WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
haya bana hongera zako katika kazi yako hiyo...ila omba mola usijezaa mabinti afu wachakachuliwe ka unavyofanya kwa vibinti visivyo na akili ka hivyo unavyovifanyia majaribio....remember, the past will always haunt you!!!
Mamii Ciello wala hakuna tatizo hivi ni vitu vya kawaida ana tangu enzi za mababu zetu na ndiyo maana unaona kila mwaka tunaongezeka idadi,tatizo ni muda tu ila kila kitu kina wakati wake,kwa hiyo wakati wao ukifika ni lazima wapewe dozi ni kawaida sana,ingawa nimepanga kuzaa watoto wawili pekee katika maisha yangu wa kike na wa kiume tosha kabisa.vipi wewe unao wangapi??!!