baloz89
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,228
- 1,813
Mkuu husijidanganye bure,hii haikuwa mada ya watoto,ata mimi yameshanikuta bidada-25 age akanambia bikira siku naenda kwao,mama yake anamuuliza: "wewe ulikuwa wapi kila siku kutwa na njia na huyo bwana yako hawa watoto wako umezaa nani akulelee?",nilikimbia mpaka nikasahau ninapoishi.
Mkuu haya yapo na yanatokea, hawa viumbe sio wakuwaamini pia sio wema walitufukizisha peponi,ona sasa siku ya 3 mvua inanyesha nalala juu ya paa mana Panya-road wamerudishwa toka SA.
hii sasa sifaaa....ona sasa umevunja mbavu zangu aaaaaaaarg