kwani unaongelea ya wapi wewe hiyo ya kusikia maumivu makali tu??
Kama zipo za design nyingi basi sawa... Ila nilikuna na moja ya maumivu makali tu. Ilinichukua siku tatu kutengeneza njia kwa uoga wa muhusika.
Umeamkia hilo, haya bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tuelimishe hapo kwenye kutengeneza njia
mbona mimi sikuwahi kusikia hayo maumivu makali???
Duuh! mapema hii watu wanaamkia bikra kama breakfast tena j/pili???
mbona mimi sikuwahi kusikia hayo maumivu makali???
Ilishatoka
Najuta kwann sikumuoa niliyemtoa bikra!
Kama zipo za design nyingi basi sawa... Ila nilikuna na moja ya maumivu makali tu. Ilinichukua siku tatu kutengeneza njia kwa uoga wa muhusika.
, wengine wanasema tu hapa lakini ukubwa wa bure hawana wajualo
teh teh hyo sikatai hiyo ni bikra ya yule mmoja uliyewahi kumtoa si wote
So wataka kusema bikra yako ilivyotoka hukusikia maumivu kabisa...! Nina mashaka hiyo itakuwa ni Rambo. Hapakuwa na bikra hapo huenda ulishaitoa kweny mazoezi ama shughuri nyingine yoyote nzito.