Msaada: Biashara inanipa changamoto kubwa, natamani niiache nikaajiriwe lakini nani ataniajiri? Nahisi nakaribia kuwa kichaa

Mashaurijr

JF-Expert Member
Oct 8, 2016
646
1,026
Wakuu mimi ni kijana wa miaka 28 elimu ya form six chuo niliishia mwaka wa 2 kwa sababu ya kuugua baada ya hapo nikajikita zaidi kwenye biashara ambazo ndio zinaharibu akili yangu.

Tatizo kubwa linaletwa na upweke nilioishi utotoni. Niliishi na wazazi lakini mama alikuwa mtu wa kuugua na baba alikuwa akisafiri mara kwa mara hivyo tokea msingi nilikuwa karibu sana na mama nikimuuguza akiumwa na kukosa nafasi ya kujiunga na watoto wenzangu mara kwa mara kucheza.

Hata shuleni mpaka namaliza form 4 sikuwa mtu wa marafiki wengi au makundi. Hivyo matatizo yangu ni ngumu kumweleza mtu
Muda mwingi nabeba matatizo mwenyewe. Kiufupi sipo social sana japokuwa natamani na najitahidi ili kuondoa msongo wa mawazo.

Pia nimekuwa na malengo makubwa sana kwenye maisha ambayo nalazimisha sana kuyatimiza ila changamoto zinanifelisha. Akili yangu imeshindwa kukubaliana na ukweli kuwa inahitajika muda zaidi ili kufanikiwa.

Napata shida sana kwa sasa, napata maumivu makali ya kichwa navurugwa haswa baada ya kurudi tena nyuma kiuchumi natamani niachane na biashara niajiriwe lakini nani ataniajiri? Kichwa kinauma sana.

Kuna muda nafanya vitu ambavyo baadae nashindwa kuelewa nilifanya kwa akili yangu au ilikuwaje.

Nimekuwa mwoga sana wa kufanya maamuzi haswa ya biashara kitu kinachonimaliza kabisa.

Wakuu nifanyeje nijitoe kwenye kupania maisha kupitiliza na kuhofia nachelewa? Woga wa kufanya maamuzi? Nifanyeje nisije kuwa chizi najitahidi niwe social sana ila nafeli kutokana na maisha ya utotoni.
 
1. Hauchelewi kwasababu haushindani na mtu. Relax

2. Rudi chuo. Malizia shule.

3. Unaweza kua upo chuo na biashara yako ikaendelea mdogo mdogo.

4. Sisi wengine Primary na Sekondari tulikua famous, ila hamna ata mtu mmoja leo wa Primary wala Sekondari nachat nae. Ata mmoja nawaona tu Facebook.

5. Tengeza marafiki (circle) wapya. Wachache wa muhimu.

6. Usijingize kwenye mapenzi wewe unaonekana too innocent utapigwa za mnavu.

7. Kaa na wazee vijiweni mara chache, vya kahawa au draft, sure ni old school hawawezi kukuambia kuhusu ChatGPT wala AI ila watakupa madini yatakusaidia.

8. Umri wako bado sana. Kutoboa kupo. Kikubwa weka malengo mafupi (ya mwezi au miezi mitatu), na marefu (ya nusu mwaka au mwaka) na yawe archivable kwa resources ulizonazo. Utatusua.

9. Mwisho nakazia, November Rudi chuo. Umekula ng'ombe umeacha kwato.
 
Unasumbulia na hofu na hofu yako inatokana na kujilinganisha na agemate wako. katika kufanikiwa.

jaribu kuishi katika wakati uliopo usohofie kesho wala usiiwaze Jana.

Hii safari utabidi kuinza kwa kureprogram ur sub-conscious mind.

Ebu elewa hivi vitu vitatu

@ Mafanikio nini kwako
@ Umri ni nini kwako
@ Elimu uliyoikosa ni nini kwako.

Ukimaliza Anza kuishi katika Presence na pale ukiwa down jaribu kushukuru maana Gratitude ndo nguvu au nishati namba moja ya kuondoa mambo mabaya na kuleta mambo chanya.

Jambo la kuzingatia ni kujua kuwa binadamu ambaye ndo wewe , yeye ndo chanzo cha vitu material stuffs hivyo vitu haviwezi kuwa vikubwa kumzidi binadamu ambaye ndo wewe.

Anza kuendesha akili ktk kufikiri vyema.

Endesha mawazo katika kufikiri vyema.

Endesha Mali na Pesa .

Maintain being innocence , Drive anything and don't let ur life to be driven by anything.

Goals

Remember In business game the goals is not only having a own shop but the goals is to become entrepreneur.

Up&down is always there in business but maintain being entrepreneur

Naomba Mungu akupe utulivu na ukiona unakosa Amani amka usiku saa nane ufanye Maombi rituals hiyo hali itaondoka. Yenyewe.

Pia detachment and attachment jambo likianza kukuumiza liachilie usoendelee kulishikilia.

Shika na achia.
 
Fanya ukubali Hali uliyonayo Sasa hivi,halafu Yale mambo yaliyotokea zamani samehe na sahau kuhusu hayo,tatu usiwe na matarajio sana maishani,maana matarajio yatakuingiza katika mtego wa sonona wakati mambo yatakapokuwa hayajawa kama ulivyotarajia.

Kuhusu shule jipime uone kama biashara Yako unaweza kumuachia msaidizi wewe uendelee na chuo ukimaliza uendelee na biashara Yako.

Hautaweza kumove on na masuala mengine kama Yale mambo ya zamani yanakuzonga. Unapotaka kosonga mbele,ni lazima uachie mambo yanayoshikamana na wewe ili uweze kusonga mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuata ushauri wa wachangiaji, lakini kama ni mkristo hebu jaribu uende kwenye makanisa ya kilokole. Haya makanisa ni mazuri kwa kuwapa watu moyo na matumaini.

Hata kama umekata tamaa kabisa unajikuta umeamka tena na kuanza kupambana tena. Ukiimba na kucheza stress zote zinaisha. Harakisha kabla hujapata depression.
 
Unasumbulia na hofu na hofu yako inatokana na kujilinganisha na agemate wako. katika kufanikiwa.

jaribu kuishi katika wakati uliopo usohofie kesho wala usiiwaze Jana.

Hii safari utabidi kuinza kwa kureprogram ur sub-conscious mind.

Ebu elewa hivi vitu vitatu

@ Mafanikio nini kwako
@ Umri ni nini kwako
@ Elimu uliyoikosa ni nini kwako.

Ukimaliza Anza kuishi katika Presence na pale ukiwa down jaribu kushukuru maana Gratitude ndo nguvu au nishati namba moja ya kuondoa mambo mabaya na kuleta mambo chanya.

Jambo la kuzingatia ni kujua kuwa binadamu ambaye ndo wewe , yeye ndo chanzo cha vitu material stuffs hivyo vitu haviwezi kuwa vikubwa kumzidi binadamu ambaye ndo wewe.

Anza kuendesha akili ktk kufikiri vyema.

Endesha mawazo katika kufikiri vyema.

Endesha Mali na Pesa .

Maintain being innocence , Drive anything and don't let ur life to be driven by anything.

Goals

Remember In business game the goals is not only having a own shop but the goals is to become entrepreneur.

Up&down is always there in business but maintain being entrepreneur

Naomba Mungu akupe utulivu na ukiona unakosa Amani amka usiku saa nane ufanye Maombi rituals hiyo hali itaondoka. Yenyewe.

Pia detachment and attachment jambo likianza kukuumiza liachilie usoendelee kulishikilia.

Shika na achia.
Mkuu una ushauri mzuri sana
 
1. Hauchelewi kwasababu haushindani na mtu. Relax

2. Rudi chuo. Malizia shule.

3. Unaweza kua upo chuo na biashara yako ikaendelea mdogo mdogo.

4. Sisi wengine Primary na Sekondari tulikua famous, ila hamna ata mtu mmoja leo wa Primary wala Sekondari nachat nae. Ata mmoja nawaona tu Facebook.

5. Tengeza marafiki (circle) wapya. Wachache wa muhimu.

6. Usijingize kwenye mapenzi wewe unaonekana too innocent utapigwa za mnavu.

7. Kaa na wazee vijiweni mara chache, vya kahawa au draft, sure ni old school hawawezi kukuambia kuhusu ChatGPT wala AI ila watakupa madini yatakusaidia.

8. Umri wako bado sana. Kutoboa kupo. Kikubwa weka malengo mafupi (ya mwezi au miezi mitatu), na marefu (ya nusu mwaka au mwaka) na yawe archivable kwa resources ulizonazo. Utatusua.

9. Mwisho nakazia, November Rudi chuo. Umekula ng'ombe umeacha kwato.
Shukran mkuu
 
Unasumbulia na hofu na hofu yako inatokana na kujilinganisha na agemate wako. katika kufanikiwa.

jaribu kuishi katika wakati uliopo usohofie kesho wala usiiwaze Jana.

Hii safari utabidi kuinza kwa kureprogram ur sub-conscious mind.

Ebu elewa hivi vitu vitatu

@ Mafanikio nini kwako
@ Umri ni nini kwako
@ Elimu uliyoikosa ni nini kwako.

Ukimaliza Anza kuishi katika Presence na pale ukiwa down jaribu kushukuru maana Gratitude ndo nguvu au nishati namba moja ya kuondoa mambo mabaya na kuleta mambo chanya.

Jambo la kuzingatia ni kujua kuwa binadamu ambaye ndo wewe , yeye ndo chanzo cha vitu material stuffs hivyo vitu haviwezi kuwa vikubwa kumzidi binadamu ambaye ndo wewe.

Anza kuendesha akili ktk kufikiri vyema.

Endesha mawazo katika kufikiri vyema.

Endesha Mali na Pesa .

Maintain being innocence , Drive anything and don't let ur life to be driven by anything.

Goals

Remember In business game the goals is not only having a own shop but the goals is to become entrepreneur.

Up&down is always there in business but maintain being entrepreneur

Naomba Mungu akupe utulivu na ukiona unakosa Amani amka usiku saa nane ufanye Maombi rituals hiyo hali itaondoka. Yenyewe.

Pia detachment and attachment jambo likianza kukuumiza liachilie usoendelee kulishikilia.

Shika na achia.
Nashukuru kwa ushauri mzuri
 
Fuata ushauri wa wachangiaji, lakini kama ni mkristo hebu jaribu uende kwenye makanisa ya kilokole. Haya makanisa ni mazuri kwa kuwapa watu moyo na matumaini.

Hata kama umekata tamaa kabisa unajikuta umeamka tena na kuanza kupambana tena. Ukiimba na kucheza stress zote zinaisha. Harakisha kabla hujapata depression.
Nahitaji sana nafasi ya kujichanganya . Umewaza
 
Fanya ukubali Hali uliyonayo Sasa hivi,halafu Yale mambo yaliyotokea zamani samehe na sahau kuhusu hayo,tatu usiwe na matarajio sana maishani,maana matarajio yatakuingiza katika mtego wa sonona wakati mambo yatakapokuwa hayajawa kama ulivyotarajia.

Kuhusu shule jipime uone kama biashara Yako unaweza kumuachia msaidizi wewe uendelee na chuo ukimaliza uendelee na biashara Yako.

Hautaweza kumove on na masuala mengine kama Yale mambo ya zamani yanakuzonga. Unapotaka kosonga mbele,ni lazima uachie mambo yanayoshikamana na wewe ili uweze kusonga mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mkuu
 
1. Hauchelewi kwasababu haushindani na mtu. Relax

2. Rudi chuo. Malizia shule.

3. Unaweza kua upo chuo na biashara yako ikaendelea mdogo mdogo.

4. Sisi wengine Primary na Sekondari tulikua famous, ila hamna ata mtu mmoja leo wa Primary wala Sekondari nachat nae. Ata mmoja nawaona tu Facebook.

5. Tengeza marafiki (circle) wapya. Wachache wa muhimu.

6. Usijingize kwenye mapenzi wewe unaonekana too innocent utapigwa za mnavu.

7. Kaa na wazee vijiweni mara chache, vya kahawa au draft, sure ni old school hawawezi kukuambia kuhusu ChatGPT wala AI ila watakupa madini yatakusaidia.

8. Umri wako bado sana. Kutoboa kupo. Kikubwa weka malengo mafupi (ya mwezi au miezi mitatu), na marefu (ya nusu mwaka au mwaka) na yawe archivable kwa resources ulizonazo. Utatusua.

9. Mwisho nakazia, November Rudi chuo. Umekula ng'ombe umeacha kwato.
Rudi chuo malizia shule. Relax hushindani na mtu. Noted ️ shukran
 
Unasumbulia na hofu na hofu yako inatokana na kujilinganisha na agemate wako. katika kufanikiwa.

jaribu kuishi katika wakati uliopo usohofie kesho wala usiiwaze Jana.

Hii safari utabidi kuinza kwa kureprogram ur sub-conscious mind.

Ebu elewa hivi vitu vitatu

@ Mafanikio nini kwako
@ Umri ni nini kwako
@ Elimu uliyoikosa ni nini kwako.

Ukimaliza Anza kuishi katika Presence na pale ukiwa down jaribu kushukuru maana Gratitude ndo nguvu au nishati namba moja ya kuondoa mambo mabaya na kuleta mambo chanya.

Jambo la kuzingatia ni kujua kuwa binadamu ambaye ndo wewe , yeye ndo chanzo cha vitu material stuffs hivyo vitu haviwezi kuwa vikubwa kumzidi binadamu ambaye ndo wewe.

Anza kuendesha akili ktk kufikiri vyema.

Endesha mawazo katika kufikiri vyema.

Endesha Mali na Pesa .

Maintain being innocence , Drive anything and don't let ur life to be driven by anything.

Goals

Remember In business game the goals is not only having a own shop but the goals is to become entrepreneur.

Up&down is always there in business but maintain being entrepreneur

Naomba Mungu akupe utulivu na ukiona unakosa Amani amka usiku saa nane ufanye Maombi rituals hiyo hali itaondoka. Yenyewe.

Pia detachment and attachment jambo likianza kukuumiza liachilie usoendelee kulishikilia.

Shika na achia.
Nimeipenda hii
 
Wakuu mimi ni kijana wa miaka 28 elimu ya form six chuo niliishia mwaka wa 2 kwa sababu ya kuugua baada ya hapo nikajikita zaidi kwenye biashara ambazo ndio zinaharibu akili yangu.

Tatizo kubwa linaletwa na upweke nilioishi utotoni. Niliishi na wazazi lakini mama alikuwa mtu wa kuugua na baba alikuwa akisafiri mara kwa mara hivyo tokea msingi nilikuwa karibu sana na mama nikimuuguza akiumwa na kukosa nafasi ya kujiunga na watoto wenzangu mara kwa mara kucheza.

Hata shuleni mpaka namaliza form 4 sikuwa mtu wa marafiki wengi au makundi. Hivyo matatizo yangu ni ngumu kumweleza mtu
Muda mwingi nabeba matatizo mwenyewe. Kiufupi sipo social sana japokuwa natamani na najitahidi ili kuondoa msongo wa mawazo.

Pia nimekuwa na malengo makubwa sana kwenye maisha ambayo nalazimisha sana kuyatimiza ila changamoto zinanifelisha. Akili yangu imeshindwa kukubaliana na ukweli kuwa inahitajika muda zaidi ili kufanikiwa.

Napata shida sana kwa sasa, napata maumivu makali ya kichwa navurugwa haswa baada ya kurudi tena nyuma kiuchumi natamani niachane na biashara niajiriwe lakini nani ataniajiri? Kichwa kinauma sana.

Kuna muda nafanya vitu ambavyo baadae nashindwa kuelewa nilifanya kwa akili yangu au ilikuwaje.

Nimekuwa mwoga sana wa kufanya maamuzi haswa ya biashara kitu kinachonimaliza kabisa.

Wakuu nifanyeje nijitoe kwenye kupania maisha kupitiliza na kuhofia nachelewa? Woga wa kufanya maamuzi? Nifanyeje nisije kuwa chizi najitahidi niwe social sana ila nafeli kutokana na maisha ya utotoni.
Mkuu pole sana!

We ni kati ya wachache ambao tulianzia zero kabisa Hadi ije kuwa moja mbili tatu n k siyo rahisi!

"The days of small beginnings" by Zac poonen

anzia chini.sana,punguza matarajio makubwa one step a time,japo sijui unafanya biashara gani!!

Ni mpagani,mkristo au muislam I dont know but ingia somewhere na uongee nae kama rafiki yako vile kwamba "umeniumba kweli lakini hiki ni ni!!?sioni pa kuanzia mbona""!?

Mwambie unavojisikia how frustrated you are mwambie Kwa uchungu wote!

Dont try harder let it happen naturally!!let the nature determine what next erase your expectations and be a normal guy!!


Ukitoka Kwa chumba hicho ukiwa umeshamiminika vilivyo you'll feel a lift and start from there!!!

Ndicho nimeweza andika ,kisome!!
 
1. Hauchelewi kwasababu haushindani na mtu. Relax

2. Rudi chuo. Malizia shule.

3. Unaweza kua upo chuo na biashara yako ikaendelea mdogo mdogo.

4. Sisi wengine Primary na Sekondari tulikua famous, ila hamna ata mtu mmoja leo wa Primary wala Sekondari nachat nae. Ata mmoja nawaona tu Facebook.

5. Tengeza marafiki (circle) wapya. Wachache wa muhimu.

6. Usijingize kwenye mapenzi wewe unaonekana too innocent utapigwa za mnavu.

7. Kaa na wazee vijiweni mara chache, vya kahawa au draft, sure ni old school hawawezi kukuambia kuhusu ChatGPT wala AI ila watakupa madini yatakusaidia.

8. Umri wako bado sana. Kutoboa kupo. Kikubwa weka malengo mafupi (ya mwezi au miezi mitatu), na marefu (ya nusu mwaka au mwaka) na yawe archivable kwa resources ulizonazo. Utatusua.

9. Mwisho nakazia, November Rudi chuo. Umekula ng'ombe umeacha kwato.
Hakika umemshauri vizuri Sana mkuu.Ubarikiwe Sana.
 
Unasumbulia na hofu na hofu yako inatokana na kujilinganisha na agemate wako. katika kufanikiwa.

jaribu kuishi katika wakati uliopo usohofie kesho wala usiiwaze Jana.

Hii safari utabidi kuinza kwa kureprogram ur sub-conscious mind.

Ebu elewa hivi vitu vitatu

@ Mafanikio nini kwako
@ Umri ni nini kwako
@ Elimu uliyoikosa ni nini kwako.

Ukimaliza Anza kuishi katika Presence na pale ukiwa down jaribu kushukuru maana Gratitude ndo nguvu au nishati namba moja ya kuondoa mambo mabaya na kuleta mambo chanya.

Jambo la kuzingatia ni kujua kuwa binadamu ambaye ndo wewe , yeye ndo chanzo cha vitu material stuffs hivyo vitu haviwezi kuwa vikubwa kumzidi binadamu ambaye ndo wewe.

Anza kuendesha akili ktk kufikiri vyema.

Endesha mawazo katika kufikiri vyema.

Endesha Mali na Pesa .

Maintain being innocence , Drive anything and don't let ur life to be driven by anything.

Goals

Remember In business game the goals is not only having a own shop but the goals is to become entrepreneur.

Up&down is always there in business but maintain being entrepreneur

Naomba Mungu akupe utulivu na ukiona unakosa Amani amka usiku saa nane ufanye Maombi rituals hiyo hali itaondoka. Yenyewe.

Pia detachment and attachment jambo likianza kukuumiza liachilie usoendelee kulishikilia.

Shika na achia.
Akachukue huu ushauri wako akaufanyie kazi
 
Hiyo ya marafiki usiumize kichwa sana maana marafiki wengi huja ukiwa na pesa ukiishiwa Kila mmoja anakukimbia muhimu jizatiti hapo hapo kwenye biashara Yako hakuna biashara isiyokuwa na changamoto kizuri ni kwamba ww umethubutu kujaribu achana na kufikiria mambo ya kurudi shule huko ndio utajitia stress zaid, tuko wengi tuna mavyeti tumeyaweka kabatini unatamani atokee mtu umuuzie.
 
1. Hauchelewi kwasababu haushindani na mtu. Relax

2. Rudi chuo. Malizia shule.

3. Unaweza kua upo chuo na biashara yako ikaendelea mdogo mdogo.

4. Sisi wengine Primary na Sekondari tulikua famous, ila hamna ata mtu mmoja leo wa Primary wala Sekondari nachat nae. Ata mmoja nawaona tu Facebook.

5. Tengeza marafiki (circle) wapya. Wachache wa muhimu.

6. Usijingize kwenye mapenzi wewe unaonekana too innocent utapigwa za mnavu.

7. Kaa na wazee vijiweni mara chache, vya kahawa au draft, sure ni old school hawawezi kukuambia kuhusu ChatGPT wala AI ila watakupa madini yatakusaidia.

8. Umri wako bado sana. Kutoboa kupo. Kikubwa weka malengo mafupi (ya mwezi au miezi mitatu), na marefu (ya nusu mwaka au mwaka) na yawe archivable kwa resources ulizonazo. Utatusua.

9. Mwisho nakazia, November Rudi chuo. Umekula ng'ombe umeacha kwato.
Atembee na namba 1 itamsaidia sana
 
Back
Top Bottom