heaven sent

  1. nergomafioso

    Seven days in hell! (siku saba kuzimu)-1

    SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU) Episode-1 Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku damu nyingi zikiendelea kunitoka lakini maumivu makali yalinirudisha chini. Kwa kutumia...
  2. Anna Mwaigomole

    Happy Birthday Dada Mkubwa Heaven Sent!

    Naamini hunijui. Na mimi nakiri kuwa sikujui. Hatujuani! Lakini zamani wakati sijajiunga JF ulikuwa unaandika sana hasa kuhusu ushauri wa kimahusiano, malezi ya watoto, familia, mambo ya kiroho; na maisha kwa ujumla. Mwaka 2018 au 2017 (sikumbuki vizuri), nilisoma comment yako moja hivi...
  3. M

    Je, ni sahihi Steven Mbazi kusimamia mali za Bilionea? Tumpe ushauri DC Jerry Muro katika utatuzi wa sakata hili la mali

    Umofia kwenuuu wanabodi! Awali ya yote ningependa sana kumpongeza Dc Jerry Muro kwa jitihada zake za kuingilia Kati sakata hili la mali za marehemu .Naomba tuutumie uzi huu kama njia ya kumpa ushauri mheshimiwa DC wa namna ya kushighulika na sakata hili! Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana...
  4. LadyRed

    Lets tak about SINGLE FATHERS...

    Wazima wote?... Naona mada ama 'stigma' ya hali ya juu kuhusu Single Mothers.... Leo labda tujadili upande wa pili wa shilingi Mwanamke/Wanawake unawachukuliaje Single Fathers?Ni wakosefu wa adabu/maadili kuzaa kabla ya ndoa au wana roho njema kutunza watoto? Unaweza kataa mwanaume kwa sababu...
  5. kabon14

    Nini maana ya ndoto hii?

    Habar wakuu.. Naomba wenye uelewa na haya mambo wanijuze. Ni zaidi ya maramoja imenitokea hii hali. Mara ya mwisho ambayo ni jana ilikuwa hivi.! Nilishtuka kutoka usingizini mida ninayo amka kila siku, lakin kutokana na kuwa jana ilikuwa siku yang ya kupumzika sikuona ulazima wa kuiacha shuka...
Back
Top Bottom