Je, Padri Kitima Anachuki Na Serikali, Anachuki Na Rais Samia Au Chuki Na Uislamu?!

Je, Padri Kitima Anachuki Na Serikali, Anachuki Na Rais Samia Au Chuki Na Uislamu?!

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,614
Reaction score
40,160
Anaandika Aloyse Nyanda Mtozi kupitia ukurasa wake wa Instagram:
1766949733233.png


Je Fr Kitima anachuki na serikali au ana chuki na Rais Samia au anachuki na Uislamu?

Jibu ni HAPANA ila ukweli ni kwamba Kitima mbali na kuwa ni mlezi wa wengi pia ni Mwalimu wa Human rights alifundisha vijana chuo Kikuu na linapokuja swala la Haki na Usawa hatazami Mtu.

Alikuwa VC wa SAUT na mwaka 2003 wakati huo Rais wa Nchi akiwa Mkapa.

Wakati huo Fr alikuwa anapiga kelele sana kuhusu uwekezaji kwenye sekta ya Madini,alitaka kuona Watanzania wananufaika na uwekezaji kwenye sekta ya Madini. Alimshambulia Mkapa Mkatoliki

Fr Kitima 2005 alianzisha kituo cha haki za binadamu cha SAUT ambapo alikuwa anapambana na mauaji ya watu wenye ulemavu pamoja na Vikongwe.

Fr Kitima yeye mwenyewe alikwenda field kuzungumza na wananchi na kutoa elimu kwa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Sauti ya Fr ilisikika kanda yote ya ziwa,alitumia njia nyingi kuhakikisha watu wenye ulemavu pamoja na vikongwe wanabaki salama.

2.Wakati wa Kikwete Fr kitima alipiga kelele kuhusu masuala ya haki za binadamu alimshambulia kikwete wala sio Uislamu wake

Mwaka 2009 ,Fr alipiga kelele kuitaka serikali iwasomeshe wanafunzi wote wa vyuo vikuu,na hili alilifanikisha.

3 .Wakati wa JPM Fr Kitima alimkosoa vikali JPM pale alipoanza kuwakandamiza wapinzani wake,kufungia media na NGOs kuzuia uhuru na JPM ni mkatoliki

Aliukosoa waziwazi uchaguzi wa 2020 na kusema hakukuwa na uchaguzi na kumeliacha taifa kwenye majonzi

Wakati wa sakata la Covid,Fr hakukubaliana na serikali,aliitaka serikali ya JPM kuweka wazi idadi ya wagonjwa na waliofariki kwa covid.

Fr alifanya mkutano na waandishi na kutamka idadi ya mapadri waliopoteza maisha kwa covid hali ambayo ilizua sintofahamu kuhusu msimamo wake.

Hivyo Fr kuikosoa serikali hii,si chuki kwa Rais wa sasa wala kusema anamchukia Rais Samia.

Nadhani wale vijana wahuni wameshindwa kutafsiri akili kubwa ya Fr Kitima.

Fr kwa sisi tunaomjua na tuliemuona Pale Saut,tulimsikiliza na tuliomfuatilia ,ni muumini mzuri sana wa Ujamaa wa Mwalimu Nyerere.

Ukosoaji wake huwa hautazami anayemkosoa dini gani,chama gani,jinsia gani.

Yeye ana mambo mawili anayasimamia.
1.HAKI
2.Umasikini(Huwa anaumia sana kuona watu ni masikini katikati ya utajiri)

Mtozi
 
Kama kuna mtanzania anayeamini huyu shetwani wa kizanzibari anachukiwa kwa sababu ya dini yake au jinsia yake, basi mtu huyo ni mpumbavu na ubongo wake haufanyi kazi.

Huyu mtu kuna watu wa dini yake kibao tu wanamchukia, na pia kuna wakristo kibao tu tena wakatoliki wanamtetea na kumsapoti licha ya unyama alioufanya.
 
Kama kuna mtanzania anayeamini huyu shetwani wa kizanzibari anachukiwa kwa sababu ya dini yake au jinsia yake, basi mtu huyo ni mpumbavu na ubongo wake haufanyi kazi.

Huyu mtu kuna watu wa dini yake kibao tu wanamchukia, na pia kuna wakristo kibao tu tena wakatoliki wanamtetea na kumsapoti licha ya unyama alioufanya.
Wale masheikh wa kijiwe samli, buguruni na mburahati wanaamin hivyo
 
Anaandika Aloyse Nyanda Mtozi kupitia ukurasa wake wa Instagram:
View attachment 3521947


Je Fr Kitima anachuki na serikali au ana chuki na Rais Samia au anachuki na Uislamu?

Jibu ni HAPANA ila ukweli ni kwamba Kitima mbali na kuwa ni mlezi wa wengi pia ni Mwalimu wa Human rights alifundisha vijana chuo Kikuu na linapokuja swala la Haki na Usawa hatazami Mtu.

Alikuwa VC wa SAUT na mwaka 2003 wakati huo Rais wa Nchi akiwa Mkapa.

Wakati huo Fr alikuwa anapiga kelele sana kuhusu uwekezaji kwenye sekta ya Madini,alitaka kuona Watanzania wananufaika na uwekezaji kwenye sekta ya Madini. Alimshambulia Mkapa Mkatoliki

Fr Kitima 2005 alianzisha kituo cha haki za binadamu cha SAUT ambapo alikuwa anapambana na mauaji ya watu wenye ulemavu pamoja na Vikongwe.

Fr Kitima yeye mwenyewe alikwenda field kuzungumza na wananchi na kutoa elimu kwa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Sauti ya Fr ilisikika kanda yote ya ziwa,alitumia njia nyingi kuhakikisha watu wenye ulemavu pamoja na vikongwe wanabaki salama.

2.Wakati wa Kikwete Fr kitima alipiga kelele kuhusu masuala ya haki za binadamu alimshambulia kikwete wala sio Uislamu wake

Mwaka 2009 ,Fr alipiga kelele kuitaka serikali iwasomeshe wanafunzi wote wa vyuo vikuu,na hili alilifanikisha.

3 .Wakati wa JPM Fr Kitima alimkosoa vikali JPM pale alipoanza kuwakandamiza wapinzani wake,kufungia media na NGOs kuzuia uhuru na JPM ni mkatoliki

Aliukosoa waziwazi uchaguzi wa 2020 na kusema hakukuwa na uchaguzi na kumeliacha taifa kwenye majonzi

Wakati wa sakata la Covid,Fr hakukubaliana na serikali,aliitaka serikali ya JPM kuweka wazi idadi ya wagonjwa na waliofariki kwa covid.

Fr alifanya mkutano na waandishi na kutamka idadi ya mapadri waliopoteza maisha kwa covid hali ambayo ilizua sintofahamu kuhusu msimamo wake.

Hivyo Fr kuikosoa serikali hii,si chuki kwa Rais wa sasa wala kusema anamchukia Rais Samia.

Nadhani wale vijana wahuni wameshindwa kutafsiri akili kubwa ya Fr Kitima.

Fr kwa sisi tunaomjua na tuliemuona Pale Saut,tulimsikiliza na tuliomfuatilia ,ni muumini mzuri sana wa Ujamaa wa Mwalimu Nyerere.

Ukosoaji wake huwa hautazami anayemkosoa dini gani,chama gani,jinsia gani.

Yeye ana mambo mawili anayasimamia.
1.HAKI
2.Umasikini(Huwa anaumia sana kuona watu ni masikini katikati ya utajiri)

Mtozi
Mtamuua samuya
 
Anaandika Aloyse Nyanda Mtozi kupitia ukurasa wake wa Instagram:
View attachment 3521947


Je Fr Kitima anachuki na serikali au ana chuki na Rais Samia au anachuki na Uislamu?

Jibu ni HAPANA ila ukweli ni kwamba Kitima mbali na kuwa ni mlezi wa wengi pia ni Mwalimu wa Human rights alifundisha vijana chuo Kikuu na linapokuja swala la Haki na Usawa hatazami Mtu.

Alikuwa VC wa SAUT na mwaka 2003 wakati huo Rais wa Nchi akiwa Mkapa.

Wakati huo Fr alikuwa anapiga kelele sana kuhusu uwekezaji kwenye sekta ya Madini,alitaka kuona Watanzania wananufaika na uwekezaji kwenye sekta ya Madini. Alimshambulia Mkapa Mkatoliki

Fr Kitima 2005 alianzisha kituo cha haki za binadamu cha SAUT ambapo alikuwa anapambana na mauaji ya watu wenye ulemavu pamoja na Vikongwe.

Fr Kitima yeye mwenyewe alikwenda field kuzungumza na wananchi na kutoa elimu kwa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Sauti ya Fr ilisikika kanda yote ya ziwa,alitumia njia nyingi kuhakikisha watu wenye ulemavu pamoja na vikongwe wanabaki salama.

2.Wakati wa Kikwete Fr kitima alipiga kelele kuhusu masuala ya haki za binadamu alimshambulia kikwete wala sio Uislamu wake

Mwaka 2009 ,Fr alipiga kelele kuitaka serikali iwasomeshe wanafunzi wote wa vyuo vikuu,na hili alilifanikisha.

3 .Wakati wa JPM Fr Kitima alimkosoa vikali JPM pale alipoanza kuwakandamiza wapinzani wake,kufungia media na NGOs kuzuia uhuru na JPM ni mkatoliki

Aliukosoa waziwazi uchaguzi wa 2020 na kusema hakukuwa na uchaguzi na kumeliacha taifa kwenye majonzi

Wakati wa sakata la Covid,Fr hakukubaliana na serikali,aliitaka serikali ya JPM kuweka wazi idadi ya wagonjwa na waliofariki kwa covid.

Fr alifanya mkutano na waandishi na kutamka idadi ya mapadri waliopoteza maisha kwa covid hali ambayo ilizua sintofahamu kuhusu msimamo wake.

Hivyo Fr kuikosoa serikali hii,si chuki kwa Rais wa sasa wala kusema anamchukia Rais Samia.

Nadhani wale vijana wahuni wameshindwa kutafsiri akili kubwa ya Fr Kitima.

Fr kwa sisi tunaomjua na tuliemuona Pale Saut,tulimsikiliza na tuliomfuatilia ,ni muumini mzuri sana wa Ujamaa wa Mwalimu Nyerere.

Ukosoaji wake huwa hautazami anayemkosoa dini gani,chama gani,jinsia gani.

Yeye ana mambo mawili anayasimamia.
1.HAKI
2.Umasikini(Huwa anaumia sana kuona watu ni masikini katikati ya utajiri)

Mtozi
Ana chuki na Uchafu wa serikali
 
Mfano Rais angekuwa Kassim Majaliwa au Hussein Mwinyi usingewasikia wanatumia chaka la udini, Uzanzibari (Mwinyi) kujificha kwa sababu ya uongozi wake mbovu na wa hovyo.

Hata kama wangekuwa wabovu kiasi gani wasingeweza kuua maelfu ya Watanganyika na kufanya ufisadi wa kutisha kama Samia, nafikiri bado wana utu kiasi flani.

Samia angefanya mambo mazuri kuchagua viongozi kwa kufuata meritocracy, kukemea uzembe, uvivu,
ufisadi, rushwa, kufanya uchaguzi ulio huru na wa haki, kupigania haki, mahakama zinazotoa haki, polisi wanaofanya kazi kwa weledi na kufuata sheria, kulinda rasilimali za nchi,angekubalika na kusifiwa na watu wote pamoja na Fr Kitima, Ruwaichi, TEC, Sheikh Ponda, SADC, AU, UN, EU, US dunia nzima.

Angeanza mapema uhuni ulipoanza kwa kukemea na kutokomeza ufisadi, ufiraji,utekaji, utesaji, mauaji, kutupa watu magereza, maporini na kuhakikisha anatokomeza haya mambo ya kishenzi. Angejikita kupigania haki kwa wote automatically angependwa na wengi.
Sababu ameboronga anajificha kwenye kichaka cha Uzanzibari, udini, jinsia.
 
Mfano Rais angekuwa Kassim Majaliwa au Hussein Mwinyi usingewasikia wanatumia chaka la udini, Uzanzibari (Mwinyi) kujificha kwa sababu ya uongozi wake mbovu na wa hovyo.

Hata kama wangekuwa wabovu kiasi gani wasingeweza kuua maelfu ya Watanganyika na kufanya ufisadi wa kutisha kama Samia, nafikiri bado wana utu kiasi flani.

Samia angefanya mambo mazuri kuchagua viongozi kwa kufuata meritocracy, kukemea uzembe, uvivu,
ufisadi, rushwa, kufanya uchaguzi ulio huru na wa haki, kupigania haki, mahakama zinazotoa haki, polisi wanaofanya kazi kwa weledi na kufuata sheria, kulinda rasilimali za nchi,angekubalika na kusifiwa na watu wote pamoja na Fr Kitima, Ruwaichi, TEC, Sheikh Ponda, SADC, AU, UN, EU, US dunia nzima.

Angeanza mapema uhuni ulipoanza kwa kukemea na kutokomeza ufisadi, ufiraji,utekaji, utesaji, mauaji, kutupa watu magereza, maporini na kuhakikisha anatokomeza haya mambo ya kishenzi. Angejikita kupigania haki kwa wote automatically angependwa na wengi.
Sababu ameboronga anajificha kwenye kichaka cha Uzanzibari, udini, jinsia.
Hakika
 
Back
Top Bottom