth keshamaliza fitina hapo juu, inategemea na yuko eneo gani, tayari ana kitu gani sasa hivi, na vitu gani aanze navyo kutokana na soko la hilo eneo.
Mali kauli itakuja baadae baada ya kupata uzoefu na kuaminiana na wauzaji wa jumla kulingana na mwenendo wa biashara yako ya sasa hivi. Usikate tamaa mkuu.