BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
- Thread starter
- #61
Du! una PHD kweli wewe? mbona hoja yako kama hujasoma?
Hakuna utajiri hapa duniani kama elimu. uliowaacha na unaodhani wamefanikiwa wengi wao niwezi na mafisadi.
Lakini pia labda ungetuelewesha una define vipi maendeleo.
Baada ya hapo ndo tuendelee na mada. Lakini kama una maanisha nyumba na gari basi sina la kusema.
Ushauri wangu:
Tumia vizuri phd yako na kuorodhesha matatizo a yako halafu ya transform to OPPORTUNITIES! Fikiri kama mtu mwenye PHD! soma magazeti kuna requests kibao za ku express interests.
Tumia KALAMU na kichwa chako kutunisha mfuko wako wakati ukiendelea na kazi yako ya uhadhri lakini kwanza tuambie MAENDELEO NI NINI?
ALAMSIKI....PROFESA KILAZA
Akhsante!.