Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,279
- 105,481
Umeruka suala la usoshalisti na ukomunisti.Maaandamano yapo dunia nzima sio china tu , serikali ina jukumu la kufanya maamuzi kwa maslahi mapana , sio kila anaendamana lazima atimiziwe hitaji lake ata kama halina faida kwa ustawi wa nchi , huwezi Pinga maendeleo ya china eti kisa kuna kikundi cha watu kinaandama, Serikali ya china ipo wazi yeyote atakae fanya kosa sheria itoe mwanya kuwa anaweza shtakiwa ata Beijing , hiki wa Hong Kong hawakitaki , serikali imewapuuza kwa sababu hoja zao ni mufilisi, kuhusu, kuhusu usoshalisti nimekwambia Mchina anahuishi huu
Hujui tofauti.