Je, naweza kujitolea kama Tutor Assistant?

Bob Malik

Senior Member
Oct 1, 2019
121
404
Kwema humu ndani?

Mimi ni msomi wa level ya Bachelor degree kutoka chuo cha Dar es Salaam. Ni mwalimu wa lugha.

Ni miaka 3 sasa imepita toka nimehitimu masomo yangu.

Nilipanga niendelee na masomo ya juu baada ya kuhitimu shahada yangu maana napenda sana siku moja niwe mwalimu wa Chuo kikuu ila kulingana na kuyumba kwa uchumi wa familia ikashindikana.

Sasa nimekuja kwenu kuomba kama nitapata fursa ya kujitolea kuwa msaidizi wa mkufunzi.

Kama kuna mtu anaweza nisaidia mawazo ili nifikie napokusudia nitashukuru sana?

NB. Nina ufaulu mzuri ktk shahada yangu.
 
ELIMU YA TZ NI SHDA.kama mitala haijabadilishwa wasomi wetu wataendelea kukrem water water war then akija mtaani hana msaada kwa jamii zaidi zaidi kaumiza familia na wanamtegemea awakomboe kwnye uchumi cha ajabu amekuwa mzgo mara mbili.nakubaki kusema u know ee ~this time ee'h.bila mitala mpya tutabaki kuagiza sindano vyombo vya plastiki hadi chupi china.PIGA KELELE MITALA YA ELIMU IBADILISHWE KUMKOMBOA MTANZANIA
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Ni lazima uwe na GPA ya 3.8 undergraduate unless kama utaratibu umebadilika. Nafasi unaweza kupata vyuo binafsi, kozi za lugha CL nk zina uchache wa walimu
 
Upo nje ya mada mkuu.
NDYO NAJUA HILO.mitala bora usingetafuta kaz ungejiajiri kwa elimu yako.wapo wahitimu wa chuo ud wanaolipwa laki kwa mwezi kufundisha private school kisa hakuna ajira kwa govt yetu tz
 
NDYO NAJUA HILO.mitala bora usingetafuta kaz ungejiajiri kwa elimu yako.wapo wahitimu wa chuo ud wanaolipwa laki kwa mwezi kufundisha private school kisa hakuna ajira kwa govt yetu tz
Mmh yan laki kwel mbona kama malipo ya chini sana..uyo kaajiriwa au volunteer.
 
Hii nchi ni ngumu sana.
Jaribu kuomba employment kupitia hiyo ajira poto.

Pia jaribu kwenda kuomba kujitolea chuo ulichosoma
 
Kwema humu ndani?

Mimi ni msomi wa level ya Bachelor degree kutoka chuo cha Dar es Salaam. Ni mwalimu wa lugha.

Ni miaka 3 sasa imepita toka nimehitimu masomo yangu.

Nilipanga niendelee na masomo ya juu baada ya kuhitimu shahada yangu maana napenda sana siku moja niwe mwalimu wa Chuo kikuu ila kulingana na kuyumba kwa uchumi wa familia ikashindikana.

Sasa nimekuja kwenu kuomba kama nitapata fursa ya kujitolea kuwa msaidizi wa mkufunzi.

Kama kuna mtu anaweza nisaidia mawazo ili nifikie napokusudia nitashukuru sana?

NB. Nina ufaulu mzuri ktk shahada yangu.
Tumia usomi wako kujiajiri.
 
Back
Top Bottom