GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,747
- 109,205
Na je, na hao wa huko Tanzania Visiwani (Zanzibar Isles ) na Wao Nyumba zao zote (hata zile ambazo) hazikujengwa na Serikali (kwa mujibu wa Sheria) pia huwa zinalindwa sana hata kama Mstaafu yuko zake Kijijini anakula Mananasi au Mihogo na Nyumba zake za Mjini ziko tu na Mbwa wa Kijerumani?
Na je, nao pia (Marais Wastaafu wa Tanzania Visiwani) nao pia hujaliwa, hunyenyekewa, hutembelewa, hununuliwa Gari mpya kila mwaka na Wao pia huongezewa Ulinzi na hata Gari za Misafara yao kama ilivyo kwa Marais Wastaafu wa Tanzania Bara?
Nasubiri majibu yenu ili Nielimike pia.
Na je, nao pia (Marais Wastaafu wa Tanzania Visiwani) nao pia hujaliwa, hunyenyekewa, hutembelewa, hununuliwa Gari mpya kila mwaka na Wao pia huongezewa Ulinzi na hata Gari za Misafara yao kama ilivyo kwa Marais Wastaafu wa Tanzania Bara?
Nasubiri majibu yenu ili Nielimike pia.