Je ni kweli nilimtoa bikra?

Je ni kweli nilimtoa bikra?

kuna bikra za aina 2,
internal and external virginity!
so hiyo yake ilikuwa external,hivyo umemtoa!congtrs and hap neu ea
 
Kwa haraka tu hapo huyo binti hakuwa bikra inawezekana hiyo ilikuwa ni njia ya kukuteka kimawazo!

Sahau kuhusu bikra we mpende tuu!
 
kuna bikra za aina 2,
internal and external virginity!
so hiyo yake ilikuwa external,hivyo umemtoa!congtrs and hap neu ea

kaka wewe ni mtu wa tatu waniambia hivyo, asante
 
kakuzuga huyo.ili aonekane wewe ndio uliomtoa,wakati kuna mwengine kabla ya hapo alietoa.kwa nini mtu usiwe mkweli.kama mtu anakupenda bikira sio big deal

hhahahahaha kisukari utaniua kwa kisukari cha kucheka....lol
 
Funguka vizuri hiyo bransh ilikuwaje,labda uliingiza kiasi fulan ilizama so kwa hapo haikuonekana so baada ya kurud home kutokana na msuguano. Wa kutembea ndo ikaleta matokeo.
 
Dalili ya mvua ni mawingu, kamalize mchezo na ukiona dudu ikitoka na damu ujue u is first, kama hujaona ujue umo kwenye tela lake!
 
Hilo la bikra tuliache manake ni habar ya kusadikka, ila gobore ku-silide juu ya 'k' bila kuzamisha ndan hyo ndo habar ya kjjn nnayoishangaa miye!
 
Dalili ya mvua ni mawingu, kamalize mchezo na ukiona dudu ikitoka na damu ujue u is first, kama hujaona ujue umo kwenye tela lake!

nilijaribu kidole hakikupita.
 
Funguka vizuri hiyo bransh ilikuwaje,labda uliingiza kiasi fulan ilizama so kwa hapo haikuonekana so baada ya kurud home kutokana na msuguano. Wa kutembea ndo ikaleta matokeo.

nilikua nikijaribu kuingiza lkn kwa kumuona akilalamika maumivu nikamuacha, alipofika home ndii akaona hayo yote
 
nilijaribu kidole hakikupita.
we mwanawane upo serious kweli? biology gani ulijifunza shule? vagina is very much elastic, asa habari za kutuambia kidole hakikupita, ilo dole lako ni mtaimbo?
 
Hilo la bikra tuliache manake ni habar ya kusadikka, ila gobore ku-silide juu ya 'k' bila kuzamisha ndan hyo ndo habar ya kjjn nnayoishangaa miye!

Hahahahha kitu katelelo!!
Iyo sio mchezo lazma ummalizie na joka lote dimbanii
Ivi ivi apalaliki
 
Mmmmmmmmmh! Duniani kuna mabo! Sasa kuchezeana viungo a.k.a KUNAWANA mlifanya kwa nia gani! Mbona hujipendi we mwana? Hivi unadhani wenye kesi za ubakaji walidhamiria? Ungeshajitia Kesi ya Jinai buree!

Nimeamini HATA UKINAWA KULA HULI! NA HATA UKIOGA MJINI HUENDI!!!!!!!

Vipi we burudani yangu upo?..Ukikaa mbali utaharibu...Vipi ule "mpango wako wa kando" safiiiiii au nawe umeshautibua maana kwa kauli zako tata huchelewi kutibua....Napenda vile unavyowakilisha lara1.

 
kakuzuga huyo.ili aonekane wewe ndio uliomtoa,wakati kuna mwengine kabla ya hapo alietoa.kwa nini mtu usiwe mkweli.kama mtu anakupenda bikira sio big deal
Sure,bikira kitu gani kwanza?!kwanza mi nikipewa demu bikira na ambaye sio bikira nachagua ambaye sio bikira coz its like mwajiri anaambiwa achague ni mfanyakazi yupi atamuajiri kati ya aliyegraduate na ambaye bado anahitaji kufundishwa kazi...
 
Back
Top Bottom