Je, Rais Samia alikuwa Afisa Usalama kabla?

Je, Rais Samia alikuwa Afisa Usalama kabla?

Sidhani kama ni kweli ila binafsi nachoamini n kwamba huwezi kuwa na cheo kikubwa kama urais, makamu wa rais au waziri mkuu bila kuwa kwenye system fulani ya kukufikisha hapo.
Huwezi kupata hvy vyeo kwa bahati mbaya hvy n lazima upikwe vizuri ili uweze ku-fit kwenye hicho cheo.
Mfano yule dada mwanajeshi nyuma ya Samia, alipikwa kwa ajili ya kukaa pale hata kabla Samia hajawa rais.
Kama wanapikwa mbona Wana under perform kuliko hata CEOs wa Multi nationals ambao ni raia wa kawaida tu!!
 
Watu wamekuwa wakiuliza huku, hebu tusaidie na wewe! Je, kuna majasusi mahiri wa kiuchumi nchini Tanzania?
 
Ukiwa TISS umesaini hati ya kifo cha wakati wowote kama kifo chako ni kwa maslahi ya taifa na nchi kwa ujumla!!

Kuna level hufikia utatakiwa utolewe sadaka kwa maslahi mapana ya nchi kiujumla!!

TISS siyo mchezo mchezo usiwaone na suti zao nyeusi kila mara ukadhani ni lelemama!!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!!
Acha uongo
 
Yani watz bhana sijui TISS wanaichukulia kama kitu gani sijui,
Wabongo washamba sana,sanaaa mpaka kichefu chefu. Yaani taasisi Moja ambayo yenyewe sio kila kitu na inajijua kwamba sio kila kitu hapa nchini lakini wabongo wanaiabudu,wanaoiona kama mungu mtu.

Kwa ushamba huu acha viongozi wetu wafanye wanachotaka,sisi Bado hatujielewi.
 
Kama Marais wa Tanzania ukimtoa Nyerere ndio zao la TISS basi taasisi hiyo imejaa vilaza. Hivi kweli Mwinyi ni TISS? kwa akili Gani ya ziada aliyokua nayo? au JK ni TISS? kwa udhaifu ule basi TISS imejaa vilaza mnoo. Imagine mtu kama JPM aliweza kuwa Rais licha ya kuwa na terminal illness ya moyo alafu unasema tunayo TISS hapa?

Then Samia pia ni TISS?? Duh kama Taifa tuna matatizo makubwa sana kuliko nilivyodhani
Watu mnaodharau kila mtu kias hiki na kuona kila mtu Hana akili wengi ni bipolar msiojijua.unahitaji matibabu ya haraka mkuu.
 
Kama Marais wa Tanzania ukimtoa Nyerere ndio zao la TISS basi taasisi hiyo imejaa vilaza. Hivi kweli Mwinyi ni TISS? kwa akili Gani ya ziada aliyokua nayo? au JK ni TISS? kwa udhaifu ule basi TISS imejaa vilaza mnoo. Imagine mtu kama JPM aliweza kuwa Rais licha ya kuwa na terminal illness ya moyo alafu unasema tunayo TISS hapa?

Then Samia pia ni TISS?? Duh kama Taifa tuna matatizo makubwa sana kuliko nilivyodhani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maushungi naye ni TISSS! Alaah!

Famasiala!!
 
T
Nimemsikiliza speeches zake hasa kwa polisi akiwaambiwa ukweli juu ya waliyotaka kumfanyia baadae wakagundua ni nani wanaomba msamaha na kutubu ,ni miaka hiyo akiwa anafanya kazi katika asasi za kibinafsi huko alikotokea.

Niliwahi kuhakikishiwa kuwa pure civilian hawezi kuwa CIC na ndio sababu Samia ameweza na ndio sababu ya zile top 5 za wakati wote za CCM inamaanisha kuwa lazima wale jamaa wakukubali sana .

Kama umekuwa potential hata ukiwa na miaka 30+ watakupa mafunzo ya muda ili uendane na kasi ya kuchambua data kisawasawa sio kiraia.

Je huku jamiiforumu kuna wadau walau wanamfahamu mama akiwa kitenge kama field officer au agent wa TISS akiwa foreign affairs au kokote
Tukifahamu kwamba hayo uyadhania ni kweli, kwa hiyo? Hakuna tija hapo. Watanzania tunatumia nguvu nyingi kufanya kazi ambazo hazina tija na baadaye tunabaki kulalamika maisha magumu. Utapunguzaje ukali wa maisha kama unatumia muda wote kudadisi kama Mama Samia alikuwa kwenye Usalama wa Taifa kabla ya kuwa Rais?
 
Back
Top Bottom