khaaa! jaman yaani wewe kaka uko innocent sana ila sasa MODS please naomba nifunguke tu ili kumuokolea huyu kijana jahazi naumia kama vile ni mwanangu.
Pindima kwanza kabisa kitendo ulichofanya siyo kweli kwamba kimemtoa huyo dada bikra. pili wewe kuingiza kidole kwenye utupu wake na kugoma kuingia kina tafsiri hii, uke wa mwanamke hata kama utalainishwa kiasi gani kwa lubricant hauwez kuruhusu kitu kupenya kirahisi huwa kadiri mtu anavyokuwa stimulated ndivyo contraction of muscles za uke zinakuwa kubwa na hii ndio hufanya unapokuwa ndani ya uke kuskia mmbano ambao huleta mfyonzo. sijui kama umenielewa hapa. hivyo swala la wewe kushndwa kupitisha kidole laweza kuchangiwa na hali ya misuli ya uke kubana tu.
mfano mzuri mwanamke anapojisafisha akiingiza kidole mara ya kwanza, akija kujaribu kupitisha mara ya pili eneo lile hujifunga kabisa na hivyo kuzuia kidole kupita. sasa jaribu kumfanyia jaribio hilo utaona ukweli.
tuje kwenye kuumwa tumbo na kutoka damu, damu hiyo ina asilika wapi?? damu ya ubikra iki dumu sana sana ni masaa4 machache na damu hii haitoki nyingi sana ni kidogo kias kwamba hata akivaa pedi haitaj kubadilisha,. inapotokea damu kuwa nyingi kiasi cha kubadili pedi basi damu hiyo huwa imekutana na period ambayo imekuwa ama ilishafika muda wake ama imekuwa initiated na kitendo chenyewe hasa kwa mtu ambaye ni mwoga wa kile kitendo ama ni mgeni kabisa.
sasa nimalizie kwa kusema huyo bidada yawezekana kabisa akawa hajui bikira inatokaje na wewe pia huji ni kitu gani ama la kama dada ni mjanja sana inawezekana ikawa kinyume chake.