Je, ni sawa kumpelekea moto mtoto wa kaka yake na bibi?

Ulizw hivi "unaruhusiwa kutoka kimahusiano na mama"

Ila yote kwa yote dhinaa ni uchafu na dhinaa imekatazwa katika vitabu vyote vya dini.
 
Bibi yangu mzaa mama ana kaka yake mdogo ambaye ana binti mzuri sana na nahisi tunapendana, kwa ufupi ni binamu yake mama.

Je, kiafrika naruhusiwa kumpelekea moto au ni mama yangu mdogo?
Bila kupepesa macho wala maneno tunaishi nyakati sawa na walizoishi Nabii Rutu, hatuna tofauti na kitakachotokea sodoma na gomora
 
Bibi yangu mzaa mama ana kaka yake mdogo ambaye ana binti mzuri sana na nahisi tunapendana, kwa ufupi ni binamu yake mama.

Je, kiafrika naruhusiwa kumpelekea moto au ni mama yangu mdogo?
Andika Kaka yake Bibi, sio Kaka yake na bibi
 
Bibi yangu mzaa mama ana kaka yake mdogo ambaye ana binti mzuri sana na nahisi tunapendana, kwa ufupi ni binamu yake mama.

Je, kiafrika naruhusiwa kumpelekea moto au ni mama yangu mdogo?
Huyo analika kabisa bila wasiwasi
 
Back
Top Bottom