Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

Kama ni msomi uliyekubuhu na kufikia kiwango cha PhD ambacho si wengi walio-bahatika kufikia. Inabidi uwe na ufahamu wa kuwa, fedha na mali sio kila kitu.

Achievement bora zaidi ni kuwa na furaha ya moyoni kuridhika na ukifanyacho. Kama unaona huridhiki na kufundisha fanya utachoona kinakuridhisha satisfaction), lakini, usifikiri kuwa achievement ya usomi ni kipato, ungekuwa unataka kipato ungeachana na kusoma ukajiingiza kwenye biashara, unakumbuka kisa cha Bill Gates?

Fanya unachoona kitakupa wewe "tranquility" au inner self happiness.

Mkuu mi sijaongelea kuwa na mali kiasi hivyo we unasema. Lakini pia hakuna mtu yoyote ambaye anasoma tu ili kupata sifa kwamba yeye ni msomi, utakubaliana na mimi popote pale watu wanakimbilia kusoma ili kipato chake kiongozeke. Inakuwa ngumu sana au haiingii akilini wale ambao wamesoma na wanajitolea kusomesha na wengine lakini wenyewe binafsi hawana uwezo wa kupeleka watoto wako shule nzuri, hana nyumba ya kuishi (si serikali wala mwajiri wake anamjali kwenye hili), Unakaa mbali na eneo la kazi, usafiri huna. Isitoshe familia, ndugu wanakuangalia na kukusikiza wewe kwa vile umesoma lakini bado wanakushangaa huna hela. Kwahiyo katika haya yote ndio mana nikasema ni ngumu sana kuwafikia wale wenzangu ambao waliachana na mambo ya kusoma wakajiendeleza kifamilia kwanza. Kuwa muhadhiri bongo ni kupotezana muda tu.
 
Mkuu mi sijaongelea kuwa na mali kiasi hivyo we unasema. Lakini pia hakuna mtu yoyote ambaye anasoma tu ili kupata sifa kwamba yeye ni msomi, utakubaliana na mimi popote pale watu wanakimbilia kusoma ili kipato chake kiongozeke. Inakuwa ngumu sana au haiingii akilini wale ambao wamesoma na wanajitolea kusomesha na wengine lakini wenyewe binafsi hawana uwezo wa kupeleka watoto wako shule nzuri, hana nyumba ya kuishi (si serikali wala mwajiri wake anamjali kwenye hili), Unakaa mbali na eneo la kazi, usafiri huna. Isitoshe familia, ndugu wanakuangalia na kukusikiza wewe kwa vile umesoma lakini bado wanakushangaa huna hela. Kwahiyo katika haya yote ndio mana nikasema ni ngumu sana kuwafikia wale wenzangu ambao waliachana na mambo ya kusoma wakajiendeleza kifamilia kwanza. Kuwa muhadhiri bongo ni kupotezana muda tu.

Kaa]ma unaona "kupoteza muda tu" kwanini usiondoke Tanzania, ulikatazwa? mbona wasomi wengi sana wako nje ya Tanzania. Kuna wengi ambao fani zao hapa hazina faida kwa sasa wapo nje. Mimi sijaona msomi haswaa wa maana kukaa kulalamika-lalamika inaonesha labda wewe una PhD kama ya Slaa, bila degree hata robo na nje ya kanisa haina maana yoyote.
 
Kaa]ma unaona "kupoteza muda tu" kwanini usiondoke Tanzania, ulikatazwa? mbona wasomi wengi sana wako nje ya Tanzania. Kuna wengi ambao fani zao hapa hazina faida kwa sasa wapo nje. Mimi sijaona msomi haswaa wa maana kukaa kulalamika-lalamika inaonesha labda wewe una PhD kama ya Slaa, bila degree hata robo na nje ya kanisa haina maana yoyote.

Sio wazo baya!!!!. Lakini si kwa faida ya Tanzania.
 
nafikiri umejichanganya kwa sababu hakuna sehemu utakayopata mafanikio zaidi ya hapo ulipo, tulia fanya kazi kutimiza malengo uliyokuwa umejiwekea na ndiyo yaliyokufikisha hapo ulipo huna haja ya kulalamika uko sehemu sahihi
 
Inaonyesha wazi kabisa kuwa elimu yako haijakusaidia kuwa na upeo!!!
Kwanza sio maadili kabisa (professional ethics) kwa msomi kama wewe kuandika mambo kama haya yenye muelekeo wa kulinganisha elimu na kipato.
Pili ujue kwamba mafanikio sio kujenga au kuwa na gari au kuwa tajiri. Mafanikio ni kufikia malengo. Hiyo phd yako ni mafanikio makubwa kuliko hao wenye utajiri.
Tatu Elimu hailinganishwi na utajiri. Kumbuka wakati upo sekondari wenzako walioishia la saba wengine walikuwa matajiri tayari.
Mwisho, nimegundua kuwa una elimu ya darasani lakini huna Hekima. Anza sasa kujifunza hekima !!!


Nimeipenda hiyo Godrich tatizo lingine vijana wengi wamechakachua vigezo vya mafanikio, wengi siku hizi gari imekua ndio symbol ya mafanikio bila kujali amekopa au vipi? au amendunduliza mpaka huku akila msosi dhaifu. Kikubwa ninachomshauri huyu jamaa aishi kama yeye kwani uchunguzi unaonyesha vijana wengi wanaishi maisha yasio ya kwao (maisha ya kuigiza) nikiwa na maana kwamba mtu kabla hajafanya kitu anajiuliza hivi watu watanionaje. mfano kuna sehemu mtu anaweza kupata lunch ya 2,000 na sehemu ni nzuri tu ila staff wenzake huwa wanapata lunch standard ya 10,000, kwa kuwa watu wanaishi kwa kulizisha nafsi za wengine unakuta mtu ana opt kwenda kula msosi wa 10,000 ili asionekane tofauti na wengine. Lazima tuelewe kuwa yote tinayofanya hapa duniani lengo kuu ni kutafuta furaha /happiness hivyo fanya kitu moyo wako unakipenda na kitakachokupa furaha. kuna mwingine anatamani awe na elimu kama yako ili aweze kutumia fursa mbalimbali ambazo ameziona lakini bahati mbaya kigezo cha elimu kinamwangusha. All in all jichanganye na wadau mbalimbali bila kujali elimu zao hata kama ana certificate kuna vitu unaweza kujifunza maana uchunguzi unaonyesha watu wengi wenye GPA kubwa huwa wanaamini wana akili kuliko wenzao wakati ukija uraiani kuna elimu nyingine ya mtaani ambayo inategemea umejiwekaje na jamii iliyokuzunguuka
 
Mkuu mi sijaongelea kuwa na mali kiasi hivyo we unasema. Lakini pia hakuna mtu yoyote ambaye anasoma tu ili kupata sifa kwamba yeye ni msomi, utakubaliana na mimi popote pale watu wanakimbilia kusoma ili kipato chake kiongozeke. Inakuwa ngumu sana au haiingii akilini wale ambao wamesoma na wanajitolea kusomesha na wengine lakini wenyewe binafsi hawana uwezo wa kupeleka watoto wako shule nzuri, hana nyumba ya kuishi (si serikali wala mwajiri wake anamjali kwenye hili), Unakaa mbali na eneo la kazi, usafiri huna. Isitoshe familia, ndugu wanakuangalia na kukusikiza wewe kwa vile umesoma lakini bado wanakushangaa huna hela. Kwahiyo katika haya yote ndio mana nikasema ni ngumu sana kuwafikia wale wenzangu ambao waliachana na mambo ya kusoma wakajiendeleza kifamilia kwanza. Kuwa muhadhiri bongo ni kupotezana muda tu.

ingekuwa ni bungeni ningekuambia futa kauli yako "NI NGUMU SANA KUWAFIKIA WALE WENZANGU AMBAO WALIACHANA NA MAMBO YA KUSOMA". Kauli yako inaonyesha umetanguliza kushindwa wakati kiukweli una nafasi ya kubadili maisha yako hata hao unaowaona wamechomoka bado hawajakuacha mbali kikubwa unachotakiwa ni utakitumiaje kipato chako kidogo kuweza kujiongezea kipato zaidi hapo ndio wazo la ujasiamali linapokuja sambamba na consultancy work ukiwa kama msosi japo kwa sasa unatakiwa ujikite zaidi ktk kuboresha uzoefu wako. Hao utawakuta na wengine utawapita na hata usipowapita nina uhakika utaishi maisha mazuri tu kwani hata watoto waliozaliwa tumbo moja mwisho wa siku utakuta lazima kuna mwenye utajiri mkubwa kuliko wenzake. Ondoa neno kushindwa katika kichwa chako pia ujiulize wale waliofanikiwa wamepitia njia zipi na kiukweli hata ukiangalia kwenye miji mingi asimilia kubwa ya matajiri au watu wenye uwezo wengi wao wana elimu ya kawaida ya form 4 na hata std 7 sasa kwanini wewe ushindwe. Tunachoangalia hapa ni uwezo wa muda mrefu wa wewe kuyamudu maisha sambamba na kuwa nanyumba nzuri na gari in future
 
Nilichojifunza kwenye uzi huu ni kwama, maisha hayana formula! Weka malengo binafsi na wala usihangaike kujifananisha

Si vibaya kujifananisha, ila la muhimu kuliko yote ni kuvunja records zako mwenyewe na kusonga mbele kwa kutimiza malengo yako. Hakuna kukata tamaa wala kurudi nyuma. Kitabu kama THINK AND GROW RICH na IT TAKES A MINUTE TO CHANGE YOUR LIFE vitakusaidia sana.
 
Mtu akijifananisha hakosei , ila muhimu kuliko yote ni kuhakikisha kila record yako unayoiweka unaivuvunja nakutafuta ya mbele zaidi kwa ajili ya kutimiza malengo yako. Pia hakikisha hakuna kukata tamaa wala kurudi nyuma.
 
Kazi kwako mzee umeshapata mengi i believe kama kweli msomi basi utachambua mchele na makapi unaweka pembeni! nakutakia utekelezaji mwema!!
 
Daaa sijui niachane na kitabu niingie kwa mtaa kuzisaka chapaa,wakina naniii waje kujilaumu na vidigrii vyao...!!

Kama Dr. BIG Banned na PhD yake analalama hivi,si bora nisiende kusoma....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom