Je, Naweza Kufungua Madai ya NSSF Online Bila Kufika Ofisini Kwao na Yakakubaliwa?

Je, Naweza Kufungua Madai ya NSSF Online Bila Kufika Ofisini Kwao na Yakakubaliwa?

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,544
Reaction score
23,844
Wakuu,

Nataka nifungue madai ya fao la kukosa ajira. Shida ni kwamba NSSF hawapokei simu wala kujibu emails.

Nimesikia kuwa siku hizi Madai ya NSSF yanafanyika Online kwa 100%. Hakuna haja ya kwenda Ofisini kwao.

Je, Kuna aliyewahi kutumia hii njia?

Attachment nilizonazo: Certificate of Service, NSSF ID card, kadi ya Nida, Barua rasmi ya end of contract, Fomu ya Bank iliyosainiwa na Bank husika.

Pia nimesha create account kwenye NSSF portal.

Karibuni
 
Hakuna hiyo kitu, hata nssf portal tu siku hizi haifanyi kazi tena, ni mwendo wa foleni kwenye kidirisha, hayo ndiyo mambo yetu wabongo.
 
Back
Top Bottom