6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 1,826
- 4,076
Nipeni mbinu ndugu yenu, maana kila nikijaribu kumkwepa kiaina beauty huyu inashindikana.
This girl she's very beautiful na pia ana sifa muhimu zote ambazo zinamfanya aonekane bora mbele ya bora wengine. Ndio maana mjeshi yupo tayari kumpa kila anachotaka ilimradi asimkose mrembo huyo.
Mimi mwenyewe pamoja na uzoefu wangu wa kung'oa visu, ila kwa huyu nilipata tabu sana kumtengeneza mpaka akatengenezeka, na kunikabidhi mwili wake na maisha yake.
Tatizo ni kwamba beauty huyu anauwa ndege wawili kwa jiwe moja. Yaani anatumiliki mimi namlinda mipaka yetu kwa wakati mmoja, kitu ambacho mimi naona kama ni hatari zaidi kwangu na nikizingatia yakwamba mlinda mipaka huyo ndio mhudiamiaji mkuu kwa binti huyu, huku mimi nikiwa sitoi huduma yoyote ya maana zaidi tu ya kumpa msuguo takatifu hadi anajikuta anamsahau mlinda mipaka yetu na kupelekea kutokuelewana na soja huyo.
Wakati tunaanza uhusiano wetu alikuwa ananiambia kuwa mjeshi huyo ambae ni mkubwa kiumri na kicheo ni baba yake, lakini baadae nikaja kugundua kuwa ni mchepuko wake, na ndio unaompangia, unaomlisha, unaomvalisha, unaompendezesha nk.
Sasa toka nilipogundua kuwa anamilikiwa na mjeshi nimeshajaribu kumwambia demu tuachane ili abaki na huyo mjeshi wake, demu amegoma eti hawezi kukubali niachane nae kwa sababu ya huyo soja.
Anasema pamoja na kwamba mjeshi anatoa huduma zote za malazi, mavazi na kumuonesha upendo wa kweli, lakini bado kuna baadhi ya mambo muhimu kwenye mwili wake huwa hayapati mpaka anapokutana na mimi kwenye 6 kwa 6.
Sasa wakuu hii hali inanikosesha amani, kwa sababu najua siku huyu soja akigundua atafanya jambo baya aidha kwangu au kwa huyu beauty. Ndio maana nimekuja kwenu kuomba ushauri kabla mambo hayajaharibika.
Ni vyema nikawahi kuchukua tahadhari kabla ya hatari.
This girl she's very beautiful na pia ana sifa muhimu zote ambazo zinamfanya aonekane bora mbele ya bora wengine. Ndio maana mjeshi yupo tayari kumpa kila anachotaka ilimradi asimkose mrembo huyo.
Mimi mwenyewe pamoja na uzoefu wangu wa kung'oa visu, ila kwa huyu nilipata tabu sana kumtengeneza mpaka akatengenezeka, na kunikabidhi mwili wake na maisha yake.
Tatizo ni kwamba beauty huyu anauwa ndege wawili kwa jiwe moja. Yaani anatumiliki mimi namlinda mipaka yetu kwa wakati mmoja, kitu ambacho mimi naona kama ni hatari zaidi kwangu na nikizingatia yakwamba mlinda mipaka huyo ndio mhudiamiaji mkuu kwa binti huyu, huku mimi nikiwa sitoi huduma yoyote ya maana zaidi tu ya kumpa msuguo takatifu hadi anajikuta anamsahau mlinda mipaka yetu na kupelekea kutokuelewana na soja huyo.
Wakati tunaanza uhusiano wetu alikuwa ananiambia kuwa mjeshi huyo ambae ni mkubwa kiumri na kicheo ni baba yake, lakini baadae nikaja kugundua kuwa ni mchepuko wake, na ndio unaompangia, unaomlisha, unaomvalisha, unaompendezesha nk.
Sasa toka nilipogundua kuwa anamilikiwa na mjeshi nimeshajaribu kumwambia demu tuachane ili abaki na huyo mjeshi wake, demu amegoma eti hawezi kukubali niachane nae kwa sababu ya huyo soja.
Anasema pamoja na kwamba mjeshi anatoa huduma zote za malazi, mavazi na kumuonesha upendo wa kweli, lakini bado kuna baadhi ya mambo muhimu kwenye mwili wake huwa hayapati mpaka anapokutana na mimi kwenye 6 kwa 6.
Sasa wakuu hii hali inanikosesha amani, kwa sababu najua siku huyu soja akigundua atafanya jambo baya aidha kwangu au kwa huyu beauty. Ndio maana nimekuja kwenu kuomba ushauri kabla mambo hayajaharibika.
Ni vyema nikawahi kuchukua tahadhari kabla ya hatari.