Taarifa za rafiki yangu ambaye ni mfanyabiashara ni kwamba wabunge wengi ikiwa pamoja na waziri wa Fedha schoolmate wangu Mwigulu ni wawekezaji wakubwa kwenye magari. Tatizo wanaogopa safari za treni zikianza biashara zao zitapata wakati mgumu.
Hivyo wanahujumu kucheleweshwa kwa mradi kwa sababu binafsi. Vilevile spika naye ana mabasi sio kosa lakini ni lazima tujue ukwei.
Nasikia wanapiga mpaka simu mabehewa yacheleweshwe kutoka Korea ili tu wapate muda zaidi. Sasa wana mkakati wa kuzuia magari ya zamani yasiwnde Dodoma.
Hivyo wanahujumu kucheleweshwa kwa mradi kwa sababu binafsi. Vilevile spika naye ana mabasi sio kosa lakini ni lazima tujue ukwei.
Nasikia wanapiga mpaka simu mabehewa yacheleweshwe kutoka Korea ili tu wapate muda zaidi. Sasa wana mkakati wa kuzuia magari ya zamani yasiwnde Dodoma.