Je ni sahihi kufanya mapenzi na mwenza kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa na hii inahusisha jinsia zote mbili.

Mwanaume wakati mwingine anajaribu kujiridhisha kama mwanamke anaendana na vigezo vyake hali kadhalika kwa wanawake pia.
Vijana wengi wamekuwa wakitumia kauli za dhihaka kama (Usiniuzie mbuzi kwenye gunia)

Mara nyingi majaribio kama haya yamekuwa yakifanyika na wakati mwingine ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa huku wanandoa walishapata watoto hapo awali.

Wakati mwingine ndoa inawekewa vikwazo kwasababu za kujificha lakini ukweli ni kuwa wanandoa walishashindwana kwenye majaribio.

Je wewe una maoni gani kuhusu tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

View attachment 2035190
Haya mambo yana utamu wake ila yanakuwa machungu pale mwanamke anapokuwa na ujauzito

Pale ndipo utata unapoanzia especially mwanaume kama hajajipanga kimaisha bado anaishi nyumbani
 
Ni uzinzi tu umewajaa vijana! Watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa dunia wala isingefika hapa na hata mapenzi ya jinsia moja yasingeenea kwa kiasi hiki!

Maana ushoga kwa asilimia kubwa hufanyika kwenye mazingira ya uzinzi! Haiwezekani wanaume wawili mabikira wafunge ndoa eti wakashikishane ukuta hiyo experience wamepata wapi?
Kwa bahati mbaya ndio wanafanya sasa. Wanaokuwa kwenye wakati mgumu zaidi ni wale waliojipa kiapo nafsini mwao cha kutofanya hadi ndoa na wakati huo huo ndoa wanazitaka na wanaotaka kuingia nao ndoani hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Wengine wanakagua kizazi,wengine wanakagua ukubwa wa maumbile nyeti,yaani full fujo.
 
Kama unataka ndoa yenye baraka nyingi zaidi basi usijaribu. Na ni vyema ukampa nafasi Mwenyezi MUNGU katika hatua zote za kuingia kwenye ndoa
 
Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa na hii inahusisha jinsia zote mbili.

Mwanaume wakati mwingine anajaribu kujiridhisha kama mwanamke anaendana na vigezo vyake hali kadhalika kwa wanawake pia.
Vijana wengi wamekuwa wakitumia kauli za dhihaka kama (Usiniuzie mbuzi kwenye gunia)

Mara nyingi majaribio kama haya yamekuwa yakifanyika na wakati mwingine ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa huku wanandoa walishapata watoto hapo awali.

Wakati mwingine ndoa inawekewa vikwazo kwasababu za kujificha lakini ukweli ni kuwa wanandoa walishashindwana kwenye majaribio.

Je wewe una maoni gani kuhusu tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

View attachment 2035190
Microphone yenyewe inajaribiwa kabla ya kutumika
 
Liking itatokana na your sweetness, structure, relativity, handling/mnyumbuliko, unavyoongea, unavyotembea, unavyo handle mazungumzo na ki recover kutokana na maudhi, reaction after the fact nakadhalika. Hebu tujaribu
But testing haitakiwi kuwa ya kwanza, ni baada ya kupenda hivyo vyote ulivovisema hapo👆 tests ni mwishowe baada ya kupendana
 
Back
Top Bottom