Je, nini kitatokea kama Dunia ikisimama ghafla?

Je, nini kitatokea kama Dunia ikisimama ghafla?

Naona baada ya kubet Altc na Rmadrid jana ukaliwa bado huamini
Au mi naona Dunia ikisimama gafla ,nawe unashuka gafla unapanda mabasi ya ya mwendo Kasi ya DART unawahi zako kariako
 
ikisamama itaangukia mbali huko na maji ya bahar yatamwagika!!
 
Ukute ni mwezi wa Ramadhani halafu ndio muda wa jioni karibu na kufuturu. Hapo dunia ikisimama lazima nifuturu hata jua halijazama. Just imagine ile jioni ongeza masaa kama manne hivi. Weee
 
Mkuu usiombe. Maana dunia inatembea 107,200 km/h. Just imagine gari ikitembea Km 180 kwa saa watu wote humo ndani roho juu juu... So ikitokea dunia ikasimama ghafla wote tutarushwa hukooo, sijui hata tutatua wapi. Labda kwenye jua.

Mkuu mbona ishasimama Mara nyingi, kwa spidi ya dunia ikisimama ghafla utarushwa kwa spidi sawa na yake then utaizunguka dunia na kuja kutua hapo ulipokuwepo
 
Mkuu usiombe. Maana dunia inatembea 107,200 km/h. Just imagine gari ikitembea Km 180 kwa saa watu wote humo ndani roho juu juu... So ikitokea dunia ikasimama ghafla wote tutarushwa hukooo, sijui hata tutatua wapi. Labda kwenye jua.
Mkuu usiombe. Maana dunia inatembea 107,200 km/h. Just imagine gari ikitembea Km 180 kwa saa watu wote humo ndani roho juu juu... So ikitokea dunia ikasimama ghafla wote tutarushwa hukooo, sijui hata tutatua wapi. Labda kwenye jua.
Mkuu usiombe. Maana dunia inatembea 107,200 km/h. Just imagine gari ikitembea Km 180 kwa saa watu wote humo ndani roho juu juu... So ikitokea dunia ikasimama ghafla wote tutarushwa hukooo, sijui hata tutatua wapi. Labda kwenye jua.
Itaturusha mpaka ulaya na wa ulaya waturushwa mpaka huku, kwahiyo tutakuwa tumefika ulaya bila kulipa nauli.
Itaturusha mpaka ulaya na wa ulaya waturushwa mpaka huku, kwahiyo tutakuwa tumefika ulaya bila kulipa nauli.
Kurushwa HAPANA labda mambo mawili yatokee kwa wakati mmoja:
1.Dunia isimame ghafla, wakati huo huo
2. Nguvu za uvutano za dunia ( gravity) zitoweke ghafla.
 
Mtoa post wewe ni mdogo wake kitwanga au? Kama hujasoma hata basic geographical issues basi usiulize viswali vya kijinga hapa. Maana hata mtu akianza kufafanua center of gravity hujui sasa utaelewa vipi vitu vikubwa
 
Mtoa Post ameuliza swali zuri sana.... tatizo wengi wetu hatupendi kutumia uwezo kufikiria katika yale yanayo onekana kama HAYAWEZEKANI....

Ila msingi wa uvumbuzi wowote ni maswali kama haya... hivi waliovumbua mawasiliano ya simu nao si walijiuliza "nawezaje kuongea na mtu aliye kilometa maelfu na maelfu bila ya mimi na yeye kuonana face to face!?? au aliyeuliza "nitumie machuma kupaa au kusafiria majini ili hali kwa mtazamo wa haraka utaona haiwezekani"

Kiukweli baadhi ya majibu hayako poa ila inaweza ikawa ni mzaha tu kusherehesha POST ila kwa mantiki mimi naona swali la mtoa post liko sawa kabisa... hasa ukizingatia sasa hivi katika ulimwengu wa Kifizikia Law ya gravity ya Newton ina mapungufu mengi....

Ugunduzi wa Gravitational wave length wa Albert Einsten na jinsi ufahamu wa mambo unavyozidi kuongezeka kuhusiana na elimu ya Cosmology... ni vema tukajaribu kuzingatia haya mabadiliko katika kumjibu mleta mada... mambo ya gravity ya Newton siku hizi hayapewi nguvu tena!!
 
Naona baada ya kubet Altc na Rmadrid jana ukaliwa bado huamini
Au mi naona Dunia ikisimama gafla ,nawe unashuka gafla unapanda mabasi ya ya mwendo Kasi ya DART unawahi zako kariako

Watu mna vituko!!.
 
Iliwahi kutokea enzi ya nabii joshua wakati anataka kuingia nchi ya kanaani na wana wa Israel. ...that's why we have 28 or 29 days ktk mwezi February. ...ila nahisi ikisimama mida hii hili tatizo la sukari litakuwa kwisha habari yake
 
Kwa mtu anayetumia kichwa kufugia nywele, uko sahihi.

Ni vizuri tu ukakaa kando uanche wanaoelewa wajadili. Wewe hili suala kwako ni kubwa mno huliewezi na ndiyo sababu umeshaanza kuharibu ukidhani wewe ndiye kipimo cha kufikiri. Pole.
 
Back
Top Bottom