Mohamed mkami
Member
- May 7, 2022
- 49
- 83
Habari wakuu, natumai mko poa kabisa.
Nahitaji kufanya biashara ya hardware nikiwa kwenye upande wa vifaa vya Bomba pekee yani nahitaji niwekamili katika upande huu kabiaa.
Ni vitu gani vya kuzingatia zaidi maana nimekutana na fundi Bomba kadhaa na kila mmoja alinipa kile ambacho anafahamu kuhusu iyo biashara, Sasa nikasema niulizie pia kwa wauzaji wa madukani ili kufahamu zaidi kuhusu hii biashara changamoto zake na machimbo ya jumla kwa hapa nyumbani na hatakama ni kuagiza utaratibu ukoje.
NATANGULIZA SHUKRANI.
Nahitaji kufanya biashara ya hardware nikiwa kwenye upande wa vifaa vya Bomba pekee yani nahitaji niwekamili katika upande huu kabiaa.
Ni vitu gani vya kuzingatia zaidi maana nimekutana na fundi Bomba kadhaa na kila mmoja alinipa kile ambacho anafahamu kuhusu iyo biashara, Sasa nikasema niulizie pia kwa wauzaji wa madukani ili kufahamu zaidi kuhusu hii biashara changamoto zake na machimbo ya jumla kwa hapa nyumbani na hatakama ni kuagiza utaratibu ukoje.
NATANGULIZA SHUKRANI.