Je ni kweli nilimtoa bikra?

Je ni kweli nilimtoa bikra?

wewe unataka ushindani na mipasho na si kuelekezana.....yes ni rambo la kwangu mwenye kibamia linampwelepetwaaa nafit kwa wenye mitarimbo si vipekecho...elewa tu bikra kuna ya damu na maumivu au unaweza pata mwenye moja yapo, damu pekee au maumivu pekee

Asante kwa Elimu.
 
wewe unataka ushindani na mipasho na si kuelekezana.....yes ni rambo la kwangu mwenye kibamia linampwelepetwaaa nafit kwa wenye mitarimbo si vipekecho...elewa tu bikra kuna ya damu na maumivu au unaweza pata mwenye moja yapo, damu pekee au maumivu pekee

Wat a place on human body tht can bleed without pain??? Hapo ndio namashaka napo... Pain lazima hata atleast baada ya tendo. Sio lazima wakati wa tendo
 
Wat a place on human body tht can bleed without pain??? Hapo ndio namashaka napo... Pain lazima hata atleast baada ya tendo. Sio lazima wakati wa tendo

kila kunapotoka damu kuna maumivu makali sana???
1. kuna anayesikia maumivu makali na hatoki damu hata kidogo
2.kuna anayetoka damu tu kama maumiv ni kidogo sanaaa tena sana
3.kuna anayepata vyote damu pamoja na maumivu yawezekana yakawa makali sana ama wastani
HAKUNA ambaye ni bikra akakosa vyote damu hana wala maumivu hana huyu ni mwizi tu!!

Na wako wale wanaodeka tu haumii lakini michozi inamtoka na kujifanyisha anaumia umuache inaweza ikawa hofu au usanii
Bila kusahau bikra za mchina elfu50 zipo dukani hii inasemekana inauma kama unafanyiwa upasuaji bila ganzi
 
Hapana ila ni moja ya changamoto zilizopo kwasasa
Dhana ni nyingi sana thats why

Hapana, haya mambo yamepitwa na wakati! Kama wewe ni msomi sitegemei hayo yawe kipa umbele chako. There is nothing to gain from being virgin in this world of science and technology! Wanao kata albino viungo hamna tofauti na wewe maana kuna vitu watu wa zamani walikuwa wanaviamini sawa na wewe ulivyo na fikra "fulani" kuhusu bikra! Kwa heri, Jpili njema!
 
kila kunapotoka damu kuna maumivu makali sana???
1. kuna anayesikia maumivu makali na hatoki damu hata kidogo
2.kuna anayetoka damu tu kama maumiv ni kidogo sanaaa tena sana
3.kuna anayepata vyote damu pamoja na maumivu yawezekana yakawa makali sana ama wastani
HAKUNA ambaye ni bikra akakosa vyote damu hana wala maumivu hana huyu ni mwizi tu!!

Na wako wale wanaodeka tu haumii lakini michozi inamtoka na kujifanyisha anaumia umuache inaweza ikawa hofu au usanii
Bila kusahau bikra za mchina elfu50 zipo dukani hii inasemekana inauma kama unafanyiwa upasuaji bila ganzi

Atleast umekubali kwamba maumivu lazima yawepo haijalishi ni ya ukubwa gani.
 
Atleast umekubali kwamba maumivu lazima yawepo haijalishi ni ya ukubwa gani.

tatizo ulikazania maumivu makali lazima!!!!!
mimi nilikua naogopa sana mashangazi wanasema inauma hutembei wiki nzima unakua mtu wa kubebwa tuu....nikasema siku ya tukio nitachoma sindano ya diclofenac kabisa kuepukana na hayo maumivu kumbe hakuna kitu kutishana tu
 
tatizo ulikazania maumivu makali lazima!!!!!
mimi nilikua naogopa sana mashangazi wanasema inauma hutembei wiki nzima unakua mtu wa kubebwa tuu....nikasema siku ya tukio nitachoma sindano ya diclofenac kabisa kuepukana na hayo maumivu kumbe hakuna kitu kutishana tu

Maumivu yanategemeana na umri,, ikiwa ulitolewa na umri mdogo sana utoweza kusikia maumivu makali.. but ukiwa na miaka mfano 24 na kuendelea aiseee hapo maumivu lazima. Fananisha na mtoto mdogo anaejifunza msamba na mtu mzima anaejifunza msamba.
 
Maumivu yanategemeana na umri,, ikiwa ulitolewa na umri mdogo sana utoweza kusikia maumivu makali.. but ukiwa na miaka mfano 24 na kuendelea aiseee hapo maumivu lazima. Fananisha na mtoto mdogo anaejifunza msamba na mtu mzima anaejifunza msamba.

hizo ni imani tu...yawezekana ukweli upo
ila epukana na michina unaweza jua huyu ndo mwenyewe kitu sealed kumbe hiyo bikra yake ya tatu
 
kuna ile ya Uwani ambayo kama hujajipanga lazima utoke na chembe chembe za Kiny*si
 
tatizo ulikazania maumivu makali lazima!!!!!
mimi nilikua naogopa sana mashangazi wanasema inauma hutembei wiki nzima unakua mtu wa kubebwa tuu....nikasema siku ya tukio nitachoma sindano ya diclofenac kabisa kuepukana na hayo maumivu kumbe hakuna kitu kutishana tu

nilickia huwa mnaweka limau, iyo nayo vp?
 
Inategema. Wapo wanaotokwa na damu na maumivi kidogo. Wapo damu tupu, wapo maumivu tupu.
 
tatizo ulikazania maumivu makali lazima!!!!!
mimi nilikua naogopa sana mashangazi wanasema inauma hutembei wiki nzima unakua mtu wa kubebwa tuu....nikasema siku ya tukio nitachoma sindano ya diclofenac kabisa kuepukana na hayo maumivu kumbe hakuna kitu kutishana tu

Siyo kwamba ulitayarishwa vizuri kabla ya tendo ndiyo maana hukusikia maumivu?

Naamini mtu ukivamiwa tu kabla hujawa tayari lazima usikie maumivu!

Miili ya watu inatofautiana pia lakini; mnaweza kungolewa meno watu wawili mmoja akasikia maumivu sana, mwingine asisikie maumivu au akasikia kidogo tu.
 
Back
Top Bottom