Je, Dr. Dau ana tofauti gani na Liyumba wa BoT?

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,217
Upo msemo usemeo kabla yakuvuka mto usiwachezee mamba. Huu ni msemo wa ajabu sana ikiwa umpenz wakuchunguza mambo kiundani nakujuwa maana yake. Nimekuwa mdau wa taifa hili tangu nilipo zaliwa na hata sasa iman kubwa ninayo amini uzalendo wa kweli na mapenz ya dhati ya mtu kwa taifa kwanza nikuwa mwaminifu na mwenye imani kwa taifa lako.

Nimekuwa mdau wakufuwatilia mambo mengi ktk siasa za taifa hili na jambo kubwa nimeligundua ni viongozi kuwa WAONGO huku wakitumia umasikini wa watanzania na vyombo vya habari kuficha maovu yao. Hii ni aina nyingine ya siasa kwenye taifa hili ambayo kama vyombo vya usalama haito ingalia yaweza kuwa hatari kule tuendapo.

Moja ya sababu zimenifanya kuandika huu uzi nikuwepo na propaganda nje na ndani ya taifa zinazo taka eti kutuaminisha Dr Dau ni mtu mzuri sana na anapaswa kuwa mfano wakuigwa na ili kunogesha hizo propaganda leo 19.04.2016. Mimi sitaki pingana na utenzi wake alio utoa leo wenye kejeli na lugha zenye viasilia vya udini ndani yake binafsi nikirejea katiba yetu kifungu18 kuanzia mwanzo hadi mwisho naona palikuwa na ukiukwaji mkubwa wakikatiba hasa maudhui ya ile msg.

Pale palikuwa na viongoz wakuu wakiserikali na hotuba yakiongozi makini na mwenye uzalendo wa kweli ilikuwa nikutoa neno lashukrani nakupongeza haikuwa sehem yamipasho na inshallah nyingi zenye kuleta picha eti utenguzi wake ilikuwa sio sawa na daraja lakigamboni ndio uzalendo wakwel kwake kwa taifa maana project imeisha na leo daraja limefunguliwa.

Labda niwakumbushe ndugu wa tanzania na watu wote wenye mapenz mema na taifa hili kukumbuka kabla yakupiga makofi nakumsifia. Kbla ya Dr Dau palikuwapo na marehem Lyumba alie tekeleza kwa mafanikio makubwa nchi ya tanzania kupata twin tower na bank kuu yenye sura ya kimataifa lakini mwisho wake wengi mnaujuwa alikutwa na kashifa yakuongeza zero ktk ujenzi, Bazir Mramba waziri alie apa watanzania wale majani ndege ya Rais inunuliwe nayeye ndan ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi.

Nimependa kuwafungua macho ili tuende sawa. Dr Dau kabla na baada yakuondolewa Nssf alikuwa anawindwa na scendo zilizofanya serikali kutengu uteuzi wake nakupewa mtu mwingine wakati huo team x ikifanya spy kwenye kila lililokuwa likimuhusu Yeye na mwisho wa siku vyombo vya habari na mitandao yakijamii palianzwa kudondoshwa siri zilizo na harufu ya samaki zinazomuhusu Dr Dau. Mambo haya yalifanya watu kuanza kujuwa kile kilicho nyuma ya utenguzi wa huyu bwana. Ila jambo lakutisha zaidi nipale gazeti la Dira kuleta siri nzito ya ukwasi wa huyu Dr Dau.

Ujenzi wa Daraja lakigamboni tuwe wa kweli sio wazo la Dr Dau. Hili ni wazo la serikali la muda mrefu chini ya Ccm. Msimamizi wa maono haya ni waziri ambaye leo ni Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tz chini ya Rais mstaafu Dk Jakaya Kikwete. Mradi huu umetumia ~200B, wakati ikisemekana huyo afisa wa serikali akiwa na ukwasi wa 100B, achilia mbali tenda na zabuni zilizotolewa pasipo kufuwa sheria za manunuzi ambazo kwa sasa ni tetesi zilikuwa zake.

Ndugu wa Tanzania mimi ningeomba Dr Dau akae kimya na atulie wakati vyombo vya usalama vikifuwatilia kila aina ya makandokando kwenye mradi huu na ndani ya shirika alikuwa akiongoza na kama hao watamuacha akiwa clearn jaman Dr Dau ndipo atoe hvyo vijembe nakauli anatoa sasa maana kweli atakuwa anatimiza haki yake ya msingi yakujitete. Upo msemo unasema mtu akikutukana nakukutumia mashutuma mengi wewe usimjibu maana mwisho wasiku adhira ilio kuzunguka itakuhurumia, lakini ukijibizana watu hawawezi kukuelewa asilani.

Dr Dau nibora akumbuke ajavuka mto na mamba niwengi nje na ndani ya mtoto nahata wakimla yeye sio wakwanza wapo nyuma yake akina Mramba,Yona na marehem Lyumba hawa wote vyeo vyao vilikuwa dhamana. Ni wakati muwafaka kukubali kama ulishangiliwa sana basi kuzomewa pia kupo. Nakama hukujuwa cheo ni dhamana basi sasa cheo ni dhamana kwako. Mwenyaz Mungu akupe wepesi. Inshallah.
 
Usilinganishe Liyumba na Mtendaji makini Dr Dau, Msomi mwenye kupigwa majungu kila siku, nadhani Liyumba unamjua vizuri mambo yake
 
Ndivyo mwafikiri watu kazi yetu kutembeza viboko na hatuwaz nje ya box. Pole sana mwaka huu mtaisoma namba.
 
Unaogopa nini unamtaka Dr.Dau akae kimya akisubiri uchunguzi lakin wewe na Wenzio hamtaki kusubiri huo uchunguzi mnamjadili na kumfungulia thread kila kukicha?
Labda hukusikiliza hotuba ya Rais, Rais kaliongelea hilo la gharama kwa kirefu tutafuta hotuba yake Rais!

Kuhusu Uadilifu au ufisadi wa DAU acha kusoma Makaratasi ya Mitaani mnayoyasanifu wenyewe na kuja kuyatumia kama reference

1) NSSF ndio Mfuko wenye Vitega uchumi vingi zaid kuliko PPF, PSPF,LAPF na LAPF lakin ndio Mfuko tunaoambiwa kila siku umefilisika.
2) NSSF imeshawahi kupewa vyeti cha Ubora NBAA kwa ubora wa mahesabu yake japo tunaambiwa kuna mpaka hekta moja imenunuliwa mill 800. Na CAG Ludovick Utouh mara zote kawapa hati safi.
3) PPRA wamewapa cheti cha ubora na viwango katika manunuzi ya huduma na bidhaa (VFM)
4) PCCB wamewapa alama ya chini ya viashiria vya rushwa (Corruption index)
5) Sasa kama Dau ni Mwizi leteni ushahidi madhubuti sio machapisho ya Dira na edited Auditors Report. Otherwise mnazidi kumpaisha tu.

"...Falyatanafassu fasilmutanafissun..."
 
Upo msemo usemeo kabla yakuvuka mto usiwachezee mamba. Huu ni msemo wa ajabu sana ikiwa umpenz wakuchunguza mambo kiundani nakujuwa maana yake. Nimekuwa mdau wa taifa hili tangu nilipo zaliwa na hata sasa iman kubwa ninayo amini uzalendo wa kweli na mapenz ya dhati ya mtu kwa taifa kwanza nikuwa mwaminifu na mwenye imani kwa taifa lako.

Nimekuwa mdau wakufuwatilia mambo mengi ktk siasa za taifa hili na jambo kubwa nimeligundua ni viongozi kuwa WAONGO huku wakitumia umasikini wa watanzania na vyombo vya habari kuficha maovu yao. Hii ni aina nyingine ya siasa kwenye taifa hili ambayo kama vyombo vya usalama haito ingalia yaweza kuwa hatari kule tuendapo.

Moja ya sababu zimenifanya kuandika huu uzi nikuwepo na propaganda nje na ndani ya taifa zinazo taka eti kutuaminisha Dr Dau ni mtu mzuri sana na anapaswa kuwa mfano wakuigwa na ili kunogesha hizo propaganda leo 19.04.2016. Mimi sitaki pingana na utenzi wake alio utoa leo wenye kejeli na lugha zenye viasilia vya udini ndani yake binafsi nikirejea katiba yetu kifungu18 kuanzia mwanzo hadi mwisho naona palikuwa na ukiukwaji mkubwa wakikatiba hasa maudhui ya ile msg.

Pale palikuwa na viongoz wakuu wakiserikali na hotuba yakiongozi makini na mwenye uzalendo wa kweli ilikuwa nikutoa neno lashukrani nakupongeza haikuwa sehem yamipasho na inshallah nyingi zenye kuleta picha eti utenguzi wake ilikuwa sio sawa na daraja lakigamboni ndio uzalendo wakwel kwake kwa taifa maana project imeisha na leo daraja limefunguliwa.

Labda niwakumbushe ndugu wa tanzania na watu wote wenye mapenz mema na taifa hili kukumbuka kabla yakupiga makofi nakumsifia. Kbla ya Dr Dau palikuwapo na marehem Lyumba alie tekeleza kwa mafanikio makubwa nchi ya tanzania kupata twin tower na bank kuu yenye sura ya kimataifa lakini mwisho wake wengi mnaujuwa alikutwa na kashifa yakuongeza zero ktk ujenzi, Bazir Mramba waziri alie apa watanzania wale majani ndege ya Rais inunuliwe nayeye ndan ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi.

Nimependa kuwafungua macho ili tuende sawa. Dr Dau kabla na baada yakuondolewa Nssf alikuwa anawindwa na scendo zilizofanya serikali kutengu uteuzi wake nakupewa mtu mwingine wakati huo team x ikifanya spy kwenye kila lililokuwa likimuhusu Yeye na mwisho wa siku vyombo vya habari na mitandao yakijamii palianzwa kudondoshwa siri zilizo na harufu ya samaki zinazomuhusu Dr Dau. Mambo haya yalifanya watu kuanza kujuwa kile kilicho nyuma ya utenguzi wa huyu bwana. Ila jambo lakutisha zaidi nipale gazeti la Dira kuleta siri nzito ya ukwasi wa huyu Dr Dau.

Ujenzi wa Daraja lakigamboni tuwe wa kweli sio wazo la Dr Dau. Hili ni wazo la serikali la muda mrefu chini ya Ccm. Msimamizi wa maono haya ni waziri ambaye leo ni Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tz chini ya Rais mstaafu Dk Jakaya Kikwete. Mradi huu umetumia ~200B, wakati ikisemekana huyo afisa wa serikali akiwa na ukwasi wa 100B, achilia mbali tenda na zabuni zilizotolewa pasipo kufuwa sheria za manunuzi ambazo kwa sasa ni tetesi zilikuwa zake.

Ndugu wa Tanzania mimi ningeomba Dr Dau akae kimya na atulie wakati vyombo vya usalama vikifuwatilia kila aina ya makandokando kwenye mradi huu na ndani ya shirika alikuwa akiongoza na kama hao watamuacha akiwa clearn jaman Dr Dau ndipo atoe hvyo vijembe nakauli anatoa sasa maana kweli atakuwa anatimiza haki yake ya msingi yakujitete. Upo msemo unasema mtu akikutukana nakukutumia mashutuma mengi wewe usimjibu maana mwisho wasiku adhira ilio kuzunguka itakuhurumia, lakini ukijibizana watu hawawezi kukuelewa asilani.

Dr Dau nibora akumbuke ajavuka mto na mamba niwengi nje na ndani ya mtoto nahata wakimla yeye sio wakwanza wapo nyuma yake akina Mramba,Yona na marehem Lyumba hawa wote vyeo vyao vilikuwa dhamana. Ni wakati muwafaka kukubali kama ulishangiliwa sana basi kuzomewa pia kupo. Nakama hukujuwa cheo ni dhamana basi sasa cheo ni dhamana kwako. Mwenyaz Mungu akupe wepesi. Inshallah.
Nimeona mstari mmoja ukimtaja waziri wa ujenzi wa wakati hio kama ndie alikua msimamizi wa ujenzi wa daraja, vipi nae hahusiki ktk huo ufisadi wa Dr Dau???
 
Ndivyo mwafikiri watu kazi yetu kutembeza viboko na hatuwaz nje ya box. Pole sana mwaka huu mtaisoma namba.
wewe unatamani rasilimali za umma ziendelee kuliwa na mafisadi mpaka lini? mwehu wewe!
 
Ukitaka kujua Dr Dau Jembe, chukua bajaji yako nenda kigamboni kapande Daraja la kunin'ginia, Taifa linahitaji watu wenye vision kama Dr Dau, siyo kenge washirikina wanaokalia majungu kwenye vigazeti vyao vya kufungia nyanya na maandazi
 
Tofauti yeye mzima liyumba marehemu ila wote wmelitumikia taifa kila MTU Na mradi aliousimamia mmoja daraja Na mwingine twin tower dar ila mmoja anatuumiwa Na mwingine aliukumiwa ila wote tuuma ni ufisadi
 
hawa washenzy wamejaa sana chuki za kidini ndio maana wapo nyumba kimaendeleo kwa sababu ya husda zao za KIKE.

Tatizo lako nawe ukiwaongelea "Wenzio" unawatazama wa Ostybay,Masaki,Seaview.
Tazama na wenzenu wale wa Mbababay, Tukuyu, Machwechwe sumbawanga, Misungwi n.k ndio utajua kuwa wapo mbele au nyuma kimaendeleo.

Ukilinganisha ndugu zako wa Mbezi beach na "Washenzi" wa Tandale lazima uone wako nyuma.
Sasa Linganisha "Washenzi" wa Mikocheni na "ndugu zako"wa Magu na Ilulangulu ujue kweli wako nyuma au mbele kimaendeleo!
 
Mleta mada inaonekana hotuba fupi ya Dr Dau imemkera sana hasa alipomalizia kwa aya ya Quran tukufu....cha muhimu we beba ujumbe murua uliopo kwenye aya ile. Kuwa tushindane kwenye mambo ya kheri, mambo yenye Tija,mambo yenye manufaa. Acha kushindania ujinga,chuki,uzushi,udini havina maana
 
Back
Top Bottom