leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,408
- 1,821
hapa haruswi mtu wala kuhama labda nyumba na vitu vingeni hii kwa sabab kuna gravitation force
Dunia ikisimama basi kamatia chini.Je, ile momentum iliyokuwepo itaturusha nje ya dunia kama mtu anavyorushwa kwenye kioo cha mbele cha gari?
Ebu tambua ndege haitembei katika atmosphere inatembea juu ya atm0s.,, ndio maana aiwez d0nd0ka hvy0 ni rahs kuirudisha chn
Mbona hatuoni kama dunia inazunguka? Nkiwa kwenye gari naona linakimbia, can feel it, sasa hii kitu ya dunia inazunguka vipi? Toa shule hapaJe, ile momentum iliyokuwepo itaturusha nje ya dunia kama mtu anavyorushwa kwenye kioo cha mbele cha gari?
Itakuwa pouzi la kukata gogo! Ha haaa.Inafurahisha sana.. Mada hizi huwa mtu anajikuta anafikiria akiwa katika pozi maalum.. Sasa mkuu sijui alikuwa katika pozi gani kati ya pozi zetuu zile..
Yani LazimaSi bure mmea umehusika hapa
Good thought, then i suppose hata ikisimama Dunia wala hutahisi kitu sivyo?Mbona hatuoni kama dunia inazunguka? Nkiwa kwenye gari naona linakimbia, can feel it, sasa hii kitu ya dunia inazunguka vipi? Toa shule hapa
Wala sio bangi ndugu jaribu kufuatilia kabla ya kutoa mchango wako. Mtoa mada yupo sahihi. Watu kama sie (waafrica) ndio maanaSi bure mmea umehusika hapa
Kuliko kunijibu mimi bora na wewe ungemsaidia kuongeza nyama ktk huo uvumbuzi wake wa dunia ikisimama ghafla watu watarushwa...ili na wewe tujue unatumia mmea wa mkoa gani! Niache na mawazo yangu hasiWala sio bangi ndugu jaribu kufuatilia kabla ya kutoa mchango wako. Mtoa mada yupo sahihi. Watu kama sie (waafrica) ndio maana
hatuwezi fanya uvumbuzi wowote sababu ya mawazo hasi kama yako.
Kuna nabii mmoja katika Biblia nimemsahau jina alisimamisha jua kwa muda sasa huwa najiuliza ni jua ndo lilisimama au dunia. Mana kisayansi jua hua lipo constant ila dunia ndo hulizunguka wakuu msaada plz
Kipindi hicho walidhani ni jua ndio linazunguka hivyo kama ni kweli, basi ni Dunia ndio ilisimama, nini kilitokea?Kuna nabii mmoja katika Biblia nimemsahau jina alisimamisha jua kwa muda sasa huwa najiuliza ni jua ndo lilisimama au dunia. Mana kisayansi jua hua lipo constant ila dunia ndo hulizunguka wakuu msaada plz
Sahihisho dogo tu mkuu katika usemi wako.Kuna nabii mmoja katika Biblia nimemsahau jina alisimamisha jua kwa muda sasa huwa najiuliza ni jua ndo lilisimama au dunia. Mana kisayansi jua hua lipo constant ila dunia ndo hulizunguka wakuu msaada plz
Ya kusadikikaTheory
Una miaka mingapi?Iliwahi kutokea enzi ya nabii joshua wakati anataka kuingia nchi ya kanaani na wana wa Israel. ...that's why we have 28 or 29 days ktk mwezi February. ...ila nahisi ikisimama mida hii hili tatizo la sukari litakuwa kwisha habari yake
Kwa kuwa dunia inajizungusha kwenye mhimili wake kwa mwendo unaofikia km 1670 kwa saa, ikitokea imesimama ghafla basi viumbe kama binadamu, wanyama n.k tutarushwa nje ya uso wa dunia kwa mwendo unaofikia km1600 kwa saa, pia kutakuwa na uharibifu wa vitu!