zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 24,239
- 39,816
Wewe Kila siku unasema JK ni fisadi na pia Samia nchi imemshinda ndio Sasa nakuuliza unakubali kwamba TISS inazalisha viongozi mafisadi na vilaza kama JK na Samia? Maana ubora wa taasisi tunaupima kwa products zake!! Kwamba Dk.shein, Amani Karume, Samia, Mwinyi ni zao la TISS 😂😂😂. Mbona TISS imefuga vilaza kiasi hikoWewe ndio kilaza wa jf japo kwa usengelema wako unajiona una akili
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app