Ukiruka unakuwa na speed ile ile sawa na dunia, hivyo unatua pale paleMbona dunia imesimama tangiapo?
Ingekuwa dunia ni kweli inazunguka mtu ukiruka juu usingetua pale pale ulipokuwa.
Definitely plantaeSi bure mmea umehusika hapa
Unatua palepale kwa sababu bado unazunguka nayo, haikuathiri kwa chochote.Mbona dunia imesimama tangiapo?
Ingekuwa dunia ni kweli inazunguka mtu ukiruka juu usingetua pale pale ulipokuwa.
Ndo utuambie tutatua wapi!Mkuu usiombe. Maana dunia inatembea 107,200 km/h. Just imagine gari ikitembea Km 180 kwa saa watu wote humo ndani roho juu juu... So ikitokea dunia ikasimama ghafla wote tutarushwa hukooo, sijui hata tutatua wapi. Labda kwenye jua.
Pale elimu ilipoharibu Akili zetu!Ukiruka unakuwa na speed ile ile sawa na dunia, hivyo unatua pale pale
-nhe nhe!Si bure mmea umehusika hapa
Hio ni baada ya kuwa tumerushwa nje auDunia ikisimama ghafla "itamezwa" na jua kutokana na mvuto wa gravity jua.
Unatua palepale kwa sababu bado unazunguka nayo, haikuathiri kwa chochote.
Je, ukiwa kwenye basi linalokwenda kwa 200km/h, ukawa unarusha rusha chungwa juu, je halitarudia mkononi?
Ukiruka unakuwa na speed ile ile sawa na dunia, hivyo unatua pale pale
Hizi theory ni za uongo, ukiwa kwenye gari lililo wazi unaweza kuruka juu ukakuta gari limekuacha ukadondokea chini, kwa nini isiwe hivyo kwenye dunia?
mtu anat0a p0st kzembe utarushwaje wakati dunia ina cener of gravity ambay0 inavuta v2 vyote kuja chn
You have made my night!Itaturusha mpaka ulaya na wa ulaya waturushwa mpaka huku, kwahiyo tutakuwa tumefika ulaya bila kulipa nauli.