Je, Rais Samia alikuwa Afisa Usalama kabla?

Je, Rais Samia alikuwa Afisa Usalama kabla?

Ukiwa TISS umesaini hati ya kifo cha wakati wowote kama kifo chako ni kwa maslahi ya taifa na nchi kwa ujumla!!

Kuna level hufikia utatakiwa utolewe sadaka kwa maslahi mapana ya nchi kiujumla!!

TISS siyo mchezo mchezo usiwaone na suti zao nyeusi kila mara ukadhani ni lelemama!!

Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!!

Askari yoyote bila kujali taasis anayotokea ameweka his/her on the line kwa ajili ya nchi. Even taasis ititaka kukuondoa kwa maslahi mapana ya nchi they will
 
Na waliofunga server, kupotosha matokeo harali ni watu gani,, kama sio MFUMO!?
Kisheria kura final ni zile za kituoni, so far hakuna discrepancy kati ya kura za kituoni na zile za mtandaoni. Na hata za server zikiwa tofauti Bado matokeo ni kituoni sio taifa.

Kwa mtindo wa Sasa kura unaweza Iba masanduku ila sio kura zikishahesabiwa huwezi ongeza. So Odinga kama ni kuibiwa ni kituoni kama hakua na mawakala. But all in all System ya Kenya imejaa wakikuyu na Kenyatta ni chief wa deep state so hakuna namna wangeiba kuwa in favor ya Ruto ilihali ni adui namba Moja wa bosi wa deep state.
 
Na wengi wasiojua chochote wanabaki kuwa ni wale wa ccm kutokana na ufinyu wao wa kufikiri!
 
Nimemsikiliza speeches zake hasa kwa polisi akiwaambiwa ukweli juu ya waliyotaka kumfanyia baadae wakagundua ni nani wanaomba msamaha na kutubu ,ni miaka hiyo akiwa anafanya kazi katika asasi za kibinafsi huko alikotokea.

Niliwahi kuhakikishiwa kuwa pure civilian hawezi kuwa CIC na ndio sababu Samia ameweza na ndio sababu ya zile top 5 za wakati wote za CCM inamaanisha kuwa lazima wale jamaa wakukubali sana .

Kama umekuwa potential hata ukiwa na miaka 30+ watakupa mafunzo ya muda ili uendane na kasi ya kuchambua data kisawasawa sio kiraia.

Je huku jamiiforumu kuna wadau walau wanamfahamu mama akiwa kitenge kama field officer au agent wa TISS akiwa foreign affairs au kokote
Raisi Samia si zao la TISS ila ni zao la CCM tangu ngazi za chini kwa malengo maalum.

Ni mmoja wa watu ambao wamepaliliwa kwa malengo maalum ndani ya CCM na humu JF ipo picha yake akiwa ndani ya kikao cha CC miaka ya zamani.

Hata huko nje ni katika ile twasema "nenda upate "exposure" na wakufahamu" unanielewa hapa? Kamala Harris ni mfano wa watu ambao amefurahishwa na raisi Samia kiasi cha kutaka kuja Tanzania "for a chart" na kutaka more investimate opportunities.

Hivyo hapo polisi kama kawaida hata ukivaa uzuri tu hukuogopa kwamba labda weye ni walewale lakini kwa raisi Samia pengine aliwaambia na kuwaonyesha kuwa yeye ni nani nchi hii kwa upande wa CCM na pengine ilibidi afanye hivyo kulingana na aina ya "issue" ilokuwepo.

Yawezekana pia simu ilipigwa kwa (jina kapuni) na akasema "nyie vijana ebu mwachieni huyo ni dada yangu" na vijana walipoona ni sauti ya yule au hata ya wasaidizi wake (jina kapuni ) wakatahayari na kuomba radhi.

Hivyo ndani ya CCM ukiwaweka raisi Samia na hayati JPM , raisi Samia ni "insider" na hayati JPM alikuwa ni "outsider" na hapo utaona nani ana "backup" kubwa ya "support" ya wenye chama na kubwa zaidi kutoka kwa JK na ndo maana anamwamini kwa ushauri.

Kuna kitu watu wengi washindwa kukielewa ni uhusiano wa raisi Samia na JK. Uhusiano huu ni kwa sababu JK alimteua raisi Samia kuwa waziri katika serikali ya Muungano mwaka 2010 aliposhinda uchaguzi na kumuona kuwa huyu afaa zaidi hata kwa huko mbele.

Serikali ya mzee Karume ilikuwa na mawaziri wengi wanaume na raisi Samia wakati huo alikuwa ni mwanamke pekee na hiyo kwa wale tuangaliao kwa undani twaona kwamba ilikuwa ni aina fulani ya kubinya nafasi kwa wanawake na raisi Samia alilichukulia jambo hilo kwa uzito wake na ndilo alolibeba leo.

Kwa Tanzania TISS ipo nusunusu yaani nusu kazikazi (kwa maana ya kuhakikisha usalama wa nchi upo sawa) na nusu ni kufungwa mikono kwa nyuma (hands tide behind on their back) kwa yale mambo ya ajabu ambayo twayasikia sasa hivi yakiendelea yaani kuangalia tu nchi ikiharibiwa na wasiwe na uwezo wa kufanya chochote.
 
Humalizia vichaa wote mtaani ni usalama. Hivi hadi makonda alikua TISS?

If that's the case TISS ni ya hovyo sana inatoa watu incompetent kuliko kawaida. Hii habari paints TISS badly kuliko kuwasfia wajitafakari.
Makonda ipo wazi tokea alipokuwa akiishi kwa mzee 6!
Usimchukulie sana poa, ule ujasiri wa kumzaba kofi mzee wa watu pale ubungo plaza si wa kitoto!
Ni vile tu huyu jamaa anaufala mwingi na inajulikana, ila anatumikaje..!? Mtafute Gwajiboy!
 
Hata Mbowe na Lissu na Mnyika, pamoja na salum mwalimu, ni mawakala wa TISS, kihistoria, katiba ya chadema iliandaliwa pale kijitonyama, waasisi wakakabidhiwa na fedha ya kulianzisha. Kwa hiyo wanacheza mchezo wa mama na mwana.

NCCR Mzee Mrema, Marando na wenzake walikuwa kama CDM, ndio maana walilibomoa li chama lilipotaka kuwaasi waasisi wao ambao ni ccm
 
Kwahio unachosema wewe, kwa argument yako Makamu wa Rais lazima apite huko na kila mgombea wa Upinzani yaani kuanzia Mtikila hadi yule aliyesema ataleta Ubwabwa ? Na Mbowe, Lipumba, Zitto, Marehemu Mama Mghwira n.k. Au
Chukua hii...

Lipumba ni mkufunzi pale NDC -
National Defence College (Chuo Cha Ulinzi Wa Taifa)

Mtikila usimchukulie poa,
ndiye aliyemfanyia Vetting Kitilla Mkumbo.

Hao wengine wote uliowataja ndio walewale!

Kulikuwako kina Mapalala, Mrema, Marando nk.

Kwa kifupi Upinza Bongo, tangu awali ni mchongo wa kukwepa vibinyo vya IMF na World Bank ili kuvuta hela za mabeberu!

Yaani eeh...
Hivyo tu!
 
Hata Mbowe na Lissu na Mnyika, pamoja na salum mwalimu, ni mawakala wa TISS, kihistoria, katiba ya chadema iliandaliwa pale kijitonyama, waasisi wakakabidhiwa na fedha ya kulianzisha. Kwa hiyo wanacheza mchezo wa mama na mwana.

NCCR Mzee Mrema, Marando na wenzake walikuwa kama CDM, ndio maana walilibomoa li chama lilipotaka kuwaasi waasisi wao ambao ni ccm
Ukweli mchungu sana.
 
Makonda ipo wazi tokea alipokuwa akiishi kwa mzee 6!
Usimchukulie sana poa, ule ujasiri wa kumzaba kofi mzee wa watu pale ubungo plaza si wa kitoto!
Ni vile tu huyu jamaa anaufala mwingi na inajulikana, ila anatumikaje..!? Mtafute Gwajiboy!

Kama ni fala vile na ni zao la TISS basi TISS ni ya hovyo sana maana inazaa vijana wa hovyo.

Hii nchi imeoza kila kona, kazi ya hao TISS ni nin na mnasema kila mtu ni TISS?

Ni bongo tu hadi vichaa wa mtaani mnasema ni TISS ila kazi ya hao TISS haionekani nchi inazidi kuoza tu.

Hii habari inawachafua TISS kuliko kuwasifia.
 
Kama ni fala vile na ni zao la TISS basi TISS ni ya hovyo sana maana inazaa vijana wa hovyo.

Hii nchi imeoza kila kona, kazi ya hao TISS ni nin na mnasema kila mtu ni TISS?

Ni bongo tu hadi vichaa wa mtaani mnasema ni TISS ila kazi ya hao TISS haionekani nchi inazidi kuoza tu.

Hii habari inawachafua TISS kuliko kuwasifia.
Unateseka ukiwa wapi?

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naamini na nitaendelea kuamini kwamba, hakuna Rais yeyote Africa (Pengine duniani) ambaye hajawahi kuwa mtumishi katika taasisi nyeti (Mfano TISS). Rais ni lazima awe na ABC zinazohusu nchi na zaidi ya yote awe na uelewa wa kutosha wa namna ya kuchambua na kupembua taarifa mbalimbali anazoletewa mezani kwake(Japo kuna watu katika ngazi mbalimbali utekelezaji jukumu hili) lakini na yeye hatakiwi kuwa mbumbumbu. Aidha, naamini kwamba katika nafasi zote za ngazi za juu kuanzia kwenye mawaziri, majeshi na mikoa wengi ni vitongo. Ndio maana sijashangaa uteuzi wa yule jamaa aliyewahi kusuka nywele enzi hizo kuwa waziri mdogo.

Nadhani inatosha kwa leo.
Aah sio kwa Jiwe mtu uwe bright afu unamueka Pogba awe msaidizi wako yani mshauri mkuu kweli ?
 
Chukua hii...

Lipumba ni mkufunzi pale NDC -
National Defence College (Chuo Cha Ulinzi Wa Taifa)

Mtikila usimchukulie poa,
ndiye aliyemfanyia Vetting Kitilla Mkumbo.

Hao wengine wote uliowataja ndio walewale!

Kulikuwako kina Mapalala, Mrema, Marando nk.

Kwa kifupi Upinza Bongo, tangu awali ni mchongo wa kukwepa vibinyo vya IMF na World Bank ili kuvuta hela za mabeberu!

Yaani eeh...
Hivyo tu!
Lipumba anafundisha nini NDC!?
 
Back
Top Bottom