Je ni sahihi kufanya mapenzi na mwenza kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Aug 30, 2021
630
1,245
Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa na hii inahusisha jinsia zote mbili.

Mwanaume wakati mwingine anajaribu kujiridhisha kama mwanamke anaendana na vigezo vyake hali kadhalika kwa wanawake pia.
Vijana wengi wamekuwa wakitumia kauli za dhihaka kama (Usiniuzie mbuzi kwenye gunia)

Mara nyingi majaribio kama haya yamekuwa yakifanyika na wakati mwingine ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa huku wanandoa walishapata watoto hapo awali.

Wakati mwingine ndoa inawekewa vikwazo kwasababu za kujificha lakini ukweli ni kuwa wanandoa walishashindwana kwenye majaribio.

Je wewe una maoni gani kuhusu tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

images (4).jpeg
 
Ni uzinzi tu umewajaa vijana! Watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa dunia wala isingefika hapa na hata mapenzi ya jinsia moja yasingeenea kwa kiasi hiki!

Maana ushoga kwa asilimia kubwa hufanyika kwenye mazingira ya uzinzi! Haiwezekani wanaume wawili mabikira wafunge ndoa eti wakashikishane ukuta hiyo experience wamepata wapi?
 
Ni uzinzi tu umewajaa vijana! Watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa dunia wala isingefika hapa na hata mapenzi ya jinsia moja yasingeenea kwa kiasi hiki!

Maana ushoga kwa asilimia kubwa hufanyika kwenye mazingira ya uzinzi! Haiwezekani wanaume wawili mabikira wafunge ndoa eti wakashikishane ukuta hiyo experience wamepata wapi?
Umeeleza vema kabisa, uzinzi/uasherati umeshamiri na ndio chanzo cha mengine yote!

Watu tungeingia ndoani sealed ingekuwa poa sana.
 
Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa na hii inahusisha jinsia zote mbili.

Mwanaume wakati mwingine anajaribu kujiridhisha kama mwanamke anaendana na vigezo vyake hali kadhalika kwa wanawake pia.
Vijana wengi wamekuwa wakitumia kauli za dhihaka kama (Usiniuzie mbuzi kwenye gunia)

Mara nyingi majaribio kama haya yamekuwa yakifanyika na wakati mwingine ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa huku wanandoa walishapata watoto hapo awali.

Wakati mwingine ndoa inawekewa vikwazo kwasababu za kujificha lakini ukweli ni kuwa wanandoa walishashindwana kwenye majaribio.

Je wewe una maoni gani kuhusu tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

View attachment 2035190
Tabia mbaya sana hii. Ningeweza rudisha muda nyuma ningehakikisha sigegedi papuchi mpaka pale ninapata mke
 
Kinachoskitsha zaid imekuwa kama n destur au utamaduni, na pia imeondoa uaminifu baina ya wanandoa maana unayemtest ukamuacha atakuja mwngne atamst na kumuoa n rahs sana mwanaume huyu kuamini kuwa mkewe anatoka nje na maex wake hata kama s kweli.

N vle tu hawajawah kujua athar za kukutana kimwli kabla ya ndoa, wadada wameanza kutumika tangu wakiwa na miaka 14 huko vjana nao ndo usiseme wamekubuhu. Hii n mbaya na inamadhara.....​
 
Ni uzinzi tu umewajaa vijana! Watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa dunia wala isingefika hapa na hata mapenzi ya jinsia moja yasingeenea kwa kiasi hiki!

Maana ushoga kwa asilimia kubwa hufanyika kwenye mazingira ya uzinzi! Haiwezekani wanaume wawili mabikira wafunge ndoa eti wakashikishane ukuta hiyo experience wamepata wapi?
mie napita tyuuh.
 
Back
Top Bottom