Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,498
- 8,559
Nilitaka ulete wewe ili tuthibitishe madai yako... Make umeandika vitu konki sana kwa mwana ccm mwenzako!Jifunze kutumia "search engines" za mtandao.
NB: search engines nazijua.
Nilitaka ulete wewe ili tuthibitishe madai yako... Make umeandika vitu konki sana kwa mwana ccm mwenzako!Jifunze kutumia "search engines" za mtandao.
Uongo mtupu...Kumbuka tu: Ikiwa Rais wa Tanzania ana uwezo mpaka wa kuteua na kutenguwa Rais wa nchi nyingine atakosa uwezo wa kuteua naibu waziri mkuu?
KWANI KASSIM MWENYEWE ANASEMAJE?Nakumbuka Salim Ahmed Salim pamoja na Augustine Lyatonga Mrema waliwahi kuteuliwa kwenye nafasi za naibu waziri mkuu wakati wa utawala wa Alli Mwinyi, kama sijasahau.
Lakini kwa hili nafikiri Kasim anatakiwa sasa achukue tahadhari ama ajiuzulu, kwasababu hii sio dalili njema kwa afya ya cheo chake, na ikumbukwe kwamba Kasim hakua chaguo la mama kua prime minister.
Anasema kataa ndoaKWANI KASSIM MWENYEWE ANASEMAJE?
TUANZIE HAPO
Kuanzia nimfahamu leo pale kwenye tamasha alipoa sana!!KWANI KASSIM MWENYEWE ANASEMAJE?
TUANZIE HAPO
Nimeelewa logic ya hii commentRais wa Tanzania ana mamlaka ndani Tanzania kuliko rais wa USA ndani ya USA.
Nyerere alijiundia katiba ya kumhami sana madudu yake.
Kaka yangu hakupendi. Wewe ni adui yake.Anasema kataa ndoa
Nilimkosea nini ili nimuombe msamaha aiseeee...🤔Kaka yangu hakupendi. Wewe ni adui yake.