kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
Natamani iwe hivyo kulivyo kuendelea kuongozwa na chura kiziwi asiyesikia kero za wananchi wake
Bado hawajasema...Wanakwambia eti ile kofia sio
😂😂
Chawa sisiem bana
Bora niwe hivyo.ila sio kushikiwa AKILI NA MITANDAO.MIMI NI "FREE MIND"Futika TU ,hata kwenye tukio we ni wa mwisho
Kwamba unatak kusemaje labda?Ila nyota za mabegani ni zenyewe?
Kujifariji katika maisha ni jambo la kawaidaMbona ratiba ya shughuli bado ipo vile vile? Sidhani kama kuna kipya kwa muda huo.
Mungu afanye miujiza yake hili nalo litimieNi swali tu maana wavaa ngwada wakitamkaga nchi yeyote ile uwa wanatamka huku mkubwa akiwa chini ya ulinzi Tayari,
Na ikitokea wakatamka kabla basi haichukui muda!
Nasisitiza HOTUBA YA KUANDIKA NA KUANDIKIWA INAJULIKANA
Britanicca
Kujifariji ni tiba. Usiipuuze tiba hii.Kujifariji
Tokea 2005 sijawahi ona wakati ambapo wananchi wameikataa serikali kama wakati huu, wakilazimisha hakika tutakoma
Hii itakuwa iliwakera ndugu zetu hawa, ndiyo maana katoa ushauri kwa kiongozi badala ya muhusika mkuu.nipo na Bosi
Atakuja kumjibuLucas mnufaika, sikuon anga hizi
Nataka kusema kama wanasema beji ya bareti ya captain ni fake je nyota zake hapo mabegani na zenyewe fake?Kwamba unatak kusemaje labda?
Kwamba captain huwa na nyota ngapi?