Je, nini kitatokea kama Dunia ikisimama ghafla?

Je, nini kitatokea kama Dunia ikisimama ghafla?

Mkuu usiombe. Maana dunia inatembea 107,200 km/h. Just imagine gari ikitembea Km 180 kwa saa watu wote humo ndani roho juu juu... So ikitokea dunia ikasimama ghafla wote tutarushwa hukooo, sijui hata tutatua wapi. Labda kwenye jua.
Mkuu samahani hiyo speed umeipataje?
 
Kitu cha kwanza vitu vyote vitakosa mwelekeo na kuanza kugongana kwenye uso wa dunia, fikiria concept ya unapokuwa kwenye gari then inasimama ghafla.
 
Dunia inaongozwa na Mungu hivyo hawezi ruhusu hiyo hali itokee ila pia alishawahi ruhusu

Jiulize alitembeaje juu ya maji
 
DDunia ina mizunguko miwili, kujizungusha kwenye mhimili wake(rotation) ambapo uleta mchana na usiku, na kuzunguka jua(revolution) ambapo huleta majira ya kiangazi, masika etc.

Sasa wewe unauliza ikisimama mzunguko upi kati ya hiyo?
 
Kila kitu tunamezeshwa na wazungu hapa chini ya jua, mbaya zaidi tunawaamini kiasi wengine wanasema Mungu hayupo. Sio kila kitu wazungu wanajua jamani, vingine wanatupelekapeleka kufanikisha mipango yao.
 
Kila kitu tunamezeshwa na wazungu hapa chini ya jua, mbaya zaidi tunawaamini kiasi wengine wanasema Mungu hayupo. Sio kila kitu wazungu wanajua jamani, vingine wanatupelekapeleka kufanikisha mipango yao.
Usikubali mtu yeyote yule (mzungu, padiri, shehe, raisi) akufanye uamini kitu chochote kile. Jiridhishe wewe mwenyewe kwa kutafiti (sayansi) au kiimani (dini). Mzungu hajakushikia mtutu kichwani uamini kuwa unahitaji oksijeni ili uishi.

Kumlaumu mtu yeyote yule kwa ufahamu wetu finyu ndio chanzo cha sisi kurudi nyuma au kutoendelea.
 
Mkuu Kifyatu niambie iwapo jua litakaa kwenye constellation moja what is the serious effect kwa jamii na isitoshe ni miaka 26000 ambayo itakuwa ngumu kwa jamii husika Ku detect changes.2--kwa sasa tupo kwenye constellation gan na inamanufaa gan kwa jamii iliyopo..sijui nimetoka kwenye swali lile ombi lako??...
 
Mkuu Kifyatu niambie iwapo jua litakaa kwenye constellation moja what is the serious effect kwa jamii na isitoshe ni miaka 26000 ambayo itakuwa ngumu kwa jamii husika Ku detect changes.2--kwa sasa tupo kwenye constellation gan na inamanufaa gan kwa jamii iliyopo..sijui nimetoka kwenye swali lile ombi lako??...
Niseme tu Astrologers wanaamini kuwa haiba za watu na mivuto yao inategemea sana na mipangilio ya heavenly bodies wakati wanazaliwa (mimi naamini to some extent, sio yote). Sasa tuchukulie kama hii gyroscopic precession isingekuwepo basi ina maana pengine:
  • Tusingekuwa na Yesu alie-inspire Ukristo.
  • Tusingekuwa na Muhammad alieleta Uislam.
  • Einstein, Hubble, au hata wewe na mimi tusingekuwepo kwa hali tuliyonayo sasa.
Ina maana matukio yote muhimu yaliyotengeneza dunia yetu ya leo (kuanzia enzi za kale) yangekuwa tofauti kabisa. Sijui yangekuwaje lakini yangekuwa tofauti. Pengine majipu yasingekuwa yanatumbuliwa au kusingekuwa na haja ya kutumbua majipu. The implications are enormous.

Sasa hivi tumetoka kwenye Age of Pisces (fish) na tumeingia kwenye Age of Aquarius (water bearer).

THINK:
Mkuu neo1 do you think it is a coincidence that Yesu aliezaliwa during the Age of the Fish kuwa his whole Ministry revolved around the FISH? Wafuasi wake walikuwa wavuvi, miujiza yake ilihusisha samaki, kaulimbiu yake ilikuwa kuwavua wenye dhambi.

Je kama Yesu angezaliwa, kwa mfano, kwenye Age of the Scorpion au Lion mambo yangekuwaje? Kungekuwa na ukristu? Au dini za kikristu au kiislam (kupitia nabii Issa bin Mariam au Yesu) zingekuwepo au zingekuwa kama tuzijuavyo leo? ....Think!
 
DDunia ina mizunguko miwili, kujizungusha kwenye mhimili wake(rotation) ambapo uleta mchana na usiku, na kuzunguka jua(revolution) ambapo huleta majira ya kiangazi, masika etc.

Sasa wewe unauliza ikisimama mzunguko upi kati ya hiyo?
Nazungumzi rotation to be precise
 
Kuliko kunijibu mimi bora na wewe ungemsaidia kuongeza nyama ktk huo uvumbuzi wake wa dunia ikisimama ghafla watu watarushwa...ili na wewe tujue unatumia mmea wa mkoa gani! Niache na mawazo yangu hasi
Sawa ndugu, katika maisha yangu sivutiwi na wala sipendezwi na ugomvi wa aina yoyote ile hata wa maneno, hiyo ndio asili yangu. Labda tu alichokosea mleta mada ni kuandika post yake "kirahisi" bila ufafanuzi wa kutosha aweze kueleweka kwa wengi lakini anachouuliza kina mantiki na wala sio upuuzi kiasi hicho.
 
Mbona hatuoni kama dunia inazunguka? Nkiwa kwenye gari naona linakimbia, can feel it, sasa hii kitu ya dunia inazunguka vipi? Toa shule hapa
unaona gari linakimbia kwa sababu unaangalia nje!
 
Niseme tu Astrogers wanaamini kuwa haiba za watu na mivuto yao inategemea sana na mipangilio ya heavenly bodies wakati wanazaliwa (mimi naamini to some extent, sio yote). Sasa tuchukulie kama hii gyroscopic precession isingekuwepo basi ina maana pengine:
  • Tusingekuwa na Yesu alie-inspire Ukristo.
  • Tusingekuwa na Muhammad alieleta Uislam.
  • Einstein, Hubble, au hata wewe na mimi tusingekuwepo kwa hali tuliyonayo sasa.
Ina maana matukio yote muhimu yaliyotengeneza dunia yetu ya leo (kuanzia enzi za kale) yangekuwa tofauti kabisa. Sijui yangekuwaje lakini yangekuwa tofauti. Pengine majipu yasingekuwa yanatumbuliwa au kusingekuwa na haja ya kutumbua majipu. The implications are enormous.

Sasa hivi tumetoka kwenye Age of Pisces (fish) na tumeingia kwenye Age of Aquarius (water bearer).

THINK:
Mkuu neo1 do you think it is a coincidence that Yesu aliezaliwa during the Age of the Fish kuwa his whole Ministry revolved around the FISH? Wafuasi wake walikuwa wavuvi, miujiza yake ilihusisha samaki, kaulimbiu yake ilikuwa kuwavua wenye dhambi.

Je kama Yesu angezaliwa, kwa mfano, kwenye Age of the Scorpion au Lion mambo yangekuwaje? Kungekuwa na ukristu? Au dini za kikristu au kiislam (kupitia nabii Issa bin Mariam au Yesu) zingekuwepo au zingekuwa kama tuzijuavyo leo? ....Think!

Muda mfupi uliopita nimekuona kama mwanasayansi, ghafula tena nakuona kama mganga! sijui kwanini!
 
Mbona hatuoni kama dunia inazunguka? Nkiwa kwenye gari naona linakimbia, can feel it, sasa hii kitu ya dunia inazunguka vipi? Toa shule hapa
Kwa sababu gari haitembei katika spidi iliyokua sawa, inabadilisha spidi kila baada ya muda kulingana na mazingira ya barabara, pia vile vile kuna friction mbali mbali zilizoko katika barabara, ukingalia kwa mfano unapotembea barabara ya lami unaweza ukasoma sms na ukaiandika kwenye simu yako, hii ni kwa sababu friction ni ndogo, unapotembea kwenye barabara ya koko unaweza ukaisoma sms lakini kuiandika ikawa tabu hii pia nayo ni friction. Lakini nchi za wenzetu kuna treni ambazo zinatumia umeme na zinaenda kwa spidi iliyo sawa, unaweza kua ndani ya treni na ukachuku simu ukasoma sms, ukajibu sms bila ya kukosea, kubwa zaidi unaweza hata ukachukua peni na daftari na kuanza kuandika bila ya kukosea kitu ambacho kwenye lami huwezi kukifanya, hata meli baharini kama utajifungia ndani usione nje, na meli itaenda kwa constant speed basi hutajua kama meli inatembea, wewe utajiona umetulia tu.
 
Hio ni baada ya kuwa tumerushwa nje au
spidi ya dunia kuzunguka jua ni kilomita 30 kwa sekunde. Hivo dunia ikisimama ghafla tunarushwa kwa spidi ya 30 km per second na dunia itamezwa na jua.Ndio kiama na mwisho wa siasa za kinafiki.
 
Muda mfupi uliopita nimekuona kama mwanasayansi, ghafula tena nakuona kama mganga! sijui kwanini!
Astronomy na Astrology ni hobby zangu kuu mkuu. None ni taaluma (profession) yangu.
 
Niseme tu Astrogers wanaamini kuwa haiba za watu na mivuto yao inategemea sana na mipangilio ya heavenly bodies wakati wanazaliwa (mimi naamini to some extent, sio yote). Sasa tuchukulie kama hii gyroscopic precession isingekuwepo basi ina maana pengine:
  • Tusingekuwa na Yesu alie-inspire Ukristo.
  • Tusingekuwa na Muhammad alieleta Uislam.
  • Einstein, Hubble, au hata wewe na mimi tusingekuwepo kwa hali tuliyonayo sasa.
Ina maana matukio yote muhimu yaliyotengeneza dunia yetu ya leo (kuanzia enzi za kale) yangekuwa tofauti kabisa. Sijui yangekuwaje lakini yangekuwa tofauti. Pengine majipu yasingekuwa yanatumbuliwa au kusingekuwa na haja ya kutumbua majipu. The implications are enormous.

Sasa hivi tumetoka kwenye Age of Pisces (fish) na tumeingia kwenye Age of Aquarius (water bearer).

THINK:
Mkuu neo1 do you think it is a coincidence that Yesu aliezaliwa during the Age of the Fish kuwa his whole Ministry revolved around the FISH? Wafuasi wake walikuwa wavuvi, miujiza yake ilihusisha samaki, kaulimbiu yake ilikuwa kuwavua wenye dhambi.

Je kama Yesu angezaliwa, kwa mfano, kwenye Age of the Scorpion au Lion mambo yangekuwaje? Kungekuwa na ukristu? Au dini za kikristu au kiislam (kupitia nabii Issa bin Mariam au Yesu) zingekuwepo au zingekuwa kama tuzijuavyo leo? ....Think!
Hilo la yesu na nyota ya samaki limenishtua kidogo.., sikuwa nafahamu kama ni nyota yake, ila nafahamu maisha yake yamezungukwa na uvuvi, wavuvi na samaki
 
Hilo la yesu na nyota ya samaki limenishtua kidogo.., sikuwa nafahamu kama ni nyota yake, ila nafahamu maisha yake yamezungukwa na uvuvi, wavuvi na samaki
Nilichomaanisha ni kuwa kipindi Yesu alipozaliwa kilitawaliwa na nyota ya samaki (Age of Pisces) ambacho kilidumu kwa miaka 2150. Sasa hivi tumeingia zama za mchota maji (Age of Aquarius) ambayo nayo itadunu kwa miaka mingine 2150.
 
Je, ile momentum iliyokuwepo itaturusha nje ya dunia kama mtu anavyorushwa kwenye kioo cha mbele cha gari?
Mkuu kitaalamu dunia ikipungua speed yake angalau kwa nukta moja tuu basi oxygen itaganda nakuwa barafu hivyo hatutaweza kuishi na endapo itaongeza speed angalau nukta moja tuu basi maji yaliyoizunguka dunia yatafunika uso wa dunia pia hakutakuwa na uhai ..

Asante.
 
Back
Top Bottom