Je ni kweli nilimtoa bikra?

Je ni kweli nilimtoa bikra?

ungegusa hata na kidole nyie ndo mabikra mlivua nguo nini
 
Eti umepiga brush na kichwa cha ding dong!!!!! NKHEE! sasa kwa taarifa yako huyo binti mm huwa naingiza kich.......tena kinaingia chote mpaka natamani niingize na gorori!!!!!!!
 
kakuzuga huyo.ili aonekane wewe ndio uliomtoa,wakati kuna mwengine kabla ya hapo alietoa.kwa nini mtu usiwe mkweli.kama mtu anakupenda bikira sio big deal

Eti? mbona mimi nakupenda na wala sijawahi kukuliza kama una bikira na wala sitajaribu!!!!
 
Kwa namna hii ya kufikiri, nadhani linahitajika somo kabisa kwa wanaume kujua bkr nini nini na inakuaje, wengine wandhani ni seal iko kote, hahaa, ni kautando kanaokua juu pembeni (ndani) ya uke na unakuwa na damu ndani yake. Mengineyo kwa sababu hayajawahi kuingiliwa ndio mtu anaumia kutokana na elesticity.

Maana ya Bikira ni hivi:- Hakuna agano ambalo limewahi kufanyika pasipo kuwa na umwagaji wa damu kwa principal za Kimungu, so ile damu kumwagika ni agano la mtu mume na mke kutotengana daima. Kama umetoa wasichana kumi bikira, una agano na hao kumi. kama ni laana/mikosi yakwao itaambatana nawe hadi utakapopata deliverance/ kujitenga na hao. au kama mtu umewahi lala na wakaka kumi au wadada kumi, utakuwa na connection nao za kiroho hadi utapowakana au kufanyiwa deliverance ndio hata ukioa utakuwa hufungamani na agano /patano lingine lolote na utakua salama zaidi.

mwenye ufahamu na afahamu.

Mwenye uelewa mpana zaidi naomba atusaidie zaidi.

True kabisa mkuu
 
Sasa brush ya nini si ungeitelezesha iingie tuu ujue ukweli
 
haijatoka bikira ni oil seal tu zitakuwa zimelegea ..we bikira itoke huyo unadhani ataweza hata kushika blackberry kutuma meseji!!!

Ivi bikra ikitolewa unaumwa kabisa hooi kutandani ee?
 
khaaa! jaman yaani wewe kaka uko innocent sana ila sasa MODS please naomba nifunguke tu ili kumuokolea huyu kijana jahazi naumia kama vile ni mwanangu.
Pindima kwanza kabisa kitendo ulichofanya siyo kweli kwamba kimemtoa huyo dada bikra. pili wewe kuingiza kidole kwenye utupu wake na kugoma kuingia kina tafsiri hii, uke wa mwanamke hata kama utalainishwa kiasi gani kwa lubricant hauwez kuruhusu kitu kupenya kirahisi huwa kadiri mtu anavyokuwa stimulated ndivyo contraction of muscles za uke zinakuwa kubwa na hii ndio hufanya unapokuwa ndani ya uke kuskia mmbano ambao huleta mfyonzo. sijui kama umenielewa hapa. hivyo swala la wewe kushndwa kupitisha kidole laweza kuchangiwa na hali ya misuli ya uke kubana tu.

mfano mzuri mwanamke anapojisafisha akiingiza kidole mara ya kwanza, akija kujaribu kupitisha mara ya pili eneo lile hujifunga kabisa na hivyo kuzuia kidole kupita. sasa jaribu kumfanyia jaribio hilo utaona ukweli.

tuje kwenye kuumwa tumbo na kutoka damu, damu hiyo ina asilika wapi?? damu ya ubikra iki dumu sana sana ni masaa4 machache na damu hii haitoki nyingi sana ni kidogo kias kwamba hata akivaa pedi haitaj kubadilisha,. inapotokea damu kuwa nyingi kiasi cha kubadili pedi basi damu hiyo huwa imekutana na period ambayo imekuwa ama ilishafika muda wake ama imekuwa initiated na kitendo chenyewe hasa kwa mtu ambaye ni mwoga wa kile kitendo ama ni mgeni kabisa.

sasa nimalizie kwa kusema huyo bidada yawezekana kabisa akawa hajui bikira inatokaje na wewe pia huji ni kitu gani ama la kama dada ni mjanja sana inawezekana ikawa kinyume chake.

Umeongea jambo la msingi.
Kidole kupenya katika sehemu za mwanamke inafuatana na kiwango gani amelainika.Pia damu ya bikra ni chache na hutofautiana.Pia sio wanawake wote hutoa iyo damu, kuafuatana na maumbile yake na shughuli alizofanya pia umri.
Wanaosema bikra ngumu sana kutolewa hawapo sahihi asilimia zote, hufuatana na maandalizi na utayari wa mhusika.
In this scenario naona wingi wa damu ndo utata, pia kama machine haikupenya ni vigumu bikra ya kimwili kuitoa.
 
Last edited by a moderator:
Jaman aah haya acha tukufunze hujafanya lolote na hiyo brush yako hizo ni mbwembwe tu za kuambiwa ameumia kajaribu tena zamisha mpini ndan sio brush aaaah nimesahau upo likizo eeeh nisiwe nikawa namuelekaza mtoto hapa
 
Hahahahahaaa sasa jiandae kulea mimba hewa , kifupi umesomeka kiboya joh.
 
Alikuwa anatafuta gia ya kukuambia kuwa kuwa yeye sio bikra sasa kaipata sababu ya kulitatua tatizo lake 🙂 🙂B-)
 
Habari za weekend wana jamii? Nna tatizo naomba mnisaidie kwa mawazo, jana nilikua na mpenzi wangu ambaye bado ni bikra na nna uhakika kuwa bado bikra,sasa kilichotokea ni kwamba tulipokua pamoja jana tulifanya romance za kawaida mpaka tukafikia kuvua nguo zote, hatukufanya mapenzi ila nilipiga brash kwenye k yake kwa kutumia umbo** wangu, tatizo lililojitokeza ni kwamba alipofika kwao akaanza kulalamika maumivu na damu zinamtoka na anasema kuwa nimemtoa bikra yake,sasa wanajamii naomba mnisaidie ni kweli bikra yaweza toka kwa dizaini hiyo?msaada tafadhalini,


mimi nahisi jambo la msingi we pekua kila mahali, binjua masofa na kitanda, toa carpet, fagia kila kona ya chumba...kama umemtoa bikira itakuwa imedondoka tu humo ndani, stupid!
 
Likizo ya Pasaka inaisha lini watoto waende shule?

Mkuu husijidanganye bure,hii haikuwa mada ya watoto,ata mimi yameshanikuta bidada-25 age akanambia bikira siku naenda kwao,mama yake anamuuliza: "wewe ulikuwa wapi kila siku kutwa na njia na huyo bwana yako hawa watoto wako umezaa nani akulelee?",nilikimbia mpaka nikasahau ninapoishi.
Mkuu haya yapo na yanatokea, hawa viumbe sio wakuwaamini pia sio wema walitufukizisha peponi,ona sasa siku ya 3 mvua inanyesha nalala juu ya paa mana Panya-road wamerudishwa toka SA.
 
Back
Top Bottom