lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,484
Aisee
Hakuna masuala ya kitengo wala nini kwenye URais. !Ila wapo waliokiri kwamba walikua wanajaribu tu.
Sidhani kama mtu wa system anaweza kufanya majaribio na kutangaza kama alijaribu tu akapata bahati mbaya
DaahNimemsikiliza speeches zake hasa kwa polisi akiwaambiwa ukweli juu ya waliyotaka kumfanyia baadae wakagundua ni nani wanaomba msamaha na kutubu ,ni miaka hiyo akiwa anafanya kazi katika asasi za kibinafsi huko alikotokea.
Niliwahi kuhakikishiwa kuwa pure civilian hawezi kuwa CIC na ndio sababu Samia ameweza na ndio sababu ya zile top 5 za wakati wote za CCM inamaanisha kuwa lazima wale jamaa wakukubali sana .
Kama umekuwa potential hata ukiwa na miaka 30+ watakupa mafunzo ya muda ili uendane na kasi ya kuchambua data kisawasawa sio kiraia.
Je huku jamiiforumu kuna wadau walau wanamfahamu mama akiwa kitenge kama field officer au agent wa TISS akiwa foreign affairs au kokote
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Umeona Pasaka isiishe kwa amani hadi uharibu hali ya hewa.....
Ni hivyo mkuu!!Kwa hiyo unataka lutuambia na yule jamaa alikua IST?
Sitaki kuamini hii.
CAG una seat yako mbinguni 😅😅Hili nalo mkalitizameView attachment 2583502
Anamitego ya Kanga eti eeh!,..😉😉Jibu unalotaka sitakupa 🤣🤣🤣🤣🤣
Sitashangaa maana soku hizi intelligence hawachukui watu intelligent kama zamani bali connection tuNimemsikiliza speeches zake hasa kwa polisi akiwaambiwa ukweli juu ya waliyotaka kumfanyia baadae wakagundua ni nani wanaomba msamaha na kutubu ,ni miaka hiyo akiwa anafanya kazi katika asasi za kibinafsi huko alikotokea.
Niliwahi kuhakikishiwa kuwa pure civilian hawezi kuwa CIC na ndio sababu Samia ameweza na ndio sababu ya zile top 5 za wakati wote za CCM inamaanisha kuwa lazima wale jamaa wakukubali sana .
Kama umekuwa potential hata ukiwa na miaka 30+ watakupa mafunzo ya muda ili uendane na kasi ya kuchambua data kisawasawa sio kiraia.
Je huku jamiiforumu kuna wadau walau wanamfahamu mama akiwa kitenge kama field officer au agent wa TISS akiwa foreign affairs au kokote
Ninachojua Mimi ni ;-Mbona Trump alikuwa Urais licha ya system kumkataa? Or Ruto amekua Rais licha ya mfumo kumkataa. Nadhani mchawi ni demokrasia tu, uchaguzi ukiwa free and fair hata Raia ambaye TISS hawamtambui anaweza shinda Urais.
Saaana sana na Malaika wa kumsadia kaziCAG una seat yako mbinguni 😅😅
HahahaaaMkuu, hii sasa mmemlisha maneno CAG wetu 🤣🤣🤣
Hamia burundi,,!Anaandaliwa mwingine zaidi ya yule !!
Wamemjaza maneno mpka mashavu yamevimba😅😅😅Mkuu, hii sasa mmemlisha maneno CAG wetu 🤣🤣🤣
Wewe ndio kilaza wa jf japo kwa usengelema wako unajiona una akiliKama Marais wa Tanzania ukimtoa Nyerere ndio zao la TISS basi taasisi hiyo imejaa vilaza. Hivi kweli Mwinyi ni TISS? kwa akili Gani ya ziada aliyokua nayo? au JK ni TISS? kwa udhaifu ule basi TISS imejaa vilaza mnoo. Imagine mtu kama JPM aliweza kuwa Rais licha ya kuwa na terminal illness ya moyo alafu unasema tunayo TISS hapa?
Then Samia pia ni TISS?? Duh kama Taifa tuna matatizo makubwa sana kuliko nilivyodhani
Hope walimlawiti mamakoTISS wanalawitiwa sana wakiwa nje ya Tz
🤣🤣🤣🤣Mwambie tu kwamba kama ana peni na rula ndeeeefu basi apigie mstari
Anamitego ya Kanga eti eeh!,..😉😉