Je ni ndani ya masaa 48 mtu kati?

Je ni ndani ya masaa 48 mtu kati?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,209
Reaction score
41,776
Ni swali tu maana wavaa ngwada wakitamkaga nchi yeyote ile uwa wanatamka huku mkubwa akiwa chini ya ulinzi Tayari,

Na ikitokea wakatamka kabla basi haichukui muda!

Nasisitiza HOTUBA YA KUANDIKA NA KUANDIKIWA INAJULIKANA


Britanicca
 
"Captain-Tesha makangembuzi" hili litakuwa jina la mwanangu wa kwanza.

Yahn TISS inaongozwa na tapeli muuza matairi kariakoo na magenarali wanaangalia hakika zarau zimezidi.

Wachaga kwa hili mpewe pongezi kijana kaonesha umuhimu wenu wa mkoloni kuwapa shule mapema.
 
Hata habari za kifo cha magu si zilianza hvhv.

So far sijasikia mlio wwt, mmesahau JW wanavyokuwaga haraka sana kukanusha mambo? hili kwa nini halina release special ya kukanusha.

Lisemwalo lipo, na kama halipo basi linakuja.
Tuombe Uzma.ila mimi nipo siti ya nyuma kabisa.
Mzee pole pole yupo wapi?hizo ni drama tu za uchaguzi.
 
Back
Top Bottom