Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

Je, mzee Reginald Mengi alikuwa na mjukuu?

Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.

Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.

Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?

Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Dah! Umewaza kitu muhimu sana ktk maisha yetu....wacha tuendelee kujifunza na kuchukua mema, aliyotuachia Hayati Dk. Mengi....

I can, I will, I must.

Kitabu chake huenda kikawa na majibu ya mengi ya maswali tunayojiuliza...

Dk. Ametuachia Somo....tusipuuze.
 
Wa-bongo tuna matatizo Sana ..suala la kuwa na family/ mtoto/ watoto ni suala la mtu binafsi ni Hiyari nasio lazima

Katika maisha sio kila mtu huwa anapenda kufanya kila kile ambacho kinafanywa na jamii yake _ watu wengine huwa wana amua kuwa na life style ya kipekee na kwakuwa wanakuwa hawavunji sheria basi ruksa kwao kuendelea kufanya hivyo
 
Mkuu umeandika logic sana,wengi wajinga wasiojua kutafakari watakudharau,iko hivi,watoto wengi wa matajiri ni wasumbufu sana ktk ndoa,ndo maana hujaona wajukuu wa marehemu,badala yake vitoto vya marehemu (kwa kahaba kyln) ndo vilionekana kama vijukuu,wakati ilipaswa waonekane hata wajukuu 10.
No mi nakupinga mkuu,ulishawahi kusikia neno kuchuria/uchuro.
Mara nyingi mzee akianza kumuvu na vibinti,especially ambao ni rika na wanawe na ikajulikana live na jamii inakua kama uchuro kwa watoto wake,wanakua hawaoi au kuolewa,na hata ikitokea wamefanya hivyo,huchelewa kupata watoto au wasipate kabisa watoto.
Inahitajika Rehema na Huruma Ya KiMungu na sala tuu kwenye hili Mkuu.
Ndo maana Zamani Wazee wakipata watoto nje ya Ndoa wanafanya jambo hili kuwa siri nzito,mpaka watoto wawe wakubwa ndo atawaleta nyumbani kuwatambulisha au akishakufa ndo wanatambulishwa msibani,Si kipindi hichi vijana wakipata watoto wa nje hawaoni ajabu kuwatangaza kwenye jamii na kwa mke wake.
Na pia inaaminika watoto wa nje wananyota kali sana,ukiwaleta nyumbani kuna uwezekano nyota zao zikan'gara sana kuliko watoto wa nyumbani,na hii ni kiroho zaidi ndo maana wanakua hawapatani na wamama wengi wa kambo,angalizo so wote,hii ni kwasababu ya vita ya kiroho kutokana na ukali wa nyota zao.
 
Mbona kuna clip ya ki-insta live ilikuwa inazurula whatsap, huyo mdada akijitaja yeye ni mjukuu wa machache?
 
Regina ni lesbian alikuwa na mapenz na Dada mmoja hapo kibo ,wamesoma wote
 
Regina alikuwa demu wa salama kwa data zilizopatikana kwenye kikao chetu cha mwisho. Tafuta hao watoto ambao baba yao ni Salama Jabir
Mm kuna Dada ni ndugu yangu kabisa upande wa baba mkubwa, alikuwa wanasagana na Regina ,ni marafiki balaa,
 
No mi nakupinga mkuu,ulishawahi kusikia neno kuchuria/uchuro.
Mara nyingi mzee akianza kumuvu na vibinti,especially ambao ni rika na wanawe na ikajulikana live na jamii inakua kama uchuro kwa watoto wake,wanakua hawaoi au kuolewa,na hata ikitokea wamefanya hivyo,huchelewa kupata watoto au wasipate kabisa watoto.
Inahitajika Rehema na Huruma Ya KiMungu na sala tuu kwenye hili Mkuu.
Ndo maana Zamani Wazee wakipata watoto nje ya Ndoa wanafanya jambo hili kuwa siri nzito,mpaka watoto wawe wakubwa ndo atawaleta nyumbani kuwatambulisha au akishakufa ndo wanatambulishwa msibani,Si kipindi hichi vijana wakipata watoto wa nje hawaoni ajabu kuwatangaza kwenye jamii na kwa mke wake.
Na pia inaaminika watoto wa nje wananyota kali sana,ukiwaleta nyumbani kuna uwezekano nyota zao zikan'gara sana kuliko watoto wa nyumbani,na hii ni kiroho zaidi ndo maana wanakua hawapatani na wamama wengi wa kambo,angalizo so wote,hii ni kwasababu ya vita ya kiroho kutokana na ukali wa nyota zao.
Acha kudanganya, mbona wazee wengi tu wanatembea na vibinti vidogo, suala la watoto wa mtu kuoa au kuolewa inategemea na maamuzi yao wenyewe
 
Kwanza kabisa natoa pole kwa wote , R.I .P. Mzee wetu mpedwa.

Kama mjuavyo mzee was public figure so kujadili undani wake sii neno sana ili tujifunze kitu.

Kwa deaturi zetu, kwa mzee wa umri wa mzee wetu marehemu alipaswa kuwa na wajukuu kadhaa ambao sijawasikia,
Nani amewasikia?

Nimewaza au labda Kulikuwa na tatizo na wanaye ndo maana akamua kuzaa na mwanamke mwingine kyne, ili kutengeneza kizazi kingine?
Kigogo.jpg
 
Back
Top Bottom