Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

BIG Banned

JF-Expert Member
May 4, 2012
262
71
Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita na sasa ni mhadhiri chuo kimoja hapa TZ. Ukweli ni kwamba GPA nzuri (ambayo sasa mi naiita mbaya!) ndio iliyonifanya nishawishiwe na kushawishika kubaki hapo nilipo!, Nikapata nafasi ya kwenda kusoma masters then PhD kwa takriban miaka kama 6 hivi. Tulipomaliza Undergrad kama kawaida watu/classmates tulitawanyika kila mtu kutafuta maisha kwa namna yake. Sasa kwahiyo miaka sita niliyopoteza kwa kusoma, wenzangu walibaki nchini wengine walipata kazi serikalini, wengine kampuni binafsi ambapo huko ni watu wenye vyeo na experience nzuri sana. Ukiachana na hayo ukweli ni kwamba wenzangu wapo mbali sana kimaisha kiasi kwamba nahisi mimi kama vile nilipotea au ile GPA niliyopata ndio iliniponza ingawa kwa wakati ule nilijihisi mi ndio mwenye bahati, lakini naona ni tofauti kabisa hasa nikijilinganisha na wenzangu na hiyo miiaka sita nimefanya maendeleo gani, wenzangu wana mengi sana ambayo mi ndio nafikiria kuanza.

Mbaya zaidi uhadhiri haulipi kabisa, yani ni kutegemea mshahara tu!. Na nikiangalia masenior wangu (Professors etc) hawana maendeleo yoyote, wanalia na njaa tu, wapo wanahangaika na vibiasharabiashara vidogo ambavyo kweli vinachangia kwa wahadhiri wengi kutojiandaa vizuri wanapoingia madarasani kufundisha. Maisha na heshima ya mwalimu wa chuo ni vitu viwili tofauti kabisa (sivyo vile watu wanavyofikiria)!.

Kweli uwalimu ni wito!, lakini kama hauridhiki na unachokipata na hauwezi kujikwamua na maisha magumu na majukumu ambayo unayo kila siku, kweli uwezekano wa kufunza tu ilimradi siku ziende utakuwepo tu miaka yote, sababu utakuwa unatumia muda mwingi kufanya madili mengine nje na kazi ya kufundisha.

Je ni Kweli GPA kubwa iliniponza!! Niache hii kazi nitafute nyingine!!.
 
Mkuu kuna mtu alisema pale ambapo haupo ndo pazuri, ukiwauliza hao unaosema wana maendeleo utakuta nao wanatamani kuwa na phd kama wewe (kama nimekuelewa vizuri unayo phd), na wewe unawatamani pia.

Lakini niseme hivi, maisha (i.e kupata mali) hakuna fomula kabisaaaaa, ukiangalia vizuri kuna wengine uliwaacha miaka hiyo 6 na hawajafanya chochote, si shule si utajiri, mambo yao bado magumu. So nakushauri wala usikate tamaa, furahia phd yako, kuwa na matumaini, weka malengo na kwa kuwa umesoma vya kutosha nakuhakikishia unaweza kutoka ndani ya miaka 2 au 3 ukawapita hao unaowaona wameendelea sana, ila fanya kazi kwa moyo na watendee haki wateja (students) wako.
Ila pia kila mtu anayo maisha yake, Mungu ni mwema kwa kila mtu haijalishi, so its fine to be challenged and put effort to archieve but dont be jealous, trust God he gave u a phd he will give u the rest of your good desires on due time.
 
Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita na sasa ni mhadhiri chuo kimoja hapa TZ. Ukweli ni kwamba GPA nzuri (ambayo sasa mi naiita mbaya!) ndio iliyonifanya nishawishiwe na kushawishika kubaki hapo nilipo!, Nikapata nafasi ya kwenda kusoma masters then PhD kwa takriban miaka kama 6 hivi. Tulipomaliza Undergrad kama kawaida watu/classmates tulitawanyika kila mtu kutafuta maisha kwa namna yake. Sasa kwahiyo miaka sita niliyopoteza kwa kusoma, wenzangu walibaki nchini wengine walipata kazi serikalini, wengine kampuni binafsi ambapo huko ni watu wenye vyeo na experience nzuri sana. Ukiachana na hayo ukweli ni kwamba wenzangu wapo mbali sana kimaisha kiasi kwamba nahisi mimi kama vile nilipotea au ile GPA niliyopata ndio iliniponza ingawa kwa wakati ule nilijihisi mi ndio mwenye bahati, lakini naona ni tofauti kabisa hasa nikijilinganisha na wenzangu na hiyo miiaka sita nimefanya maendeleo gani, wenzangu wana mengi sana ambayo mi ndio nafikiria kuanza.

Mbaya zaidi uhadhiri haulipi kabisa, yani ni kutegemea mshahara tu!. Na nikiangalia masenior wangu (Professors etc) hawana maendeleo yoyote, wanalia na njaa tu, wapo wanahangaika na vibiasharabiashara vidogo ambavyo kweli vinachangia kwa wahadhiri wengi kutojiandaa vizuri wanapoingia madarasani kufundisha. Maisha na heshima ya mwalimu wa chuo ni vitu viwili tofauti kabisa (sivyo vile watu wanavyofikiria)!.

Kweli uwalimu ni wito!, lakini kama hauridhiki na unachokipata na hauwezi kujikwamua na maisha magumu na majukumu ambayo unayo kila siku, kweli uwezekano wa kufunza tu ilimradi siku ziende utakuwepo tu miaka yote, sababu utakuwa unatumia muda mwingi kufanya madili mengine nje na kazi ya kufundisha.

Je ni Kweli GPA kubwa iliniponza!! Niache hii kazi nitafute nyingine!!.

Ni ukweli usiopingika, GPA na kufanikiwa mtu kimaisha ni vitu 2 tofauti. Watu wanapew GPA zisizo zao, unaweza kumkuta mtu ana GPA ndogo lakini content anayo kubwa sana. Kuna hatari mwenye GPA kubwa ukimbana akashimwa kuitetea. Kwa hiyo falsafa ya Maisha bado itabaki kuwa ni akili ya Mtu
 
Inaonyesha wazi kabisa kuwa elimu yako haijakusaidia kuwa na upeo!!!
Kwanza sio maadili kabisa (professional ethics) kwa msomi kama wewe kuandika mambo kama haya yenye muelekeo wa kulinganisha elimu na kipato.
Pili ujue kwamba mafanikio sio kujenga au kuwa na gari au kuwa tajiri. Mafanikio ni kufikia malengo. Hiyo phd yako ni mafanikio makubwa kuliko hao wenye utajiri.
Tatu Elimu hailinganishwi na utajiri. Kumbuka wakati upo sekondari wenzako walioishia la saba wengine walikuwa matajiri tayari.
Mwisho, nimegundua kuwa una elimu ya darasani lakini huna Hekima. Anza sasa kujifunza hekima !!!

 
inaonyesha wazi kabisa kuwa elimu yako haijakusaidia kuwa na upeo!!!
Kwanza sio maadili kabisa (professional ethics) kwa msomi kama wewe kuandika mambo kama haya yenye muelekeo wa kulinganisha elimu na kipato.
Pili ujue kwamba mafanikio sio kujenga au kuwa na gari au kuwa tajiri. Mafanikio ni kufikia malengo. Hiyo phd yako ni mafanikio makubwa kuliko hao wenye utajiri.
Tatu elimu hailinganishwi na utajiri. Kumbuka wakati upo sekondari wenzako walioishia la saba wengine walikuwa matajiri tayari.
Mwisho, nimegundua kuwa una elimu ya darasani lakini huna hekima. Anza sasa kujifunza hekima !!!


naungana nawe goodrich,
je, kama kweli yeye ni mhadhili na kwa upeo wake kaonesha kuwa elimu si kitu ila ni kupoteza muda sasa anafanya nini? Je, anawajengea nini wanafunzi wake? Wote waache shule waingie kwenye ujasiliamali? Naamini kweli kama ni mhadhili na kasoma atumie elimu yake kujijienga zaidi, kuna consultation anaweza fanya zikamuingizia hela na wakati huo anaendelea kutoa utaalam kwa wanafunzi!
Nimeamini "kusoma sana si kuelimika"
 
Jamani mafanikio ni kupata maendeleo katika maisha na sio elimu.Unaweza ukawa unaelimu lakini ukawa huna maisha mazuri uki compare na wenzako.Hapo elimu yako haijakusaidiao
 
Kaka acha presha shule haileti utajiri hata siku moja, angalia list ya matajiri 1000 duniani kama kuna proffessor hata mmoja, au anzia tanzania tafuta list ya kibongo kama kuna profesa au mwenye shuke ya kutisha, au huko mbali tuanzie mtaani kwako wa akina masawe, mangi na bishanga kama kuna profesa anaongoza kwa utajiri

Kutengeneza pesa ni skills nyingine isiyoendana na madesa kabisa, shule ni all about theories but maisha ni real practical things, my mother ni lecture wa miaka mingi sana alishatuambia na anaendelea kutuambia shule haileti utajiri hata siku moja zaidi ya kujenga nyumba 2 au 3 na kuendesha japanese car hata usome vipi,

Making money needs to be street wise and creativity... hata siku moja usifikirie intergration na hesabu za cos sijui tan x zitakufikisha levo ya kumsomesha mtoto havard au alabama kwa pesa yako mwenyewe.. Hiyo ni street degree ambayo haipimwi na gpa...

Wasomi wameletwa ili waajiriwe na wafanyabishara kuwasaidia kupata utajiri sio kuwazidi utajiri.. B mkubwa anapendaga kusema hivyo na baada ya kumaliza xul nimeanza kuamini alichokisema ni ukweli
 
GPA = Grade Point Average ukiwa na daraja la kwanza hongera. Wengine tuliondoka na Likikwete na tunapeta maishani.

Tuyaacha mapuuza. Tumia elimu yako na mashahara wako kidogo upatao kuanzisha mradi uliokatikafani yako naamini utafanikiwa.
 
Nilimaliza chuo miaka kadhaa iliyopita na sasa ni mhadhiri chuo kimoja hapa TZ. Ukweli ni kwamba GPA nzuri (ambayo sasa mi naiita mbaya!) ndio iliyonifanya nishawishiwe na kushawishika kubaki hapo nilipo!, Nikapata nafasi ya kwenda kusoma masters then PhD kwa takriban miaka kama 6 hivi. Tulipomaliza Undergrad kama kawaida watu/classmates tulitawanyika kila mtu kutafuta maisha kwa namna yake. Sasa kwahiyo miaka sita niliyopoteza kwa kusoma, wenzangu walibaki nchini wengine walipata kazi serikalini, wengine kampuni binafsi ambapo huko ni watu wenye vyeo na experience nzuri sana. Ukiachana na hayo ukweli ni kwamba wenzangu wapo mbali sana kimaisha kiasi kwamba nahisi mimi kama vile nilipotea au ile GPA niliyopata ndio iliniponza ingawa kwa wakati ule nilijihisi mi ndio mwenye bahati, lakini naona ni tofauti kabisa hasa nikijilinganisha na wenzangu na hiyo miiaka sita nimefanya maendeleo gani, wenzangu wana mengi sana ambayo mi ndio nafikiria kuanza.

Mbaya zaidi uhadhiri haulipi kabisa, yani ni kutegemea mshahara tu!. Na nikiangalia masenior wangu (Professors etc) hawana maendeleo yoyote, wanalia na njaa tu, wapo wanahangaika na vibiasharabiashara vidogo ambavyo kweli vinachangia kwa wahadhiri wengi kutojiandaa vizuri wanapoingia madarasani kufundisha. Maisha na heshima ya mwalimu wa chuo ni vitu viwili tofauti kabisa (sivyo vile watu wanavyofikiria)!.

Kweli uwalimu ni wito!, lakini kama hauridhiki na unachokipata na hauwezi kujikwamua na maisha magumu na majukumu ambayo unayo kila siku, kweli uwezekano wa kufunza tu ilimradi siku ziende utakuwepo tu miaka yote, sababu utakuwa unatumia muda mwingi kufanya madili mengine nje na kazi ya kufundisha.

Je ni Kweli GPA kubwa iliniponza!! Niache hii kazi nitafute nyingine!!.

Mkuu,

Kama kweli ww ni msomi mwenye GPA kubwa na umeendelea kama ulivyoadithia basi
usitupotoshe wenzio na wengine wenye nia nzuri ya kufanya/kusoma kwa jitihada kupata marks nzuri,
kwako ww si tu uhaziri bali ndio uliandikiwa kua na maisha hayo. je hujaona mtu akawa na mali kibao then akarudi kua hana kitu?!!

acha kudidimiza watu. ndg zangu tusome tena kwa jitihada kubwa, hiyo ndio funguo ya maisha
 
nimesoma comments za nyote wana jf ila kunakitu naona kama mmekisahau vile mtoa mada ana hoja ya msingi sana tena siyo ya kupuuzwa hata kidogo

kwanza kabisa katuonyesha dhahiri kuwa alikuwa na bidiii sana lkn returs of investment are poor. hil linatokana na mfumo tu uliopo wa serikali yetu kuwa hata kama umesoma mishahara bado ni midogo na hapa kwetu Tz serikali haitulipi kutokana na tunavyo deliver. swala hili hata hao wahadhiri wa vyuo kupitia bodi zao huwa nwanalalamika sana, so ni tatizo la kitaifa.

pili mtu unapoondoka kwenda nje kusoma, utajitahd sana na utapenda urudipo uje ufanikiwe haraka zaid kwani tayari unayo exposure kubwa lkn hali hii huwa ni tofaut kabisa kwani kwanza utakuwa umeshapoteza network yako na wale close friends. kitu ambacho itakugharimu kama miaka 2 hivi kuirudisha.

wenzio waliobaki ni kwasababu ya good networking unakuta mtu anatoka hata kama anakipato kidogo.

ushauri wangu dont dare give up, create good networking as possible as yuo can. usilete ubrazamen wa kutoka ulaya hapa kaa hata kwenye migahawa ya kawadia kula na kunywa ili upate network, ukiweza kuipata hii basi utaona ndani ya mwaka mambo ni mazuri manake source of capital tayari ipo. tafuta kazi kwenye miradi, wwrite your propasal for different projects ukipata fanya na ionekana imefanakiwa basi lazima utatoka tu.
 
Mkuu kuna mtu alisema pale
ambapo haupo ndo pazuri, ukiwauliza hao unaosema wana maendeleo utakuta
nao wanatamani kuwa na phd kama wewe (kama nimekuelewa vizuri unayo
phd), na wewe unawatamani pia.

Lakini niseme hivi, maisha (i.e kupata mali) hakuna fomula kabisaaaaa,
ukiangalia vizuri kuna wengine uliwaacha miaka hiyo 6 na hawajafanya
chochote, si shule si utajiri, mambo yao bado magumu. So nakushauri wala
usikate tamaa, furahia phd yako, kuwa na matumaini, weka malengo na kwa
kuwa umesoma vya kutosha nakuhakikishia unaweza kutoka ndani ya miaka 2
au 3 ukawapita hao unaowaona wameendelea sana, ila fanya kazi kwa moyo
na watendee haki wateja (students) wako.
Ila pia kila mtu anayo maisha yake, Mungu ni mwema kwa kila mtu
haijalishi, so its fine to be challenged and put effort to archieve but
dont be jealous, trust God he gave u a phd he will give u the rest of
your good desires on due time.

yes kaka,ushaur wako mzur sana.mungu ndo mtoaji wa kila kitu na hutoa kwa wakat.wakat ukifika utaona kila jambo linakuja automatical
 
Unaposema wenzako wako mbali kimaisha unamaanisha nini?

Je, ulipokubali kuingia kwenye uhadhiri ulikuwa na mipango gani kimaisha?

Je, unafahamu kuwa academicians hupata mapato zaidi kwa kupitia grants za tafiti na miradi mbalimbali, je umewahi kuapply grants ngapi? Je, umebuni projects ngapi?

Baada ya kujibu haya maswali jiulize kama cha kulaumu ni GPA, uhadhiri au your own lack of creativity?!!!
 
Goodrich umeandka vyema ila umesehau ulichokisema kwamba "mafanikio ni kufikia MALENGO" sasa yeye anaomba ushauri kwani hajafka hapo na elimu aliyonayo hajasema ndio yaliyokuwa malengo yake.
 
Last edited by a moderator:
Wazo zuri, ila si suala la GPA ndo limekuponza ni wewe ndo ulipenda kubakia kufundisha na ukaona raha kufundisha. Unaweza toka hapo ulipo ukatafuta sehemu nyingine inayolipa zaidi, maisha haya yakutegemea mshahara tu hayaendi... ila uwaulize wengine hao wamafikaje hapo walipo isije ikawa ni uifsadi maofisini...hi si sahihi, Nenda pale penye malipo halali. Mwenyewe ni jana tu nilikuwa naongea na rafiki yangu aanaiulizia kuhusu kusoma PHD nikasema wapi, sasa naangalia kutafuta pesa, after all udr wenyewe usio na results kwa nchi, majina tu akhuuu... Wapo kina Diamond, Ray ni mamilionea na viform 4 vyao wanapeta, ukimwambia achangie milioni 1 kwa mafuriko anatoa fsata we dr unatoa macho.
 
yes kaka,ushaur wako mzur sana.mungu ndo mtoaji wa kila kitu na hutoa kwa wakat.wakat ukifika utaona kila jambo linakuja automatical

Hapo si sahihi...kabisa...imani inatufundisha kubweteka na kujipa moyo eti iko siku utapewa, wapo wengi tu wamekufa na umaskini wao tena kwa kukosa pesa za matibabu. Suala kubwa ni kustruggle, Mungu hubariki kazi ya mikono yako. Kuna watu mashuleni walikuwa kutwa na kusali eti Mungu atawafaulisha wakiashia mazero na kudisco. Kaa hapo hapo useme automaticaly vitakuja.
 
Inaonyesha wazi kabisa kuwa elimu yako haijakusaidia kuwa na upeo!!!
Kwanza sio maadili kabisa (professional ethics) kwa msomi kama wewe kuandika mambo kama haya yenye muelekeo wa kulinganisha elimu na kipato.
Pili ujue kwamba mafanikio sio kujenga au kuwa na gari au kuwa tajiri. Mafanikio ni kufikia malengo. Hiyo phd yako ni mafanikio makubwa kuliko hao wenye utajiri.
Tatu Elimu hailinganishwi na utajiri. Kumbuka wakati upo sekondari wenzako walioishia la saba wengine walikuwa matajiri tayari.
Mwisho, nimegundua kuwa una elimu ya darasani lakini huna Hekima. Anza sasa kujifunza hekima !!!


Malengo ni nini ndugu yangu!!, Na hekima ni nini!!
 
naungana nawe goodrich,
je, kama kweli yeye ni mhadhili na kwa upeo wake kaonesha kuwa elimu si kitu ila ni kupoteza muda sasa anafanya nini? Je, anawajengea nini wanafunzi wake? Wote waache shule waingie kwenye ujasiliamali? Naamini kweli kama ni mhadhili na kasoma atumie elimu yake kujijienga zaidi, kuna consultation anaweza fanya zikamuingizia hela na wakati huo anaendelea kutoa utaalam kwa wanafunzi!
Nimeamini "kusoma sana si kuelimika"

Ndugu Kifupi ni kwamba hayo unayosema si rahisi kwa TZ, ndio mana wataalam wote wanakimbilia kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom