mangi eddy
Member
- Nov 25, 2013
- 48
- 12
very good pointUkiifatilia vizuri hii kesi unagundua kuwa huyo kijana kama alikuwa anasoma kweli nje ya nchi.Basi iko chuo au shule sio ya kupeleka mtoto wako kabsa maana anasikiliza zaidi maneno ya kuambiwa kulko kuangalia uhalisia wa tukio.Mama yako amekiri kamuua shangazi yako unawachukiaje upande wa baba yako wakati wamepoteza wapendwa wao wawili.Huyo dogo akituliza kichwa ana nafas kubwa ya kumaliza hyo kesi maana kiumri anauwezo wa kusimamia mali za baba yake.Kwa upande wangu naona FAMILIA YA BABA iko sawa zaidi japo wanaweza kuwa na mapungufu kama binadamu,Kuliko upande wa mama yake.Wamshaur kijana atulize akili yake ili asimamie mali zao na amlee mama yake huko gerezani alipo.Akae karibu na familia zote mbili upande wa Baba na Mama maana wote wanamuhusu.