Pindi ulipoingia shule ni tabia au matukio gani (nzuri na za mbaya) ambazo zilikufanya uwe maarufu?

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,330
4,853
Najua wote tumesoma humu iwe private school au day school iwe kwa wakishua au kwa makapuku, kikubwa wote tumejua kuandika na kusoma

Basi enzi naingia sekondari mwaka wa kwanza, nilikuwa mtu mpole sana, na kauzu sana yaani ilikuwa huwez nikuta nakaa na wanafunzi wenzangu wa darasa moja kupiga stori wala kuongea ongea hovyo sana

Nilikuwa napenda kukaa na wale viburi wa shule wa vidato vya juu, basi katika kukaa na hao jamaa taratibu nikaanza kuiga tabia za kukaa chaka/porini mana ile shule ilikuwa ipo pemben kidogo mwa mji yaan unatoka town unaenda soma kijijin na ile shule imezungukwa na mito pande zote

Sasa kuna siku tumekaa porini jamaa wa kidato cha nne na tatu wakawa wanakula bangi,, basi ilipo wakolea nakumbuka ilikuwa msimu wa mahindi, mabichi kumbe jamaa walibeba jiko na mkaa hukohuko toka makwao, wakaenda shamba la mwananchi mmoja wakakata mahindi mfuko mmoja wa kiroba na kuanza kuchoma

Tumekaa kidogo ticha akatokea mi nikakimbia cha ajabu nakuta jamaa hawajakimbia,nikaamua kusimama nijue why.

Nikawa nimejibanza kwenye kakichaka kuwaangalia basi ticha alipoona wanafunzi wake hata hawajastushwa na ujio wake, ikabidi awe mpole wale wanzangu nasikia tu wanamkaribisha ticha karibu karibu tupate mahindi, na ukicheki jamaa ni viburi na ni mbavu haswa

Nadhani mnakumbuka wanafunzi wa vidato wa miaka ile ya kuanzia 2010 kushuka chini walivyo mtu ukisema anasoma kidato unaweza kataa mana ni wakubwa.... basi yule ticha akawaomba wakimaliza shuhuri zao waende darasani wakajibu sawa ticha akaondoka nakuwaacha

Baadae nikajitokeza, wakawa wameniambia tabia za kukimbia hovyo mwisho leo kama umeamua kuwa na sisi kuwa kama sisi! Nikatii

Basi tukawa tunakula yale mahindi alafu tukaenda darasani nakumbuka wale jamaa madarasan kwao wakigoma leo haingii mwalimu na kweli haingii na walikuwa vipanga haswa

Ila huwakuti kujisomea na wanatoa oda nyio kazaneni kusoma ila nafasi za kwanza mtuachie sisi na kweli ukija mtihani wanashika wao

Na haya ndio tukio ya hovyo yaliowafanya wawe maarufu shuleni
 
Najua wote tumesoma humu iwe privet school au day school iwe kwa wakishua au kwa makapuku, kikubwa wote tumejua kuandika na kusoma..., basi enzi naingia sekondar mwaka wa kwanza, nilikuwa mtu mpole sana, na kauzu sana yaani ilikuwa huwez nikuta na kaa na wanaeunzi wenzangu wa darasa moja kupiga stori wala kuongda ongea hovyo sana mi nilikuwa napenda kukaa na wale viburi wa shule wa vidato vya juu, basi katika kukaa na hao jamaa taratibu nikaanza kuiga tabia za kukaa chaka/porin mana ile shule ilikuwa ipo pemben kidogo mwa mji yaan unatoka town unaenda soma kijijin na ile shule imezungukwa na mito pande zote sasa kuna siku tumekaa polini jamaa wa kidato cha nne na tatu wakawa wanakula bangi,, basi ilipo wakolea nakumbu ilikuwa msimu wa mahindi, mabichi kumbe jamaa walibeba jiko na mkaa hukohuko toka makwao, wakaenda shamba la mwananchi mmoja wakakata mahindi mfuko mmoja wa kiroba na kuanza kuchoma, tumekaa kidogo ticha akatokea mi nikakimbia cha ajabu nakuta jamaa hawajakimbia,nikaamua kusimama nijue why.
Kajifunze kuandika dogo.
 
....nikawa nimejibanza kwenye kakichaka kuwaangalia bas ticha alipoona wanafunzi wake hata hawajastushwa na ujio wake, ikabidi awe mpole wale wanzangu nasikia tu wanamkaribisha ticha karibu karibu tupate mahindi, na ukicheki jamaa ni vibur na ni mbavu haswa nazan mnakumbuka wanafunzi wa vidato wa miaka ile ya kuanzia 2010 kushuka chini walivyo mtu ukisema anasoma kidato unaweza kataa mana ni wakubwa.... basi yule ticha akawaomba wakimaliza shuhuri zao waende darasani wakajibu sawa ticha akaondoka nakuwaacha baadae nikajitokeza, wakawa wameniambia tabia za kukimbia hovyo mwisho leo kama umeamua kuwa na sisi kuwa kama sisi! nikatii basi tukawa tunakula yale mahindi alafu tukaenda darasani nakumbuka wale jamaa madarasan kwao wakigoma leo haingii mwalimu na kweli haingii na walikuwa vipanga haswa, ila huwakuti kujisomea na wanatoa oda nyio kazaneni kusoma ila nafasi za kwanza mtuachie sisi na kweli ukija mtihani wanashika wao na haya ndio tukio ya hovyo yaliowafanya wawe maarufu shuleni
 
Najua wote tumesoma humu iwe privet school au day school iwe kwa wakishua au kwa makapuku, kikubwa wote tumejua kuandika na kusoma..., basi enzi naingia sekondar mwaka wa kwanza, nilikuwa mtu mpole sana, na kauzu sana yaani ilikuwa huwez nikuta na kaa na wanaeunzi wenzangu wa darasa moja kupiga stori wala kuongda ongea hovyo sana mi nilikuwa napenda kukaa na wale viburi wa shule wa vidato vya juu, basi katika kukaa na hao jamaa taratibu nikaanza kuiga tabia za kukaa chaka/porin mana ile shule ilikuwa ipo pemben kidogo mwa mji yaan unatoka town unaenda soma kijijin na ile shule imezungukwa na mito pande zote sasa kuna siku tumekaa polini jamaa wa kidato cha nne na tatu wakawa wanakula bangi,, basi ilipo wakolea nakumbu ilikuwa msimu wa mahindi, mabichi kumbe jamaa walibeba jiko na mkaa hukohuko toka makwao, wakaenda shamba la mwananchi mmoja wakakata mahindi mfuko mmoja wa kiroba na kuanza kuchoma, tumekaa kidogo ticha akatokea mi nikakimbia cha ajabu nakuta jamaa hawajakimbia,nikaamua kusimama nijue why.
nilikua maarufu sana shule kwasababu nilikua smart phisically and mentally,
and that was my Identity from those days to date wananiitaga Dokta.

For sure nilikua mkarimu kwa wahitaji mathalani,
colleague ameishiwa na anahitaji mfano sukari, dawa ya meno, sabuni, blue band, tomato ata vijisent nilishindwa kumnyima yeyeto as long as ninayo na ipo wakati huo nitampatia...
 
Kuna wanafunzi walileta mgomo wakishinikizwa na wale jamaa mgomo wenyewe yakuwa wanapatiwa chakula kidogo,, ile bifu waliposikia anakuja mku wilaya wakaenda kuvunja daraja mana lilikuwa la mbao yaan ukitaka kuja hapo shule hata upite chocho gan lazima uvuke mto iwe unatoka kaskazn, kusin, maghrib au mashariki lazima uvuke mto,, lile tukio liliifanya shule nzima na watu wake kuwa maarufu kwa miaka ile ndan ya mji ule ila uzur wake kila kitu ilikuwa inaongoza na sio kwenye michezo sio kwenye masomo, kiasi kwamba hata wahusika walishindwa jins ya kudili na hao wanafunzi watukutu mana ndio tegemeo hapo shuleni
 
Mimi prepo saa 2 mpaka saa 4:30 usiku nilikuwa siendi kabisa..Tatizo la kwanza kule prepo kuna majigambo ya kijinga haswa kutaniana watu wa mikoa tofauti, ishu ya pili tukifanya discussion basi kuna ubishi mpaka hata swali moja watu wanabishana kwa lisaa tena kwa kejeli.

Nilikuwa nakubalika maana sina ile kujiona smart , kwa wahuni nakaa ,kamati za dini ni uongozi yaani ile full kukuchanganya...Kismart watu wananikubali halafu wengi wanajua kwetu ni Matajiri 😅😅😅yaani wa kishua ila kawaida....Maana sijawahi kukopa wala kuomba pesa najibana .

Sikuwa kiburi ila nilikuwa maarufu yaani innocent ,nilikuwa na image nzuri hata kesi za kijinga siwezi kuchapwa labda kesi za wote...Mpaka kesho yaani nina kismart sana Imagine mpaka kazini baada ya probation nilipewa kuwa msimamizi wa maofisa wenzangu with one year experience..
 
Nilikua nawakimbiza mno hivyo nikawa najulikana kwa wanafunzi wengine maana miaka yetu matokeo yanatangazwa parade wanasoma majina kuanzia namba 1-3.


Namba yangu ilikua 2 miaka yote.
 
"E="Stroke, post: 49178966, member: 90498"]
Nilikua nawakimbiza mno hivyo nikawa najulikana kwa wanafunzi wengine maana miaka yetu matokeo yanatangazwa parade wanasoma majina kuanzia namba 1-3.


Namba yangu ilikua 2 miaka yote.
[/QUOTE]"kipanga sio?
 
Najua wote tumesoma humu iwe privet school au day school iwe kwa wakishua au kwa makapuku, kikubwa wote tumejua kuandika na kusoma..., basi enzi naingia sekondar mwaka wa kwanza, nilikuwa mtu mpole sana, na kauzu sana yaani ilikuwa huwez nikuta na kaa na wanaeunzi wenzangu wa darasa moja kupiga stori wala kuongda ongea hovyo sana mi nilikuwa napenda kukaa na wale viburi wa shule wa vidato vya juu, basi katika kukaa na hao jamaa taratibu nikaanza kuiga tabia za kukaa chaka/porin mana ile shule ilikuwa ipo pemben kidogo mwa mji yaan unatoka town unaenda soma kijijin na ile shule imezungukwa na mito pande zote sasa kuna siku tumekaa polini jamaa wa kidato cha nne na tatu wakawa wanakula bangi,, basi ilipo wakolea nakumbu ilikuwa msimu wa mahindi, mabichi kumbe jamaa walibeba jiko na mkaa hukohuko toka makwao, wakaenda shamba la mwananchi mmoja wakakata mahindi mfuko mmoja wa kiroba na kuanza kuchoma, tumekaa kidogo ticha akatokea mi nikakimbia cha ajabu nakuta jamaa hawajakimbia,nikaamua kusimama nijue why.
FB_IMG_1706295307577.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom