Kwa namna hii ya kufikiri, nadhani linahitajika somo kabisa kwa wanaume kujua bkr nini nini na inakuaje, wengine wandhani ni seal iko kote, hahaa, ni kautando kanaokua juu pembeni (ndani) ya uke na unakuwa na damu ndani yake. Mengineyo kwa sababu hayajawahi kuingiliwa ndio mtu anaumia kutokana na elesticity.
Maana ya Bikira ni hivi:- Hakuna agano ambalo limewahi kufanyika pasipo kuwa na umwagaji wa damu kwa principal za Kimungu, so ile damu kumwagika ni agano la mtu mume na mke kutotengana daima. Kama umetoa wasichana kumi bikira, una agano na hao kumi. kama ni laana/mikosi yakwao itaambatana nawe hadi utakapopata deliverance/ kujitenga na hao. au kama mtu umewahi lala na wakaka kumi au wadada kumi, utakuwa na connection nao za kiroho hadi utapowakana au kufanyiwa deliverance ndio hata ukioa utakuwa hufungamani na agano /patano lingine lolote na utakua salama zaidi.
mwenye ufahamu na afahamu.
Mwenye uelewa mpana zaidi naomba atusaidie zaidi.