Esmodaizer
Member
- Jul 12, 2020
- 21
- 20
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 23, nimehitimu masomo yangu ya chuo kikuu ngazi ya shahada ya sanaa na ubunifu (Bachelor of arts in arts and design). Ambayo imebeba màmbo kama;
graphics design, fashion design, drawings and paintings, printing, photography.
Kama nitaweza kupata kazii yoyote kwà sasa nje ya taaluma yangu nitashukuru Sana pia ni mtaalamu wa màmbo ya ususi, ushonaji.
0758734002
Asanteni.
graphics design, fashion design, drawings and paintings, printing, photography.
Kama nitaweza kupata kazii yoyote kwà sasa nje ya taaluma yangu nitashukuru Sana pia ni mtaalamu wa màmbo ya ususi, ushonaji.
0758734002
Asanteni.