Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,473
- Thread starter
- #181
Hiyo siyo sababu, haijaandikwa sehemuRais hawezi toka zone moja kwa miaka 20
Hiyo siyo sababu, haijaandikwa sehemuRais hawezi toka zone moja kwa miaka 20
Hii ni komoa Sasa. Kiongozi mbinafsi hadi kukabidhi wanafunzi.nasikia ana wanafunzi wake anawasimamia dessertion za masters hawajagradute mpaka leo kisa hana muda wa kusaisha kazi zao na hataki kuwakabidhi kwa mtu mwingine hii inaonesha bado anapapenda udsm ili aweze kukimbilia huko mambo yakiharibika
Acheni udiniSisi waislamu tutakuwa tumewadhulumu kakristo kwenye urais, 2025 ni zamu ya walutheri
Awatendee haki kwa kuwapa taaluma yao. Kumbe Kuna mengi tusiyoyajua?nasikia ana wanafunzi wake anawasimamia dessertion za masters hawajagradute mpaka leo kisa hana muda wa kusaisha kazi zao na hataki kuwakabidhi kwa mtu mwingine hii inaonesha bado anapapenda udsm ili aweze kukimbilia huko mambo yakiharibika
Hivi hujui siasa zina maamuzi ktk maisha yetu? Unajua siasa zimetufikisha hapa tulipo?Ahaaaa Watanzania bwana badala ya kuwaza mambo muhimu kwa maisha yao na familia zao wao siasa siasa siasa tu.
Inaendelea kung'aa chini ya Dr Mpango.itakuwa vizuri,kanda ya ziwa lazima tung'ae miaka mia mbili
Hii kauli huwa siipendi, Mwl hakuwahi kutamka hili.Muhaya atakuwaje Rais?
Si walishapigwa vita na Tangu Nyerere